Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Hayo mambo ya ukwepaji kodi namengine uliyo yaeleza yote tulielezwa bayana na nikweli watu walifanya nchi kama ya shangazi zao.

Sasa lete ushahidi wa ufisadi wa magu na nini kinafanyika kusawazisha hayo makosamengi, sio kujifanya ujuaji wakukosoakosoa mambo ya kipuuzitu bila akili.

Miradi yote mikubwa kabisa inaendelea kama kawaida mbona hatusikii kusitishwa kwa mradi hatammoja wenye tuhuma za ubadhilifu kwaajili ya uchunguzi, acheni kujifanya wajuaji.
Magu aliiba Trillion 1.5 na CAG Musa Assad alilisema. ..una lingine?
 
Hivi je? Serikali hii:

1. haikukwiba kura?
2. haijabambikiza watu kesi?
3. haijapoteza watu?
4. haijadhulumu watu yakiwamo maisha yao?
5. haikuhusika na magenge ya wasiojulikana?
6. Nk. Msururu ni mrefu.

Kama majibu ni ndiyo basi kumbe aliyosema ni machache zaidi. Kama ndivyo basi lichumia tumbo ni wewe mjomba.
ilihusika na
1. kuzima ugaidi kibiti
2. kuweka sheria nzuri za madini
3. kuanza ujenzi wa reli mpya
4. kujenga overpass na flyovers kwa mara ya kwanza Tanzania
5. kusomesha watoto bure sekondari
6. kuongeza idadi kubwa ya hospitali na vituo vya afya
7. kuffufua mashirika ya umma yaliokuwa yamefifia kama TTCL na ATCL


hayo uliyoyataja hapo juu ni mambo ya kuambiwa tu, hakuna lenye uhakika. Hakuuna mtu mwenye usshahidi beyond reasonable doubt kwamba serikali iliiba kura ila majengo, reli, mikataba ya madini, hospitali, hela za capitation mashuleni ni mambo ambayo yanaonekana wazi
 
Hayo mambo ya ukwepaji kodi namengine uliyo yaeleza yote tulielezwa bayana na nikweli watu walifanya nchi kama ya shangazi zao.

Sasa lete ushahidi wa ufisadi wa magu na nini kinafanyika kusawazisha hayo makosamengi, sio kujifanya ujuaji wakukosoakosoa mambo ya kipuuzitu bila akili.

Miradi yote mikubwa kabisa inaendelea kama kawaida mbona hatusikii kusitishwa kwa mradi hatammoja wenye tuhuma za ubadhilifu kwaajili ya uchunguzi, acheni kujifanya wajuaji.
Unajua kinachoendelea Rufiji kwenye mradi wa umeme? vipi barabara ya Kibaha au unasubiri taarifa kutoka kwa shaka hamdu
 
Unamjua alie ruhusu nyumba za serikali wauziwe watumishi?, unamjua alie saini ununuzi wa hilo ferry?.
Swala la la pay master mtanzania yoyote mwenye sifa anaweza kufanya hiyo kazi.
Vyeti feki hakuna anaewalaumu wao ndio wanashinda humu kumlaani magu kwa kuwaondoa kazini maana waliingia kimagu mashi, sasa wanajiungu kuchafua kwa sababu ya chukiza maslahi.
Inawezekana akawa Mkapa au Jk aliruhusu agawe Nyumba mbona hakuzirudisha alivyopata mamlaka vipi kuhusu kile kivuko alichokimbizia jeshini acheni ujinga mtu wenu alikuwa wa hovyo tu
 
hahahaha anaichokoza dola, ... walipaswa kupambana na marehemu akiwa hai ana kwa ana...akiwa amekufa nikumuonea tu maana hakuna wakumsemea...

Marehemu bila shaka naye alikuwa anamafile yao ndio maana walikaa kimya...wangedungua midomo zama zile naye afungue mafaili yao..
Jiwe hakuwa na file lolote yeye alikuwa anataka kuwa na watu waliosagwa Ubongo tu lkn wanaofikiri wenyewe aliwapoteza Sasae Lisu alikuwa na file gani
 
Hayo mambo ya ukwepaji kodi namengine uliyo yaeleza yote tulielezwa bayana na nikweli watu walifanya nchi kama ya shangazi zao.

Sasa lete ushahidi wa ufisadi wa magu na nini kinafanyika kusawazisha hayo makosamengi, sio kujifanya ujuaji wakukosoakosoa mambo ya kipuuzitu bila akili.

Miradi yote mikubwa kabisa inaendelea kama kawaida mbona hatusikii kusitishwa kwa mradi hatammoja wenye tuhuma za ubadhilifu kwaajili ya uchunguzi, acheni kujifanya wajuaji.
Umeongea kwa hasira sababu yakuwa shabiki wa mtu na sio Nchi yenyewe hivyo ni vigumu mtu kama wewe kuelewa mambo maana nimoja ya watu mnaopenda kufurahishwa. Miradi mikubwa huwa ni lazima ukiguliwe ili kulinda matumizi ya fedha za umma kwani zingine zinapatikana kwa mkopo. Godfather wenu alizuia miradi yote mikubwa isikaguliwe hasa mradi wa sgr kwenye report za CAG ya prof Assad na kechere haukuguswa kabisa. Hawa viongozi hawa niwakupita tu hivyo wanapokosea sio vibaya kukosolewa kwa ajiri ya manufaa ya baadae kwa kizazi kijacho. Kama wewe ni mzalendo Kweli nenda nje ya box ufikilie bila mapenzi utaona mzee alikuwa anaharibu hili taifa kwa kujifanya mwamba mpaka kusema miradi mikubwa inagaramiwa na fedha za ndani wakati Nchi inaingia madeni tu. Uzuri wake alikuwa jasiri, committed ila roho mbaya Sana kavuruga mfumo wa ajira nchini katuletea watu kutoka jalalani yaan basi tu
 
Jiwe hakuwa na file lolote yeye alikuwa anataka kuwa na watu waliosagwa Ubongo tu lkn wanaofikiri wenyewe aliwapoteza Sasae Lisu alikuwa na file gani

Kuna tabia zingine ni za kihaini, adhabu ya mhaini unaijua....Taifa hili lina watu wajinga sana ambao ndio wanalikwamisha, bahati nzuri hao wajinga sisi ndio watetezi wao maana hatuyajui ya gizani au dark side zao..

Aliyoyafanya Manji nchi hii, ukideal nae kisheria hautamuweza lakini tafsiri ya ujinga wake mwingi ilikuwa sawa na uhaini tu, huyu unadeal naye gizani....Wahindi na waarabu walipodhibitiwa wasifanye dhulma kwa wakulima wakajiorganize wakaua soko la mazao ili nchi ikwame, huu ni kama uhaini tu... Tanzanite ilipodhibitiwa watu walikwenda kupiga fitna bei ya Tanzanite ikaanguka, hawa ni wahaini tu... Watu walikuwa matajiri kwa kufirisi NBC na CRDB wakawa mamilionea na kujifanya wanasaidia jamii ukiwagusa tu kelele kila kona, huu ni uhaini...

Wahuni au wahaini hawa wanatukwamisha mimi na wewe na watanzania wote lakini wakija mbele yetu wanajifanya wema kumbe huko gizani wanayoyafanya ni zaidi ya uhaini...Ukisema uwatungie sheria, ni hawa hawa wataenda gizani na kukwamisha usifanye chochote...Dawa yao ni kuwafagia na kuwakata miguu na nguvu ili Taifa liwe huru na setting nyingine zifanyike..
 
Unajua kinachoendelea Rufiji kwenye mradi wa umeme? vipi barabara ya Kibaha au unasubiri taarifa kutoka kwa shaka hamdu
Ndio najua, wametangaza ajira zaidi ya miamoja katika fani mbalimbali.
Ingia kwenye website ya arab contractor angalia kama kuna kazi inayo kufaa utumemaombi ukajenge nchi.

Barabara ya kibaha ndio nini?
Ama unazungumzia kipande cha barabara kuanzia Kimara mwisho mbaka mail moja.
Wewe ukipita unaona nini kinachoendelea ama unaishi mkoa gani we bendera.
 
Inawezekana akawa Mkapa au Jk aliruhusu agawe Nyumba mbona hakuzirudisha alivyopata mamlaka vipi kuhusu kile kivuko alichokimbizia jeshini acheni ujinga mtu wenu alikuwa wa hovyo tu
Hujui hata unachoongelea.
 
Wahalifu wanapopata forum ya kuzungumza...huwezi kuwa na utajiri unaotokana na zao la uhalifu ukaachwa sehemu yoyote duniani..inashangaza hawa watu wanazungumzia kunyanganywa mali zao leo bila ya kutueleza wamezipataje.rubbish
 
Kama mnaemuita mtesiwenu amesha kufa sasa mnataka maridhiano na nani wakati muhusika amesha kufa ama anawajia usingizini maana mnalopoka sana kama mmekatwa vichwa.

Subiri tukishtakiwa MIGA ndio nchi itapasuka upande mmoja tuuze tulipe fidia, vinginevyo utapasuka wewe.
Tunaendelea kusubiri mwimba pambio wa enzi hizo a.k.a mwana sgang.
 
Wahalifu wanapopata forum ya kuzungumza...huwezi kuwa na utajiri unaotokana na zao la uhalifu ukaachwa sehemu yoyote duniani..inashangaza hawa watu wanazungumzia kunyanganywa mali zao leo bila ya kutueleza wamezipataje.rubbish
Je mali za watawala wanazipataje tena ktk vipindi vifupi?
Ni vyema ukitumia busara kuwaza na kutoa maoni kuliko kudemka.
 
Umeongea kwa hasira sababu yakuwa shabiki wa mtu na sio Nchi yenyewe hivyo ni vigumu mtu kama wewe kuelewa mambo maana nimoja ya watu mnaopenda kufurahishwa. Miradi mikubwa huwa ni lazima ukiguliwe ili kulinda matumizi ya fedha za umma kwani zingine zinapatikana kwa mkopo. Godfather wenu alizuia miradi yote mikubwa isikaguliwe hasa mradi wa sgr kwenye report za CAG ya prof Assad na kechere haukuguswa kabisa. Hawa viongozi hawa niwakupita tu hivyo wanapokosea sio vibaya kukosolewa kwa ajiri ya manufaa ya baadae kwa kizazi kijacho. Kama wewe ni mzalendo Kweli nenda nje ya box ufikilie bila mapenzi utaona mzee alikuwa anaharibu hili taifa kwa kujifanya mwamba mpaka kusema miradi mikubwa inagaramiwa na fedha za ndani wakati Nchi inaingia madeni tu. Uzuri wake alikuwa jasiri, committed ila roho mbaya Sana kavuruga mfumo wa ajira nchini katuletea watu kutoka jalalani yaan basi tu
Sina haja ya kuwa na hasira ni mawazoyakotu.
Sasahivi hayupo tumeni wakaguzi wakague, ripoti ipelekwe bungeni ikajadiliwe au kama kunaripoti ya zamani ambayo ilizuiliwa sasa sindio ichinguzwe!!.

Kusema alikuwa anatumia mikopo alafu anasema nipesa zetu nihoja ya kipuuzitu labda uniambie madharayake ni nini, pesa ndio hizohizo ilimradi tunalipa wenyewe ndio pesazetu hizo.

Roho mbaya inategemea uliingia vipi kwenye 18 zake.
Tulifikia mahali ambapo tulitakiwa kupata mtu kama Magu iliatutingishe akilizetu kujua madhaifu mengi ya uongozi na ubadhilifu wa malizauma.

Kama unajiona mzalendo na unafikiri hatukuhitaji mtu wa ainaile kwa hali tuliyo fikia mfano mdogo tu,kuwekwa jiwe la msingi kuzindua ujenzi kabla hata ya kusaini mkataba, basi wewe ulikuwa mfaidika wa mfumo wa ufisadi.
 
Watambinya kende huyu mzee sio muda! Anajisahau,awamu ya mwanamke hii.
 
Watambinya kende huyu mzee sio muda! Anajisahau,awamu ya mwanamke hii.

Hawakuogopa kina Tutu wanavuna heshima daima:

IMG_20211227_112550_315.jpg
 
Back
Top Bottom