Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu

Uzuri ni kwamba hata yeye anajua Baba yake sipendi hilo jina, na kweli itabidi niwe namwambia awapuuze na kuto kukubali kuitikia hilo jina
 
Sasa hapa JF umeambiwa kuna hao wanaomwita hilo jina?? AU ndio matumizi ya bundle lako na keybord ya sim yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…