Nabii Geor Davie asababisha ndoa kuvunjika

Nabii Geor Davie asababisha ndoa kuvunjika

Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Jodevi wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.

Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum

Vile vile ushahidi na msg za simu na kwenye laptop na mambo mengine mengi yamethibitisha pasi na shaka mahusiano ya wawili hao na hatimaye mahakama kuamua kuvunja ndoa hiyo takatifu

Chanzo: Wapo radio
Du! kiama kimekaribia ngoja niende bar nikagide za mwisho mwisho
 
Mkuu uliulizwa swali, nje ya Geodav ni mtumishi gani mwingine ambae imethibitika na mahakama pasi na shaka, kuwa na mienendo iliyo sababisha talaka?

Acha kuleta hadithi zako za ufaham ukifunguka,, JF si mahali pa kuleta blah blah!!

Naona misukule iko mingi humu.mtaendelea kutapeliwa shauri yenu.
 
Ufahamu wako ukirejea ndo utaelewa. kwa sasa hutaweza kwa kuwa nimfuasi wa hao matapeli.kwa kukusaida tu kanisa lazima iwe taasisi na sio mali ya mtu binafsi.Siku hizi manabii wengi wa uongo wametokea na kudanganya watu wengi huku wakizidi kuishi maisha ya anasa wakati waumini wao wakizidi kuwa maskini na watumwa wao.

Nani kakwambia mkuu!
Someni neno acheni kupelekwa pelekwa.....
Mi najitambua ndo maana sina dini ila najua wapo watumishi ambao Mungu anawatumia!
Kwa karama tofauti tofauti. ..sio lzm wote wawe na makanisa ndio na pia sio lzm usiwe na kanisa inategemea umeitwa kufanya nn.
Soma warumi 12 na efeso 4:11

Pia kumbuka, Biblia inasema ' atapigwa mchungaji na kondoo watatawanyika!na ndo shetani anachofanya!
 
Waumini wake wamepumbazwa haswaa...Huwa nawaonea huruma sana..

Na jamaa ni mshawishi mzuri, atakavyoitengeneza utetezi huku akinukuu vifungu vya bible...asiwaambie mtu wale waumini wake huwa hawapindui kabisa kwa jamaa..
 
Jamaa ni Mjasiriamali mbunifu ile mbaya, kwa hii habari ni kama mmefungulia fursa....misa ijayo atawaambia waumini....."Nabii amepigwa ngwara...hivyo leo tutakuwa na sadaka ya kumuinua nabii" ninavyowajua wale waumini wake, jamaa atahitaji kenta ya kubebea hiyo mihela.
 
daaaaa hizi k hizi..
Nomaaa sanaaa

Kristu Yesu pekeyake ndio alishinda majaribu na hakuanguka dhambini lakini wengine wooote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu hivyo kwangu Mimi sijui mtume nabii mpakwa mafuta au mtenda miujiza ni ni mwizi kama mwizi mwingine yeyote yule kinachotofautisha ni mbinu, ni mwasherati na mzinzi kama wengine tuu na kamwe HAWASTAHILI HESHIMA YANGU
 
Kristu Yesu pekeyake ndio alishinda majaribu na hakuanguka dhambini lakini wengine wooote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu hivyo kwangu Mimi sijui mtume nabii mpakwa mafuta au mtenda miujiza ni ni mwizi kama mwizi mwingine yeyote yule kinachotofautisha ni mbinu, ni mwasherati na mzinzi kama wengine tuu na kamwe HAWASTAHILI HESHIMA YANGU

Mm.....
 
neggirl usishangae nina ushuhuda na hawa watu ni walafi, wezi, wachoyo, waongo na wazinzi wa kupindukia na ni waabudu shetani wakubwa, ninamaanisha...!!!
 
Last edited by a moderator:
Baada ya Mtume Muhammad S.A.W hakuna nabii mwingine nyuma yake hao wengine wote ni waganga njaa tu na umalaya mtupu
 
Mahakama ya hakimu mkazi jijini Arusha leo imevunja rasmi ndoa ya bibi Pamela na mumewe baada ya kuthibitika pasi na shaka kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na nabii Jodevi wa ngurumo za upako wa jijini Arusha.

Mtoto wa wanandoa hao mwenye umri wa miaka 15 ndiye aliyetoa ushadihi wote ukiwemo wa nabii kufika nyumbani na kupelekewa juice kwenye gari yake yenye vioo vyeusi na kukaa humo kwa muda mrefu na mamaake pia nabii kufika nyumbani usiku baba akiwa hayupo na kuambiwa akalale huku nabii akibaki na mama sebuleni muda mrefu akifanyiwa maombi maalum

Vile vile ushahidi na msg za simu na kwenye laptop na mambo mengine mengi yamethibitisha pasi na shaka mahusiano ya wawili hao na hatimaye mahakama kuamua kuvunja ndoa hiyo takatifu

Chanzo: Wapo radio

Huyo nabii sio baba yake yule producer maarufu wa video anayekwenda kwa jina la NISHER?
 
Halafu nimesikitika kuwa Pamela na.mumewe walikuwa na utajiri wa kutosha kifedha na assets. Magari, nyumba zaudi ya moja, kampuni ya tours na magari yao. Yaani shetani mbaya sana. Kumbe walitengana five years ago. Tutunze na kuheshimu ndoa zetu ili zidumu.
 
Back
Top Bottom