Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Sifa za viumbe hai (Binadamu).

1. Huzaliwa

2. Huishi

3. Hufa

Akili zingine ziwe zinachunguzwa kabla ya kuropoka maana ikiwa kila Binadamu alizaliwa pekeyake na kwa siku yake ndivyo hali halisi ya kifo chake kinavyokuwa.
 
Bila tume ya maridhiano hali itakuwa tete, Samia, mpango na kasimu watoke hadharani waje waombe radhi , tushikane mikono tusonge mbele tuandike katiba mpya.
Ccm wakidharau hii kitu nchi itapasuka
Kama mnaemuita mtesiwenu amesha kufa sasa mnataka maridhiano na nani wakati muhusika amesha kufa ama anawajia usingizini maana mnalopoka sana kama mmekatwa vichwa.

Subiri tukishtakiwa MIGA ndio nchi itapasuka upande mmoja tuuze tulipe fidia, vinginevyo utapasuka wewe.
 
Haya sasa hawa mbwa wakiachwa wataingia hadi msikitini.
Ngoja tuone tu
 
Shetani ni yoyote aliekuwa anakwepa kodi,alietumia cheti feki,aliekumbatia wafanyakazi hewa na wale wote wanao isaliti nchiyao wenyewe.
Yote tisa mia magufuri alikuwa na mapungufu ya kiongozi watu hawezi kuacha kusema. Ukiona watu wanaongea usidhani niwajinga wanaelewa. Kwenye issue ya vyeti fake mzee alikuwa na bias, rejea issue ya makonda. Issue za kukwepa Kodi mzee alikuwa na bias pia, rejea issue ya makontena barabarani. Kwenye issue za ufisadi alikuwa mnafiki tu, rejea report ya CAG, baadhi ya miradi kuzuia isikaguliwe. Acha ushabiki fungua akili yako Magu hakuwa Mungu alikosea mengi tu
 
Huyu ana usafi gani wa kuisema ikulu, ilihali yy alizaa na mke wa mtu? Hao anaowaita mashetani ndio waliomsaidia kuinfluence judgment ya kupinga mtoto aliezaa na mke wa mtu kupimwa DNA...angepimwa DNA yule mtoto saa hii tungekua tunaongelea mengine...nadhani ni muda muafaka jamaa akakate rufaa kesi ianze kuskilizwa upyaaa then anaowaita mashetani wamuache apambane na hali yake.
 
Una uhakika ametukana? Atatakiwa tu kuthibitisha nini uthibitisho wa uwepo wa shetani katika mtazamo wa imani yake. Yale yalikuwa mahubiri kanisani.
Huu ujinga wakutukuza viongozi ifike muda tuache ujinga, mwingira katoa nyongo zake coz kuna elements za magufurism bado zipo. Rais ni mtu kama sisi acha apewe changamoto
 
Naona watu hamjui hata kiswahili.

Mnaomtaja Jiwe mnajua kiswahili kweli?

Huyo mch wenu kasema "Ikulu ina shetani na anayeongoza ni mtoto wa shetani"

Maana yake kwa sasa Ikulu kuna shetani, ina maana ni wakati huu.Yaani yumo shetani ambaye automatically ni Rais aliyepo madarakani, lakini pia kauli ya pili nayo inaleta maswali.

Kauli ya pili anasema aliyepo kwa sasa ni mtoto wa shetani.

Je Shetani ni nani? -Mzazi mtu.

Je ni CCM? Magufuli? Kikwete au Ni nani hasa?

Kwahiyo msitafisir upande mmoja tu wakati kuna zaidi ya pande tatu hapo.
 
Shetani ni yoyote aliekuwa anakwepa kodi,alietumia cheti feki,aliekumbatia wafanyakazi hewa na wale wote wanao isaliti nchiyao wenyewe.
Sasa baada ya kondoa wafanyakazi waliosemwa kuwa wana vyeti feki, wafanyakazi hewa etc WAGE BILL ilipungua?
 
Shetani ni yoyote aliekuwa anakwepa kodi,alietumia cheti feki,aliekumbatia wafanyakazi hewa na wale wote wanao isaliti nchiyao wenyewe.
Wakwepa kodi wakubwa ni hao unaodhani ni wazalendo. Kama mtu analazimisha hawara yake apewe nyumba ya serikali. Kama mtu huyo huyo anatumia billions of shillings kutuletea Ferry isiyotembea, na baadaye kuihamishia jeshini ili isiongelewe . Eti ni kifaru cha kijeshi ! . Alikuwa na uzalendo gani huyo kuwazidi wpengine ?! Ukishaona mtu anampa mtoto wa dada kuwa paymaster general . Uzalendo happo ni zero

Vyeti feki na drs la saba hawakuingia kazini kwa kulazimisha. Ni mfumo uliowaingiza kazini. Badala ya kuwalaumu vyeti fake ungewalaumu waliowapa kazi.
 
Huyu ana usafi gani wa kuisema ikulu, ilihali yy alizaa na mke wa mtu? Hao anaowaita mashetani ndio waliomsaidia kuinfluence judgment ya kupinga mtoto aliezaa na mke wa mtu kupimwa DNA...angepimwa DNA yule mtoto saa hii tungekua tunaongelea mengine...nadhani ni muda muafaka jamaa akakate rufaa kesi ianze kuskilizwa upyaaa then anaowaita mashetani wamuache apambane na hali yake.
Unamtishia? Mwingira analamba yeyote anayejipendekeza mbele yake hata wewe!
 
Huyu ana usafi gani wa kuisema ikulu, ilihali yy alizaa na mke wa mtu? Hao anaowaita mashetani ndio waliomsaidia kuinfluence judgment ya kupinga mtoto aliezaa na mke wa mtu kupimwa DNA...angepimwa DNA yule mtoto saa hii tungekua tunaongelea mengine...nadhani ni muda muafaka jamaa akakate rufaa kesi ianze kuskilizwa upyaaa then anaowaita mashetani wamuache apambane na hali yake.
achana na kuzaa na mke wa mtu,hata angekuwa shoga anayo haki. Nyinyi wauaji ndiyo mna haki ya kusema? wauaji na wanyanganyi mmemnyanganya mpaka mke balozi na bado mnanyooshea wengine kidole. mmetomba mke wa balozi na ving'ora vimepaki nje mnawezaje kusema wengine
 
Back
Top Bottom