Sasa,si utawamaliza ndg zako wote kaka?Nina huo mpango wa kuwalamba risasi masikini wote
Hadi wazazi wako😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa,si utawamaliza ndg zako wote kaka?Nina huo mpango wa kuwalamba risasi masikini wote
Tafuta hela masikini wewe nitakulamba risasi mda sio mrefuUjinga ,ushamba, ulimbukeni na magonjwa nyemelezi ya akili ndio vinakusumbua
Tafuta nawewe piaTafuta hela
Mimi zimejaaTafuta nawewe pia
Sawa kaka tajiri 🥴🥴Tafuta hela
Ndio maana huyu anawashwa mataqo..😜Maskini akipata mataqo huwasha na hulia mbwata
Akayaburuze ukutani, muwasho umtoke..😅😅Ndio maana huyu anawashwa mataqo..😜
😂 si kazipata acha yamuwasheNdio maana huyu anawashwa mataqo..😜
wenye nazo huwa hawajisemi. Kwenye jarida la fobres upo namba ngapi?Mimi zimejaa
Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe kizembe umasikini ni laana
Shindwa hamna masikini nitaemuomba pesa yake hata siku Moja mpaka hii dunia inafungwaBaada ya miezi 4 unakuja na thread ya kuchangiwa pesa sijui kuna ugonjwa unakusumbua, wakifukua kaburi unaumbuka, labda uje na ID nyingine. Usitukane maba kabla haujavuka mto. Si kila masikini ni mvivu, wengine ni mfumo umewafanya kuwa hivyo anachakalika sana ila bado pesa hazipati au anazipata lakininhazikidhi majukumu yake.
Huyo anaota, akishamaliza kujikokolea kwenye hiyo njozi ndio atashtuka 😅😅wenye nazo huwa hawajisemi.
Tafuta hela full stop
Tafuta hela masikini weweHuyo anaota, akishamaliza kujikokolea kwenye hiyo njozi ndio atashtuka 😅😅
Wenye nazo sahizi wapo vakesheni wanakula upepo wa bahari🏊♀🏊♀ yeye yupo nyuma ya keyboard 😂Huyo anaota, akishamaliza kujikokolea kwenye hiyo njozi ndio atashtuka 😅😅
Tafuta helaWenye nazo sahizi wapo vakesheni wanakula upepo wa bahari🏊♀🏊♀ yeye yupo nyuma ya keyboard 😂
Uliwahi kumsikia tajiri anapiga kelele??Tajiri mwenye mipasho yake..🥹🥹