Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Yeye hakutuonaAcha kupotosha, nabii kasema alienda peke yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye hakutuonaAcha kupotosha, nabii kasema alienda peke yake!
Agiza juiceUkatoliki na wenyewe miyeyusho. Sabato ndio Wakristo pekee wasio na maskendo
Na hapo ndo wengi mmekamatwa...eti "Wachawi" na "Majini"Many will die because of ignorance of God secrets..... Huyo ameshinda mkanda wakumtukuza shetani... Maana hata Yesu alishuka kuzimu akamfunga pingu na mpaka leo amefungwa je alimkabidhi vipi mkanda?
Ikiwa Yulusifa angekuwa hai I mean angekuwa na uhuru hajatiwa pingu nataka kukuhakikishia Dunia ingekuwa bahari ya Moto na maumivu ambayo binadam hayajaona tangu kuubwa kwa dunia. Hivi amefungwa ila plan zake zimekuwa kilio kwa mwanadam. Je angekuwa na uhuru wakutembea ingekuwaje? Huyo mwanadam mwenye nyama kama mimi anawezaje kushuka kuzimu akarudi na mkanda hivi anakujuwa kuzimu kweli? Alie shuka kuzimu ktk hali ya uwanadam ila akiwa Mungu anatushuhudia Habari ya kuzimu... Pale mbingu na dunia vilisimama dam ikamwagika ili mwanadam aokolewe... Siku ile Mungu alitoa machozi kwa ajili ya wajinga kama hawa ambao hawajitambui... Nisiku ambayo haitotoka ktk historia za Mbinguni na nisiku ambayo Yulusifa alipoteza kwa kupigwa tutusa.... Akifikiri amemaliza ngume amemalizwa na hata leo huko kuzimu jina hili Yesu halitajwi huwamini watafute wachawi na majini uwaulize shughuli ya Hilo jina Yesu. End
Akili hii imeshaharibika...uko wapi Wokovu ambao Wakristo sasa tunapaswa kutembea nao kifia mbele!?Even mpagani au mtu wa dini yeyote kama unataka kujuwa hii nguvu ya jina Yesu litaje ktk jambo lolote utakacho kiona utakuja kushuhudia.. shetani sio tu anakula wanadam. Yani sisi ni chakula miili hii anakula ndio maana kuna magonjwa ya ajabu sana sio magonjwa ni maabara za shetani huko kuzimu zina fanya kazi... Unapo ona mtu ana Kansa Yani anakuwa chakula akiwa hai wanatafuta uchafu maroho machafu yanaingia ktk mwili yana leta Kansa yanakutafuna wewe unaona ugonjwa... Mtu anaitwa moyo unafikiri moyo no sio moyo ni kazi ya maabara za kuzimu kutengeneza viumbe kuitafuna mioyo yetu.. unaliwa ukiwa hai... Yani unaliwa kama fisi au mbwa mwitu wanavyo kula wanyama wenzak wakiwa hai... Yani ni shida. Mtu wa Mungu funguka or u will die.
Ha ha haa,ukorofi huoNabii wa kanisani kwetu akiwa ibadani miezi kadhaa iliyopita.
Beesmom karibu kanisani kwetu uje kupokea upako.
View attachment 2411064
Refa wa pambano alikuwa nani? Je kamisaa alitoka wapi?View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
View attachment 2411061
Nonsense!View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.
Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.
Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
View attachment 2411061
Nini kimetokea! [emoji1787]Aposto kuna muujiza huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
du!!!!!..........kwa ivo refa alikuwa nani?.....shetani kageuka MANDONGA!!hawa ndio wanaofanya ulokole uonekene utapeli.
Hata wewe umetudanganyaMany will die because of ignorance of God secrets..... Huyo ameshinda mkanda wakumtukuza shetani... Maana hata Yesu alishuka kuzimu akamfunga pingu na mpaka leo amefungwa je alimkabidhi vipi mkanda?
Ikiwa Yulusifa angekuwa hai I mean angekuwa na uhuru hajatiwa pingu nataka kukuhakikishia Dunia ingekuwa bahari ya Moto na maumivu ambayo binadam hayajaona tangu kuubwa kwa dunia. Hivi amefungwa ila plan zake zimekuwa kilio kwa mwanadam. Je angekuwa na uhuru wakutembea ingekuwaje? Huyo mwanadam mwenye nyama kama mimi anawezaje kushuka kuzimu akarudi na mkanda hivi anakujuwa kuzimu kweli? Alie shuka kuzimu ktk hali ya uwanadam ila akiwa Mungu anatushuhudia Habari ya kuzimu... Pale mbingu na dunia vilisimama dam ikamwagika ili mwanadam aokolewe... Siku ile Mungu alitoa machozi kwa ajili ya wajinga kama hawa ambao hawajitambui... Nisiku ambayo haitotoka ktk historia za Mbinguni na nisiku ambayo Yulusifa alipoteza kwa kupigwa tutusa.... Akifikiri amemaliza ngume amemalizwa na hata leo huko kuzimu jina hili Yesu halitajwi huwamini watafute wachawi na majini uwaulize shughuli ya Hilo jina Yesu. End
Nadhani sio pia[emoji16][emoji16]
Nonsense!
Prophet Odumeje hapendi aiba hii ya maswaliRefa wa pambano alikuwa nani? Je kamisaa alitoka wapi?
Usikute alitoka na Marefa wake huku duniani wakampendelea.
Haya tuseme pambano la kwanza ndiyo limefanyika huko motoni..je marudiano yatafanyikia wapi? Ili shetani naye ajiulize kwa nini kapigwa kizembe!
Inawezekana shetani anakaa peke yake hana hata nyumba wala wasaidizi? Huyu jamaa ilibidi Kwanza awapige walinzi na awashinde halafu aingie ndani ampe Kickapoo shetani.
Sass kama alikuwa peke yake nani alikuwa refa? Huo mkanda alikuwa anamiliki shetani baada ya kumshinda nani?
Kuna watu wapumbavu sana.
Nabii amerogwaKwa hiyo! SHETANI HAYUPO TENA NA KAMA NI DHAMBI TUTAKUA TUNA FANYA KWA MATAKWA YETU NA SI KWA VISHAWISHI VYA SHETANI!!?
Ajamaliza mapambano! Aje na wakumshinda mwanadamu, mimi ntaenda kupambania ule wa vikoba unao sumbua wake zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]