Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Utawafanya nini sasa??Siwezi kubali kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawafanya nini sasa??Siwezi kubali kamwe
Kiukweli huyo anaharibu sana watoto siku hizi, jina lake limebeba uchafu mwingi. Ila ntamalizana nao tu kibingwaUsikubali mkuu kwa ile nyimbo aliyoimba zuchu kule zanzibar hadi wakamfungia inabidi umtie vitasa mtu mmoja wa mfano
Ni sawa lakini kama mzazi sipendi kabisa na nalalamika sana kuhusu hilo hapa mtaani
Otikiii 🤥iwe om baba mu zulfa utapata shida na serikali☹️Hayatapita mpaka nitolee mmoja mfano, ili wengine wajifunze
Nimekaza sana lakini saivi naona jina linaota miziziPole sana mkuu yatapita tu, achana nao, kuwa mawe
Pole sana Mkuu hakuna namna hapo as long as ndio jina lake na watu wanaenda na trendingNi sawa lakini kama mzazi sipendi kabisa na nalalamika sana kuhusu hilo hapa mtaani
Hiyo trend ya kuharibu majina ya watu sio nzuri kabisaPole sana Mkuu hakuna namna hapo as long as ndio jina lake na watu wanaenda na trending
Kwa upande wa nyumbani wanafahamu sipendi hilo jina, na huwa nawaambia wakemee na kupinga jina hilo huko nje piaMwambie ajitambulishe kama Zulfa, na wewe baba piga marufuku hilo jina usiishie tu hapa jf.
Hata mkweo akimuita zuchu, mwambie mkwe tafadhali sana mwanangu anaitwa Zulfa sio zuu, da zuu wala zuchu, na acha kabisa kumuita hivyo.
Ukihamia ushuani tunamwita Zali 😀😀😀Habari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Zali la mentali auUkihamia ushuani tunamwita Zali 😀😀😀
Nakushangaa sana kuchukia mwanao kuitwa jina la kichangudoa, ulitegemea nini kumpa hilo jina?Habari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Vipi kama Zulfa mwenyewe anapenda kuitwa hivyo? Ukute anawaambia rafiki zake anaitwa ZuchuHakuna cha kufanya zaidi ya kuwaonya na kukataa hilo jina lizidi kuenea midomoni mwao
Nilitegemea nini kumpa jina gani? Zulfa au?Nakushangaa sana kuchukia mwanao kuitwa jina la kichangudoa, ulitegemea nini kumpa hilo jina?
Bado hajaweza kuongea vizuri, lakini sidhani kama anaweza kuja kufurahia hilo jina kabisaVipi kama Zulfa mwenyewe anapenda kuitwa hivyo? Ukute anawaambia rafiki zake anaitwa Zuchu
Hayati alimuita Zuchu, "Chuchu" vipi na hapo angekuwa mwanao ingekuwaje au ungejiskiaje?Habari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Siwezi kuvaa viatu vya mtu mwingine, kama wazazi wake walifurahi mtoto wao kuitwa “chuchu", basi ni wao na maamuzi yaoHayati alimuita Zuchu, "Chuchu" vipi na hapo angekuwa mwanao ingekuwaje au ungejiskiaje?