Nabii wa Ishara atabiri chuki kwa utawala wa Rais Samia kama hatamwachilia Mbowe

Nabii wa Ishara atabiri chuki kwa utawala wa Rais Samia kama hatamwachilia Mbowe

Huyo nabii kwanza angeweka wazi utakatifu wa Mbowe ni upi,kama kweli mtu mlevi,mzinifu mwizi wa fedha za taasisi anapendeza mbele za macho ya Bwana.
Alitabiri Jiwe limeng'oka na ikawa usimchukulie poa
 
Amenifikirisha kiukweli .utawala umeondoka,ulinzi umeondoka dah ukisema nimapenzi ya Mungu tu bado sisawa
Anatisha ..kama tafasiri ya kiroho ni hivyo lipo jambo Kweli...dalili zinaonyesha ..Mama Kapoteza mvuto ghafla mno kwa Wengi...Inashangaza wanadiplomasia kujazana Kisutu na Wanasheria wao..na BARAKOA zao????Yetu Macho...
 
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Ccm ilishakufa zamani kuna kikundi cha watu tu wachache kinalinda maslai yao binafsi kutumia plc
 
Hivi hawa watabiri hua hawana uwezo wa kutabiri mambo mazuri? Kila mtabiri hutabiri mambo mabaya!!

Sasa hivi atakuja mwingine na kujiita nabii na atasema "Simba itaanguka coz Mungu amekasirika kwa Mo kumtimua Manara"

Mtu kujiita Nabii imekua jambo jepesi sana siku hizi.
🤣🤣🤣🤣
Unatabiri kwaajiri ya kuonya ts biblical bro, mimi kuna watu wawili walishawahi kunitabiria the same thing mmoja ni muarabu nadhani ni mpemba na mwingine ni mtu tu wa maombi wala hanahuduma yeyote walichokiona kwangu kilikua sio kitu poa but nikirekebisha mambo flan nitakua matata balaa tatizo ujana mpaka leo natembelea rim sababu sijafata ushauri wa yeyote
 
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Tangu lini rais akaachia magaidi


USSR
 
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
SSH kasha lewa madaraka. Thanks
 
Nabii wa ishara Tanzania ametoa unabii na maono ya kiroho kwamba utawala wa SSH utapata laana na chuki isiyomithilika kama utaendelea kumshikilia Mbowe.

Akaongeza kwa kusema hata kifo cha waziri wa ulinzi kiroho kina maana mbaya sana kwa taifa, kinamaanisha Mungu amekasirika na kuamua kuondoa ulinzi.

Amemuonya rais SSH kujitafakari na kulinusuru taifa kwa kumuachilia Mbowe haraka iwezekanavyo.

Msikilize hapa:


View attachment 1883764


Na huyu nabii siyo wa mchezo mchezo alishawahi kutoa utabiri wake ukatimia Nabii wa Ishara Tanzania: CCM wataomboleza, Zanzibar kuna mgogoro na kifo cha mtu mkubwa 2021
Vipi huyo nabii wenu anasemaje kuhusu Sabaya?
 
huu uhuru umepitiliza, anapoongea hayo hajui chochote kilichopo kwenye upelelezi. nadhani ifike kipindi serikali ishughulikie kwa dhati watu kama hawa.
 
Back
Top Bottom