Alitabiri Jiwe limeng'oka na ikawa usimchukulie poaHuyo nabii kwanza angeweka wazi utakatifu wa Mbowe ni upi,kama kweli mtu mlevi,mzinifu mwizi wa fedha za taasisi anapendeza mbele za macho ya Bwana.
Anatisha ..kama tafasiri ya kiroho ni hivyo lipo jambo Kweli...dalili zinaonyesha ..Mama Kapoteza mvuto ghafla mno kwa Wengi...Inashangaza wanadiplomasia kujazana Kisutu na Wanasheria wao..na BARAKOA zao????Yetu Macho...Amenifikirisha kiukweli .utawala umeondoka,ulinzi umeondoka dah ukisema nimapenzi ya Mungu tu bado sisawa
Hapa ndiyo pana tishaAkaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Ccm ilishakufa zamani kuna kikundi cha watu tu wachache kinalinda maslai yao binafsi kutumia plcNabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.
Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.
Msikilize hapa:
View attachment 1883764
Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Unatabiri kwaajiri ya kuonya ts biblical bro, mimi kuna watu wawili walishawahi kunitabiria the same thing mmoja ni muarabu nadhani ni mpemba na mwingine ni mtu tu wa maombi wala hanahuduma yeyote walichokiona kwangu kilikua sio kitu poa but nikirekebisha mambo flan nitakua matata balaa tatizo ujana mpaka leo natembelea rim sababu sijafata ushauri wa yeyoteHivi hawa watabiri hua hawana uwezo wa kutabiri mambo mazuri? Kila mtabiri hutabiri mambo mabaya!!
Sasa hivi atakuja mwingine na kujiita nabii na atasema "Simba itaanguka coz Mungu amekasirika kwa Mo kumtimua Manara"
Mtu kujiita Nabii imekua jambo jepesi sana siku hizi.
🤣🤣🤣🤣
R.I.P MagufuliMtaongea mengi saana mwaka huu
Magufuli alifariki 17.03.2021Gaidi Mbowe si anaigiza yeye ni Mandela wa Tz, acha akae sehemu stahili yake awe Mandela kama anavyoigiza.
Tangu lini rais akaachia magaidiNabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.
Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.
Msikilize hapa:
View attachment 1883764
Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Huyo nanbii anaweza kanisnai kwake kukaanza kujaa michadema kila jumapili kama kipindi kile cha gwaji boy na ubuyu wa bashite
Umeshampelekea Gaidi Mbowe uje Segerea?M
Magufuli alifariki 17.03.2021
SSH kasha lewa madaraka. ThanksNabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.
Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.
Msikilize hapa:
View attachment 1883764
Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Vipi huyo nabii wenu anasemaje kuhusu Sabaya?Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.
Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.
Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.
Msikilize hapa:
View attachment 1883764
Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Ni kweli,tupo wengi wanaoneshwa mmoja au wawili.Macho ya rohoni si kila mmoja wetu anatunukiwa kuwa nayo
Nimelike avatar yako kusema kweliSubiri uone.....
Na bado