Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu

Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu

Hata nyumbani wananijua kwa Bob Manson, Ila wanafupisha tu wananiita Bob 😂
unajua hospital ya muhimbili ilikua inaitwa Muhi Muhi zamani, jamii ya waliyo wengi wakaibadili Muhi Muhi kuwa rahisi rahisi kidogo ndio ikaitwa Muhimbili...
hata Kunduchi, ilikua inaitwa kundu, Chii...

so,
Muhi, Muhi=MuhiMbili
Kundu, Chii= KunduChi

hata mwanao just,
waliowengi wameona wambadilishie tu ili atambulike kirahisi miongoni mwao 🐒
 
Habari za wakati huu waungwana..

Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'

Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.

Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.

Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
muite Zuwena
 
Habari za wakati huu waungwana..

Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'

Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.

Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.

Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.

Pole mwaya,
Hata ningekuwa mimi hapana aisee!
Jina la kihuni?! 😆😆😆
 
Vipi wakiongeza tena lisomeke Zuchu Zuchu..
 
si bora hilo...huku jamaa mtaratibu lakini anaitwa longo longo..afu fresh
 
Habari za wakati huu waungwana..

Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'

Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.

Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.

Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Kama waliompa hilo jna mwanao wako humu amini kwamba ujumbe umewafikia
 
Habari za wakati huu waungwana..

Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'

Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.

Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.

Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Bora zuchu watamwita zuwena akili yako itakaa sawa
 
Back
Top Bottom