YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Nchi kuinusuru kuna njia nyingi mojawapo kuiba kuraKweli kabisa utawala wa ibilisi joka kuu ulikuwa umelaanika na wa kishetani kabisa. Ule wizi wa kura wa kishamba ambao haukuwahi kutokea katika sayari ya tatu 2020, ni dalili tosha shetani alikuwa ametamalaki.
Ukiona mijitu isiyoitakia mema nchi inaelekea kushinda.Kuiba kura ruksa