Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Kama mumeo anafanya hivyo basi kuwa na mashaka, usikute alishatonywa na watu kuwa wewe ni mchawi kama mademu wengine wa mjini, hivyo anakufuata jikoni ili tu ushindwe kumuwekea marogo kwenye chakula.
 
Huenda Mmeo amezaliwa na kukulia mjini! Sisi Wahenga tuliokulia vijijini ni mwiko Mwanamme kuingia jikoni wakati Mkewe anapika labda amruhusu yeye mwenyewe! Ishu inakuwa mke anaweza kuwa anapika harafu kamasi au jasho likandondokea kwenye mboga au ugali,sasa niambie mme atakuwa na hamu ya kula? Na usifikiri ataenda kukimwaga!
Kwenye mapishi wanawake wana siri nyingi!
 
Utakuwa hujui kupika au Mlozi unaweka malimbwata,huenda mwanaume anataka kukuchapa,au umezoea kwenye godoro
 
Kero yako ni very relative concept.In depend na mazingira meengi sana ili ku i approve.Mfano wengi siku hz tumejenga na tunakaa kwenye nyumba a kisasa kiasi ambacho mtu/ mwanaume kupiga ruti za sitting- dinning- kitchen inakua ni ktka harakat za kawaida tu za mizunguko hao ndani.Tofaut na nyumba zilee za wazee wetu tuliokua tunakua kwamba upande huu nyumba kubwa af upande huu nyumba ndogo af kulia vyumb vya uani a kushoto kuna mabafu vyoo na jiko kias kwamba hata mtu akija jikon unahis kabisa kwel kakusudia kuja jikon tofaut na hio scenario ya kwanza
 
We unasema kuingia jikoni kupika mwanaume anaenda jikoni mwenyewe kuongeza mboga mbele ya wageni baada ya mke kujifanya anabana matumizi.
 

Mwanaume kukagua hivyo ni tabia mbaya Sana na ulimbukeni, sio issue yake ila, Kuja jikoni kwa mahaba jaman na kusaidia kukata kitu au something, ila bila kukukosoa kuna Ubaya?
 

Issue yake ni mwanaume kufungua chakula na kukosoa, Sasa wewe naona tu umetaka kutuonyesha una French kitchen
 
Mi nachukia wanaume wanaopenda kwenda kwenyw nyumba za wanawake
 
Umekua nao kama hao wangapi?
Au basi.
 
Muda mwingine watu wanacomplicate maisha.Akiingia jikoni unapungukiwa nini.Kodi alipe yeye na pakuingia napo unampangia mashart kila kona hadi chumbani.Akienda kwa mchepuko huko yupo nae jikoni akija kwako anakukodolea tu macho
 
Issue yake ni mwanaume kufungua chakula na kukosoa, Sasa wewe naona tu umetaka kutuonyesha una French kitchen
Hayo ni mawazo yako bwana mzee na hufungwi kuwa nayo..and btw there is no crime on whatever i have said chunga husda inaua
 
Ni ww haupendi Kwan Nani anakupenda humu uwo ushauri ungempa mumeo angekuelewa Zaid , wengne tunakula mpka kwenye sufuria jikoni bado tunapendwa kwa dhati[emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…