Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana ndani ya ka studio kadogo, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.
Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.

If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
Paskali
Asante kwa kuleta hili hapa, binafsi huwa naogopa sana kujadili mambo yawahusuyo watumishi wa Mungu au wapakwa mafuta wa Bwana.
Tuanze na Corona...this is real na haitakiwi kufanyiwa mzaha wa kinabii. Sayansi haina unabii zaidi ya kufanya sanaa.
Pia naomba kudeclare kuwa mimi niko Mwanza ambako nabii Malisa kaanzia. Sitaki kujiingiza kuhusu ni Mungu gani anamtumikia hilo anajua yeye na Mungu wake. Naomba nijikite tu kwenye huo unabii anaouleta, nabii huonyeshwa yajayo sio yaliyopo...alitakiwa aje na unabii kabla Corona haijaanza na apewe suluhisho. Unabii gani huu hapa ni mtu anaangalia tu alama za nyakati kuwa hata ikienda sana haiwezi kulast long, lakini kusema huo ni unabii...labda Mungu wake anajua. Na kuhusu watu waliopiga simu na kupewa unabii on the spot,nikukumbushe tu miezi sio mingi South Africa mtumishi wa Mungu alimfufua mfu na matokeo yake tunayajua kwa hiyo hiyo ya watu kupiga simu is not a big deal. Japo sikatai manabii wapo but this is too cheap to be bought.
Corona is real nirudie tena,tukisikiliza hasa manabii tutaishaa...kwa nini haiendi walikolazwa wagonjwa akapige maombi ya kuzuia vifo?
Na je,kanisani kwake wamewela ndoo za maji na sanitizer? Kama wameweka ni kwa ajili ya nini wakati Mungu kamwambia hakuna kufa tena?
Watanzania tufuateni maelekezo ya watalaamu wa afya na wasemaji wenye dhamana ya kusemea gonjwa hili.
Hivi kwa hiyo airtime aliyopewa na kutizamwa na watanzania mamia kwa maelfu,akiaminiwa tutapata athari kiasi gani? Maana watu wataamini hakuna vifo na corona mwisho April,si wataachana na tahadhari zozote?
Serikali imuite na arudishwe WasafiTv akanushe kama yule anaitwa Mashimo aliedai anadawa kwa kuitangaza youtube na baadar kukanusha yeye mwenyewe...
Hii ni sanaa...watumishi wanashauri kusikiliza wataalamu huku wakimwomba Mungu kuliepusha hili balaa na si hii sanaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana watu 14 ndani ya ka studio kadogo!, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.
Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.

If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
Huyo anayejiita nabii malisa sio mkweli!

Mimi sijaongea nae Wala sijampa maono katika njozi.

Kuweni makini na hao manabii wa nyakati hizi huko duniani, nawapenda Sana wanadamu.
 
Aliekudanganya kuna supreme power ni nani? Uliwahi kuiona wapi?

Hii issue ya corona na magonjwa mengine ni ishara kua hakuna supreme power, hakuna mungu wala shetani.

Cha ajabu watu wanaenda kumuomba mungu ambae hawezi kuzuia corona wala ebola, unaomba kitu kisicho na msaada kwako ili iweje?

Haya mambo ya mungu ni hadithi tu za alinacha. Naona kule italy pala mwenyewe leo ameendesha ibada kwa livestreaming, hua wanasema pale ndipo yesu/mungu aliweka mwaka au kanisa lake, je mungu amelisahau kanisa lake la mt petro? Ameshindwa kumsaidia papa muwakilishi wake hapa Duniani?

Tuendelee kuomba.
Kwa vile unazungumzia mungu na yesu, ni kweli hawawezi kitu, lakini ingekuwa ni Mungu na Yesu, Wanaweza kila kitu!.
P
 
Kwa vile unazungumzia mungu na yesu, ni kweli hawawezi kitu, lakini ingekuwa ni Mungu na Yesu, Wanaweza.
P
Mkuu Pascal, herufi kubwa au ndogo ni utaratibu tu wa kiuandishi ila hauhusiani kabisa na nguvu au mamlaka ya kitu. Kwamba ukiandika Mungu/Yesu hapo ndio utukufu wake na nduvu wake zinakuja ila ukiandika mungu/yesu basi umebadilisha maana?😂😂. Na je ukiandika MUNGU/YESU wanakua na mamlaka na nguvu mara 2 zaidi?

Na wewe pia umevutika kudanganyika kwenye kuhusisha mamlaka ya kitu na uandishi wa herufi. Okay, tuseme iko hivyo, je nikitamka pia itatofautisha?

Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
 
Ha
Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.

Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.

Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?

Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
Haya maneno uliyoandika yamekwisha andikwa.
 
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana watu 14 ndani ya ka studio kadogo!, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.

Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.

If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
Najitahidi kuishi imani ambayo inanisukuma 'to do everything as if God does not exist, but in the background I know that he exists'. Hivyo, almost always namwomba Mungu anijalie kile anachoona yeye kinafaa kwangu na siyo ninachoona kinafaa na pia anijalie muda na wakati anaoona unafaa na siyo ninaoona unafaa. Haya maombi mengine na unabii wa kupiga ramli huu 'mimi simo'.
 
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana watu 14 ndani ya ka studio kadogo!, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.

Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.

If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
Namuonaga kwenye tv huyu jamaa,namuona fresh japo kuna maneno wanamnenea mabaya
Na wapo wanaomuongelea vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kizuri nimekinote kwa utabiri wa huyu Nabii Malisa, tabiri zake zote kwa kila aliyepiga simu, ni mtabiri ameona nguvu za giza, nguvu za shetani zikiwakwamisha watu, hivyo amezifunga na sasa wote watabarikiwa, wenye magonjwa wameponywa instantly, na wote watafanikiwa.
P
You can't be serious.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huona na yeye huyo nabii Tapeli anapotosha umma? Je yule mke na mume waliitelemshwa kwenye daladala wakapelekwa polisi na kutangazwa na Mambosasa kwa mbwembwe, ni wakati wa kuwafutia mashitaka yao na kuachiwa huru,au kwa sababu wao ni WANYONGE?
 
TB joshua mwenzake alisema march 27 hakutakua na corona, tarehe moja mwezi wa nne ilipofika visa vya maambukizi viliongezeka pamoja na kifo cha mtu mmoja

Atuambie ni may ya mwaka gani?

It's Scars
 
Back
Top Bottom