Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Salamu za Heri zinaendelea kumiminika. Hapa chini ni kutoka kwa nabii Mwingira:

View attachment 2058365

Salamu za kama hizi zinapoendelea kutufikia ni vyema kujitafakari. Ni wazi kuwa kama Taifa hatuko vizuri.

Walikuwapo kina Desmond Tutu, leo hatuko nao. Walifanya sehemu yao, wamekwenda. Angalia katika kuwaomboleza hakuna dongo hata moja.

"Tunayo ya kujifunza."

Kila mtu kwa nafasi yake anayo sehemu yake ya kufanya, atakayo kumbukwa nayo.

Ni wazi kuwa chuki tunazoziona kwetu ni matokeo ya kumea kwa mbegu zake tunazozipanda wenyewe.

Haki huinua taifa.

Barikiwa mtumishi wa bwana, nabii Mwingira.
Mchumia tumbo fulani tuu huyo,wajinga ndio Mta take note maneno yake.
 
Wanajiita viongozi wa dini Tanzania sio wa Kikristo wala Uislam wote wanafiki,huwa nashangaa ikifika Ijumaa/Jmamosi/Jpili MTU anaongozwa na kiongozi wa namba hiyo.
Sio bora tu uache kusali au kuswali usubiri Mungu akuhukumu kwa kutokubali kuongozwa na kiongozi mnafiki.
 
Mchumia tumbo fulani tuu huyo,wajinga ndio Mta take note maneno yake.

Hivi je? Serikali hii:

1. haikukwiba kura?
2. haijabambikiza watu kesi?
3. haijapoteza watu?
4. haijadhulumu watu yakiwamo maisha yao?
5. haikuhusika na magenge ya wasiojulikana?
6. Nk. Msururu ni mrefu.

Kama majibu ni ndiyo basi kumbe aliyosema ni machache zaidi. Kama ndivyo basi lichumia tumbo ni wewe mjomba.
 
Hivi je? Serikali hii:

1. haikukwiba kura?
2. haijabambikiza watu kesi?
3. haijapoteza watu?
4. haijadhulumu watu yakiwamo maisha yao?
5. haikuhusika na magenge ya wasiojulikana?
6. Nk. Msururu ni mrefu.

Kama majibu ni ndiyo basi kumbe aliyosema ni machache zaidi. Kama ndivyo basi lichumia tumbo ni wewe mjomba.
Hii ni awamu ya 6,ilifanya lini hayo unayosema wewe?
 
Wanajiita viongozi wa dini Tanzania sio wa Kikristo wala Uislam wote wanafiki,huwa nashangaa ikifika Ijumaa/Jmamosi/Jpili MTU anaongozwa na kiongozi wa namba hiyo.
Sio bora tu uache kusali au kuswali usubiri Mungu akuhukumu kwa kutokubali kuongozwa na kiongozi mnafiki.

Povu lote hili ni ili muendelee:

1. kukwiba kura?
2. kubambikiza watu kesi?
3. kupoteza watu?
4. kudhulumu watu yakiwamo maisha yao?
5. kuhusika na magenge ya wasiojulikana?
6. Nk. Msururu ni mrefu.

Ikija Corona, ili kuhalalisha ghiliba zenu wanakuwa marafiki. Mkijikanyaga wakawananga mnawaponda?

Mnachotaka hasa ni kipi? Kwani ugumu uko wapi kutambua kuwa hamtendi haki?

Si mtende haki basi ili muone kama kuna atakaye wananga?
 
Kabla hajanyooshea wengine kidole, atwambie ile kesi yake ilikuwa inahusu nini?
 
Yeye kama Mtume/Nabii baada ya kutambua hayo, je kachukua hatua gani?
 
Yeye kama Mtume/Nabii baada ya kutambua hayo, je kachukua hatua gani?

Hii hapa:

IMG_20211226_103449_257.jpg


Kwa hakika kama alivyosema Tutu (rip) yaweza kuwa bora sana kuliko labda yoyote wewe au miye tuliyokwisha chukua.
 
Kabla hajanyooshea wengine kidole, atwambie ile kesi yake ilikuwa inahusu nini?

Kwani mkuu serikali:

1. haikukwiba kura?
2. haijabambikiza watu kesi?
3. haijapoteza watu?
4. haijadhulumu watu yakiwamo maisha yao?
5. haikuhusika na magenge ya wasiojulikana?
6. Nk. Msururu ni mrefu.

Haya sisi yanatuhusu moja kwa moja.

Kwenye hayo tuko na nabii.

Kwa povu lote hili, kwani kitengo chako hasa kwenye hii kadhia ni kipi au hapo? Au ni #3 mkuu?
 
Hii hapa:

View attachment 2058457

Kwa hakika kama alivyosema Tutu (rip) yaweza kuwa bora sana kuliko labda yoyote wewe au miye tuliyokwisha chukua.

Kwa Mtume/Nabii kuongea tu kama watu wengine haitoshi...

Mwingira kashaongea sana kuhusu hayo mavitu ya CCM tokea enzi za Kikwete...

Afanye kama Nabii Eliya watu washikwe na adabu basi
 
Salamu za Heri zinaendelea kumiminika. Hapa chini ni kutoka kwa nabii Mwingira:

View attachment 2058365

Salamu za kama hizi zinapoendelea kutufikia ni vyema kujitafakari. Ni wazi kuwa kama Taifa hatuko vizuri.

Walikuwapo kina Desmond Tutu, leo hatuko nao. Walifanya sehemu yao, wamekwenda. Angalia katika kuwaomboleza hakuna dongo hata moja.

"Tunayo ya kujifunza."

Kila mtu kwa nafasi yake anayo sehemu yake ya kufanya, atakayo kumbukwa nayo.

Ni wazi kuwa chuki tunazoziona kwetu ni matokeo ya kumea kwa mbegu zake tunazozipanda wenyewe.

Haki huinua taifa.

Barikiwa mtumishi wa bwana, nabii Mwingira.
Hawa ndio aina ya wachungaji tunaowataka, sio unakuta mchungaji kazi yake kuhimiza michango, kupiga majungu kama anavyofanya Gwajima na kusifia serikali. kkkt na Rc mjitafakari. Kazi yenu sio kumsifia rais na serikali
 
Alinifurahisha sana huyu baba nabii kipindi mile cha utawala wa Chuma aliposema"mtawala akipungukiwa akili huwaonea watu"
Hayo maneno yalisemwa na mwl mwakasege sio mwingira.
 
Hii ni awamu ya 6,ilifanya lini hayo unayosema wewe?

Una maana hayo mliyamalizia kwenye awamu #5 peke yake?

Kama ndivyo, kwani kwenye awamu #6 kuna nini kipya? Au hata wale wajumbe kindaki ndaki nao wanasema je?

IMG_20211213_115246_235.jpg


Au ile kauli mbiu yetu nayo hujaisikia?

"Kazi ile ile inaendelea."
 
Back
Top Bottom