Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeeh! Acha waisome namba.Mwaka mgumu kwa wafanya blunder za Uchaguzi
KimetimiaAlichotabiri sicho
Kumekucha...Nasikia yule mkuu wa wale wanaovaa mabaka mabaka nae tia maji tia maji
Mkuu huoni kama kweli corona ilitoweka haraka 2020 lakini kutokana na blunder za uchaguzi imerejea tena! Mungu si wakufanyia majaribio, hata waizrael walipogeukia uovu baraka zao zilitoweka na kuwa watumwa kwa wafilipi.Pia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania.
Utabiri huu umefaulu kufeli
dikteta sasahivi anapata shida huko alikoPia nabii Suguye amesema alikuwa mtu wa kwanza kutabiri kuwa korona itatoweka haraka nchini Tanzania.
Utabiri huu umefaulu kufeli
Corona ilikimbia joto lakini pia ilichukua likizo kidogoMkuu huoni kama kweli corona ilitoweka haraka 2020 lakini kutokana na blunder za uchaguzi imerejea tena! Mungu si wakufanyia majaribio, hata waizrael walipogeukia uovu baraka zao zilitoweka na kuwa watumwa kwa wafilipi.
Si rahisi Suguye kutamka maneno kama hayo - naona hapo watu wamemunukuu vibaya for political reasons. Msimsingizie mchungaji wa watu.Nabii Suguyee eee, wamegoma!!
Una uhakika?Huyo nabii wa Nandi ni msanii kitambo sana!
Kwa sabb yanaathiri jamiiKwanini anatabiri mambo ya kisiasa
Bado humwamini Suguye?Huyo nabii wa Nandi ni msanii kitambo sana!
Bado humwamini Suguye?