Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu

Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu

Mwambie ajitambulishe kama Zulfa, na wewe baba piga marufuku hilo jina usiishie tu hapa jf.
Hata mkweo akimuita zuchu, mwambie mkwe tafadhali sana mwanangu anaitwa Zulfa sio zuu, da zuu wala zuchu, na acha kabisa kumuita hivyo.
 
Mwambie ajitambulishe kama Zulfa, na wewe baba piga marufuku hilo jina usiishie tu hapa jf.
Hata mkweo akimuita zuchu, mwambie mkwe tafadhali sana mwanangu anaitwa Zulfa sio zuu, da zuu wala zuchu, na acha kabisa kumuita hivyo.
Kwa upande wa nyumbani wanafahamu sipendi hilo jina, na huwa nawaambia wakemee na kupinga jina hilo huko nje pia
 
Habari za wakati huu waungwana..

Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'

Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.

Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.

Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Ukihamia ushuani tunamwita Zali 😀😀😀
 
Habari za wakati huu waungwana..

Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'

Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.

Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.

Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Nakushangaa sana kuchukia mwanao kuitwa jina la kichangudoa, ulitegemea nini kumpa hilo jina?
 
Nakushangaa sana kuchukia mwanao kuitwa jina la kichangudoa, ulitegemea nini kumpa hilo jina?
Nilitegemea nini kumpa jina gani? Zulfa au?

Hilo ni jina na chaguo langu, ila watu kumuita jina lingine sio sahihi na wala haina uhusiano wowote na maamuzi ya kumpa jina hilo.
 
Habari za wakati huu waungwana..

Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'

Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.

Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.

Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Hayati alimuita Zuchu, "Chuchu" vipi na hapo angekuwa mwanao ingekuwaje au ungejiskiaje?
 
Back
Top Bottom