Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
kwasababu unapenda kulakula ukija sebulen umeshashiba ndezi wewe. wacha wapare wakukomeshe.
 
Kuna m

Au pengine huo ndio hua muda wake wa kuchati na michepuko.
🤣🤣
Kabisa
Yaelekea anao wengi, angekuwa mmoja kwa hasira hizo angemhama, ila ni kama kila anayekuwa naye wanaachana kwasababu anamfuata jikoni, anyway hatujajua mkao wake huko jikoni labda unashawishi na waume wa wengine
 
Navyopenda uwepo wa mwanaume wangu jikoni Mimi Jamani..Yani sii ile muda wote..aje kidogo mara kiss za hapa na pale..kushtuliwa kidogo na vibao kunako wowowo..mara vikumbato vya nyuma na tumaneno tutam tam[emoji7]..kijiko kinazimwa kidogo kinapigwa kimoja Cha chap chap[emoji39][emoji39]..Yani Ili mradi taflani...Naenjoy uwepo wake kunako jiko tena mnooo
Kunywa bear ntalipa
 
Heeee poleee...wky wenzio tunafatwa jikon tunabambiwa kwa nyuma nakupewa kiss la shingoni....[emoji38]
Huku akiuliza mke wangu unapika nini sio issue...
Ht akifunua sio issue maana atasifia tu mmh msosi unanukiaa.....

Be flexible mamaaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Hahahahahahahahah Dunia hii ngumu sana.
 
Heeee poleee...wky wenzio tunafatwa jikon tunabambiwa kwa nyuma nakupewa kiss la shingoni....[emoji38]
Huku akiuliza mke wangu unapika nini sio issue...
Ht akifunua sio issue maana atasifia tu mmh msosi unanukiaa.....

Be flexible mamaaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So romantic
 
Girls wengi hupend moments za kupika pamoja au kupishwa story mbili tatu na kupata walau wa kumwambia em nipe chumvi hapo.
We una mpango gani wa hatari hadi usitake beautful moments kama hizo bidada??
 
Hahhahaha umenichekesha.

Kweli tunatofautiana . ...Mimi nakumbuka mpnz wangu alikua anakuja jikoni unapika huku na yeye anajisevia ( Anakulick au kukufinger) then unaamua tu kumhudumia hapo cha faster jukoni...
Sili tena kwa watu Kama jiko linageuzwa sehem ya kushikana shikana msosi hauwezi kuwa safi
 
Aisee aje tu

Hata tutie story

Na kupata cha fasta jikoni wakati wa kukarangiza

Hizo sufuria afunue tu aisee hata akitaka kugeuza geuza ageuze

As long yupo pembeni yangu!!!!!!
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Yaani kama ulikuwepo akili kwangu,, huwa nachefukwaa,, unasikia mbona kama maji mengi kwenye ye mchele,, si usubiri kiive
 
Back
Top Bottom