ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Nyuma ya keyboard alafu kamevimba kama chura kaingia kwenye 18 za nyoka π πWenye nazo sahizi wapo vakesheni wanakula upepo wa bahariπββπββ yeye yupo nyuma ya keyboard π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuma ya keyboard alafu kamevimba kama chura kaingia kwenye 18 za nyoka π πWenye nazo sahizi wapo vakesheni wanakula upepo wa bahariπββπββ yeye yupo nyuma ya keyboard π
Mkuu hilo pambio limesikika kama unazo hela nikupe link utie mpunga huko uwasaidie wahitaji.Tafuta hela
Tafuta hela hayo maandishi hayatikutoa kwneye ufukaraa ulionaoUliwahi kumsikia tajiri anapiga kelele??
Au uliwahi kumsikia MWANAUME WA KWELI anamdharau aliye chini yake!!??
Tajiri wa kweli hukaa kimya na mwanaume wa kweli humuheshimu mwenzake kwasababu anathamini juhudi za utafutaji.
hana huyo kuchosha watuWenye nazo sahizi wapo vakesheni wanakula upepo wa bahariπββπββ yeye yupo nyuma ya keyboard π
Huyo kijana anaota, goja amalize kujikokolea kwenye njozi yake.. ataukimbia Uzi wake π πUliwahi kumsikia tajiri anapiga kelele??
Au uliwahi kumsikia MWANAUME WA KWELI anamdharau aliye chini yake!!??
Tajiri wa kweli hukaa kimya na mwanaume wa kweli humuheshimu mwenzake kwasababu anathamini juhudi za utafutaji.
π ila jf kila mtu ni tajiri akiamua, ni bando lake tu.Nyuma ya keyboard alafu kamevimba kama chura kaingia kwenye 18 za nyoka π π
Mimi sio serikali ya hao wahitajiMkuu hilo pambio limesikika kama unazo hela nikupe link utie mpunga huko uwasaidie wahitaji.
Nina uwezo wa kuilisha familia yako.Tafuta hela hayo maandishi hayatikutoa kwneye ufukaraa ulionao
Hata Wewe masikini pia utakufa tu.Ukifa ndo haya maeneno yako yataleta maana .
Ila ukiwa unaishi endelea kuzihesabu siku zako kwa hekima.
Sema "mimi sina hela"Mimi sio serikali ya hao wahitaji
Kijana anavimba kama chura aliyeingia 18 za nyoka by MTU MTU MTU.π ila jf kila mtu ni tajiri akiamua, ni bando lake tu.
Narudia tena tafuta hela wahitaji sitaki kuwasaidia sababu sijaja nao dunianiSema "mimi sina hela"
Sio lazima uwe serikali ndio uweze kuwasaidia wahitaji.
ππππHata Wewe masikini pia utakufa tu.
Tafuta hela masikini weweKijana anavimba kama chura aliyeingia 18 za nyoka by MTU MTU MTU.
Tafuta helaππππ
Usiogope kufa mkuu Ila ogopa kuishi maisha ya kuwa attention seeker
Tafuta hela masikini wewekawadanganye watoto uko