Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi


Tuunde tume ya haki na maridhiano kama zile za South Africa na Rwanda ipite nchi nzima watu watoe machungu yao kisha wasamehe taifa liende mbele.
Labda wapite kwenye familia za mafisadi waseme jinsi walivyoumizwa kwa kulazimishwa kulipa kodi waliokuwa wanakwepa.
 
Aliepo ikulu ni mtoto wa shetani!!Kauli kubwa sana hii!Kamanda Siro uko wapi?Nyumba inaungua hii!!
Sirro naye ni shetani tu. Anakubalije jeshi la polisi kutumika kisiasa kama yeye si sheteani?
 
Back
Top Bottom