Nachukia sana masikini

Nachukia sana masikini

Baada ya miezi 4 unakuja na thread ya kuchangiwa pesa sijui kuna ugonjwa unakusumbua, wakifukua kaburi unaumbuka, labda uje na ID nyingine. Usitukane maba kabla haujavuka mto. Si kila masikini ni mvivu, wengine ni mfumo umewafanya kuwa hivyo anachakalika sana ila bado pesa hazipati au anazipata lakininhazikidhi majukumu yake.
 
Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe kizembe umasikini ni laana
tea_mobama-_012515064953.jpg
 
Baada ya miezi 4 unakuja na thread ya kuchangiwa pesa sijui kuna ugonjwa unakusumbua, wakifukua kaburi unaumbuka, labda uje na ID nyingine. Usitukane maba kabla haujavuka mto. Si kila masikini ni mvivu, wengine ni mfumo umewafanya kuwa hivyo anachakalika sana ila bado pesa hazipati au anazipata lakininhazikidhi majukumu yake.
Shindwa hamna masikini nitaemuomba pesa yake hata siku Moja mpaka hii dunia inafungwa
 
Back
Top Bottom