Naapa mbele ya Mungu, Yanga ikiifunga TP Mazembe Leo najiondoa rasmi JamiiForums

Jitoe
 
Busara, hekima na msimamo thabiti ni vitu muhimu sana kuishi navyo kwenye jamii na hii itakufanya uheshimike zaidi

Mkuu Mwishokambi najua huwezi jitoa jamiiforum ila tunza na uwe na akina ya maneno, hatujuani ila kupitia threads na comments hufanya mtu uonekane ni wa maana na kujijengea heshima punguza viapo na rehani uchwara
 
Mechi Bado..... Bayen Munich walipindua meza kibabe 1998 naiombea yanga ushindi mnono japo mm ni Simba 🦁
Tanzania kwanza
 


Maxence Melo
 
Haya naombaaa ujiondoee mwenye JF kabla Moderators hawajafyekelea mbali account yako....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…