Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

Hahahahaha aisee, na hapo waumini ni shangwe tuu.

Mandnga mtu kazi kamaliza pambano kuzimu, jomba sheti kapanda mtumbwi wa vibwengo
 
Many will die because of ignorance of God secrets..... Huyo ameshinda mkanda wakumtukuza shetani... Maana hata Yesu alishuka kuzimu akamfunga pingu na mpaka leo amefungwa je alimkabidhi vipi mkanda?
Ikiwa Yulusifa angekuwa hai I mean angekuwa na uhuru hajatiwa pingu nataka kukuhakikishia Dunia ingekuwa bahari ya Moto na maumivu ambayo binadam hayajaona tangu kuubwa kwa dunia. Hivi amefungwa ila plan zake zimekuwa kilio kwa mwanadam. Je angekuwa na uhuru wakutembea ingekuwaje? Huyo mwanadam mwenye nyama kama mimi anawezaje kushuka kuzimu akarudi na mkanda hivi anakujuwa kuzimu kweli? Alie shuka kuzimu ktk hali ya uwanadam ila akiwa Mungu anatushuhudia Habari ya kuzimu... Pale mbingu na dunia vilisimama dam ikamwagika ili mwanadam aokolewe... Siku ile Mungu alitoa machozi kwa ajili ya wajinga kama hawa ambao hawajitambui... Nisiku ambayo haitotoka ktk historia za Mbinguni na nisiku ambayo Yulusifa alipoteza kwa kupigwa tutusa.... Akifikiri amemaliza ngume amemalizwa na hata leo huko kuzimu jina hili Yesu halitajwi huwamini watafute wachawi na majini uwaulize shughuli ya Hilo jina Yesu. End
Na hapo ndo wengi mmekamatwa...eti "Wachawi" na "Majini"

Unajiita mkristo halafu unataja "Majini"!?...unayajua majini wewe!?...unaifahamu Surat inayotaja majini!?...Unalijua fundisho la kikristo lolote linalo eleza majini?

Mmejichongea vinyago vya kujitisha wenyewe...mfano Laana za ukoo...Mnawatukana babu zenu ndo wamefanya msifanikiwe kisa wana laana...hivi babu zetu na babu za Wazungu na Waarabu nani anastahili laana...!? sio babu zao waliotuchukua utumwa na kutufanyia ukatili wa kinyama na kuwauwa babu zeti chungu nzima baharini na kazi za hatari kwa mateso makali?

Mnajitisha kwa kujiaminisha kila changamoto ya maisha ni "Pepo"...kukosa kazi pepo...kutokuelewa pepo...nk

Mnatajataja kuzimu na mambo ya kujiumbia ya kutisha kama uchawi na shetani halafu mnaanza kufanya maigizo yenu mbele ya kadamnasi mkilialia na kuanguka kiasi wengine kuwehuka kabisa halafu mnakuja kutuambia mmeokoka

UKWELI MNAUAIBISHA UKRISTO...NA MATUNDA YAKE NI HAWA MANABII

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Even mpagani au mtu wa dini yeyote kama unataka kujuwa hii nguvu ya jina Yesu litaje ktk jambo lolote utakacho kiona utakuja kushuhudia.. shetani sio tu anakula wanadam. Yani sisi ni chakula miili hii anakula ndio maana kuna magonjwa ya ajabu sana sio magonjwa ni maabara za shetani huko kuzimu zina fanya kazi... Unapo ona mtu ana Kansa Yani anakuwa chakula akiwa hai wanatafuta uchafu maroho machafu yanaingia ktk mwili yana leta Kansa yanakutafuna wewe unaona ugonjwa... Mtu anaitwa moyo unafikiri moyo no sio moyo ni kazi ya maabara za kuzimu kutengeneza viumbe kuitafuna mioyo yetu.. unaliwa ukiwa hai... Yani unaliwa kama fisi au mbwa mwitu wanavyo kula wanyama wenzak wakiwa hai... Yani ni shida. Mtu wa Mungu funguka or u will die.
Akili hii imeshaharibika...uko wapi Wokovu ambao Wakristo sasa tunapaswa kutembea nao kifia mbele!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2411042
Nabii Odumeje wa Nigeria akionyesha mkanda alioupata baada ya kushinda pambano la Kimataifa la Vita ya Kiroho.

Nabii Odumeje anasema alienda kuzimu akiwa peke yake na akapigana na shetani wakiwa kwenye ulingo uliokuwa umefungwa pande zote.

Hakika ukijidhania umemaliza kuyajua yote, wewe hujui kitu.
Kongole za kipekee zimfikie Mshana Jr
View attachment 2411061
Refa wa pambano alikuwa nani? Je kamisaa alitoka wapi?

Usikute alitoka na Marefa wake huku duniani wakampendelea.

Haya tuseme pambano la kwanza ndiyo limefanyika huko motoni..je marudiano yatafanyikia wapi? Ili shetani naye ajiulize kwa nini kapigwa kizembe!
 
Many will die because of ignorance of God secrets..... Huyo ameshinda mkanda wakumtukuza shetani... Maana hata Yesu alishuka kuzimu akamfunga pingu na mpaka leo amefungwa je alimkabidhi vipi mkanda?
Ikiwa Yulusifa angekuwa hai I mean angekuwa na uhuru hajatiwa pingu nataka kukuhakikishia Dunia ingekuwa bahari ya Moto na maumivu ambayo binadam hayajaona tangu kuubwa kwa dunia. Hivi amefungwa ila plan zake zimekuwa kilio kwa mwanadam. Je angekuwa na uhuru wakutembea ingekuwaje? Huyo mwanadam mwenye nyama kama mimi anawezaje kushuka kuzimu akarudi na mkanda hivi anakujuwa kuzimu kweli? Alie shuka kuzimu ktk hali ya uwanadam ila akiwa Mungu anatushuhudia Habari ya kuzimu... Pale mbingu na dunia vilisimama dam ikamwagika ili mwanadam aokolewe... Siku ile Mungu alitoa machozi kwa ajili ya wajinga kama hawa ambao hawajitambui... Nisiku ambayo haitotoka ktk historia za Mbinguni na nisiku ambayo Yulusifa alipoteza kwa kupigwa tutusa.... Akifikiri amemaliza ngume amemalizwa na hata leo huko kuzimu jina hili Yesu halitajwi huwamini watafute wachawi na majini uwaulize shughuli ya Hilo jina Yesu. End
Hata wewe umetudanganya
 
Refa wa pambano alikuwa nani? Je kamisaa alitoka wapi?

Usikute alitoka na Marefa wake huku duniani wakampendelea.

Haya tuseme pambano la kwanza ndiyo limefanyika huko motoni..je marudiano yatafanyikia wapi? Ili shetani naye ajiulize kwa nini kapigwa kizembe!
Prophet Odumeje hapendi aiba hii ya maswali
 
Shetani anamiliki mikanda mingi sana. Jamaa kaenda kuchukua mmoja kibabe sana. Tena closed doors

Wajinga washaliwa hapo.
Inawezekana shetani anakaa peke yake hana hata nyumba wala wasaidizi? Huyu jamaa ilibidi Kwanza awapige walinzi na awashinde halafu aingie ndani ampe Kickapoo shetani.
Sass kama alikuwa peke yake nani alikuwa refa? Huo mkanda alikuwa anamiliki shetani baada ya kumshinda nani?
Kuna watu wapumbavu sana.
 
Kwa hiyo! SHETANI HAYUPO TENA NA KAMA NI DHAMBI TUTAKUA TUNA FANYA KWA MATAKWA YETU NA SI KWA VISHAWISHI VYA SHETANI!!?
Ajamaliza mapambano! Aje na wakumshinda mwanadamu, mimi ntaenda kupambania ule wa vikoba unao sumbua wake zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nabii amerogwa
 
Back
Top Bottom