Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Hawa ni mafuska waliokubuhu. Kuanzaia yule nabii feki wa Nigeria TB joshua, Gwajima wa misukule, mwingira wa efatha, Joe devi, yule wa kimara wa miaka 50 kaacha mke na kuoa binti wa miaka 20 na wengi wapendao kujipa vyeo vya unabii ni mafuska wa kutupwa na wote hao niliowataja wamevunja ndoa za waumini wao kwa ufuska.
Kazi kwenu mnaowapa hizo sadaka wanzochezea.
Hatari sana mkuu.