Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #101
Kiukweli haipendezi kabisa na inaudhi sanainakera sana na mtoto asipokuwa makini anaanza kuiga life style ya uyo zuchu og.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli haipendezi kabisa na inaudhi sanainakera sana na mtoto asipokuwa makini anaanza kuiga life style ya uyo zuchu og.
Hilo ni tatizo la majina ya kubandikwa.Habari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
#BM
NdiyoUkitaka asiiitwe zuchu hama uswahilini.
Huwa nakemea sana na wanajua sipendi, ila kwa sasa naona wameanza kunielewa maana nilikuwa mkali sana kuhusu hiloHilo ni tatizo la majina ya kubandikwa.
Usipokaa kimya ukaanza kukemea, watunzi ndiyo wanapata upele wa kukuna na wanalipitisha kweli.
Na ukiitwa ukawa mkali wa kurusha mawe, ndiyo kabisaa hilo linakuwa ni jina lako la ubatizo.
Hakuna haja ya tangazo, ila this time nikisikia mtu anamuitwa hivyo, nitamkemea kwa maneno makali mpaka akiniona tena abadilishe njiaBaba mke baba zuchu
hutaki m-bandike tangazo lakatazo kutoitwa zuchu
Na huu ndio ukweliUkitaka asiiitwe zuchu hama uswahilini.
Uswahilini sihami leo wala keshoNa huu ndio ukweli
Huyo ni mtu mzima, lakini kwa mtoto haipendeziZuu zulfa jina la mke wangu nalipenda sana.
Kwautani hua na mwita
zuchu👈
Bac kula chuma hichoUswahilini sihami leo wala kesho
Hapo Bob Manson asilaumu jina yeye ajilaumu kukaa uswahiliniMitaa ya uswahilini kuna mambo ya kijingajinga mengi sana
Uswahilini ni makazi kama makazi mengine, hayo mambo ya kijinga yapo sehemu zoteMitaa ya uswahilini kuna mambo ya kijingajinga mengi sana
Siwezi kujilaumu kukaa uswazi, huku ni sehemu kama sehemu nyingine tuHapo Bob Manson asilaumu jina yeye ajilaumu kukaa uswahilini
Wasije wakamuiga JIWE wakamuita CHUCHUMimi kama mzazi hilo jina naona halina maana kabisa na sitamani mwanangu awe mdoli mbele ya camera
Bac wacha kulialiaSiwezi kujilaumu kukaa uswazi, huku ni sehemu kama sehemu nyingine tu
Ushuani hakunaga vitu hizo mzee ushuani hata majirani kujua jina la mwanao ni nadra sanaUswahilini ni makazi kama makazi mengine, hayo mambo ya kijinga yapo sehemu zote
Kwaiy jina la zuchu linafahamika kote sio ushuani tuUshuani hakunaga vitu hizo mzee ushuani hata majirani kujua jina la mwanao ni nadra sana