Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
unajua hospital ya muhimbili ilikua inaitwa Muhi Muhi zamani, jamii ya waliyo wengi wakaibadili Muhi Muhi kuwa rahisi rahisi kidogo ndio ikaitwa Muhimbili...Hata nyumbani wananijua kwa Bob Manson, Ila wanafupisha tu wananiita Bob 😂
hata Kunduchi, ilikua inaitwa kundu, Chii...
so,
Muhi, Muhi=MuhiMbili
Kundu, Chii= KunduChi
hata mwanao just,
waliowengi wameona wambadilishie tu ili atambulike kirahisi miongoni mwao 🐒