Pre GE2025 Nabii Sanga: Mgawanyiko mkubwa utaikumba CCM mwaka 2024 na 2025, tuiombee

Pre GE2025 Nabii Sanga: Mgawanyiko mkubwa utaikumba CCM mwaka 2024 na 2025, tuiombee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tuwaombee ili waendelee kusomesha watoto wao expensive schools in kenya kama Aghakhan academy mombasa sio
 
Tuwaombee ili waendelee kusomesha watoto wao expensive schools in kenya kama Aghakhan academy mombasa sio
Tuwaombee Ili kugombana kwao kusiumize raia wasio na hatia,

Wakabidhi chama kingine Kwa Amani kabisa.
 
Salaam, Shalom.

Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.

Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.

Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.

Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.🙏

Source: POG family Tv.
mkinga kawa nabii? dah. hongera zake.
 
Labda mungu na sio Mungu
Sasa Unadhani CCM inaingiza bila Mungu kuruhusu?

Sasa ni muhimu kuomba Ili kugombana kwao, kusifanyike lango la kuvuruga Amani ya nchi yetu.
 
Salaam, Shalom.

Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.

Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.

Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.

Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.🙏

Source: POG family Tv.
Msigwa na msaidizi wa Mdee wamechomekwa na CDM humo CCM kimkakati bila wenyewe kujijua wakipumbazwa na usanii wanaotumia kuwashambulia CDM.

CDM mnashauriwa kutowajibu wote waliotimkia CCM ila mjibidishe kitaalamu zaidi kupata taarifa zote nyeti kutoka kwa wasuka mipango na kuifanyia kazi bila kuitangaza kwenye majukwaa ya kisiasa......you will outsmart the devil out-rightly....period!!
 
Salaam, Shalom.

Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.

Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.

Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.

Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.🙏

Source: POG family Tv.
Hawa waganga wa kienyeji wanojiita.manabii wanatafuta hela

Wanawatisha maCcm huku wanasikilizia wanajua maccm Wana mihela ya arabuni watawatafuta ili wawasaidie kurekebisha visivyorekebishika
 
Msigwa na msaidizi wa Mdee wamechomekwa na CDM humo CCM kimkakati bila wenyewe kujijua wakipumbazwa na usanii wanaotumia kuwashambulia CDM.

CDM mnashauriwa kutowajibu wote waliotimkia CCM ila mjibidishe kitaalamu zaidi kupata taarifa zote nyeti kutoka kwa wasuka mipango na kuifanyia kazi bila kuitangaza kwenye majukwaa ya kisiasa......you will outsmart the devil out-rightly....period!!
Jambo hili halina ushahidi,

Ni tetesi tu.
 
Msigwa na msaidizi wa Mdee wamechomekwa na CDM humo CCM kimkakati bila wenyewe kujijua wakipumbazwa na usanii wanaotumia kuwashambulia CDM.

CDM mnashauriwa kutowajibu wote waliotimkia CCM ila mjibidishe kitaalamu zaidi kupata taarifa zote nyeti kutoka kwa wasuka mipango na kuifanyia kazi bila kuitangaza kwenye majukwaa ya kisiasa......you will outsmart the devil out-rightly....period!!
hakuna umuhimu wowote kwa chadema kuichunguza ccm, kwasababu hakuna kitu chadema wasichokijua kwa ccm, na hata kujua kwao hakuna madhara yeyote kwa ccm. ukweli uliopo ni kwamba msigwa na yeyote anayeondoka wamechoka na umwinyi wa mbowe na soon hata Lisu ataondoka ama la, atakuwa kimyaaa harakati zote ataziacha. why? baada ya kulamba asali.
 

Ni sawa na mimi sasa hivi kusema, kesho itakuwa jumanne, tuiombee sana nchi yetu.

Hapo hakuna unabii, mwambieni huyo mtu afanye kazi za uzalishaji mali aache ujanja ujanja na kutafuta umaarufu.
mzee yahaya ndiye alifanya nikaamini na bado nasubiri moja ya tabiri zake itimie ili ujenzi wa sanamu lake ufanyike bila hiyana.
 
CCM wakifarakana itakuwa ni ahueni kwa Taifa. Hii CCM ya nyakati hizi ni shetani anayewatesa sana Watanzania.

Tuombe wafarekani bila ya kuleta madhara kwa nchi.
 
Back
Top Bottom