Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu

Hilo ni tatizo la majina ya kubandikwa.

Usipokaa kimya ukaanza kukemea, watunzi ndiyo wanapata upele wa kukuna na wanalipitisha kweli.

Na ukiitwa ukawa mkali wa kurusha mawe, ndiyo kabisaa hilo linakuwa ni jina lako la ubatizo.
 
Hilo ni tatizo la majina ya kubandikwa.

Usipokaa kimya ukaanza kukemea, watunzi ndiyo wanapata upele wa kukuna na wanalipitisha kweli.

Na ukiitwa ukawa mkali wa kurusha mawe, ndiyo kabisaa hilo linakuwa ni jina lako la ubatizo.
Huwa nakemea sana na wanajua sipendi, ila kwa sasa naona wameanza kunielewa maana nilikuwa mkali sana kuhusu hilo
 
Baba mke baba zuchu

hutaki m-bandike tangazo lakatazo kutoitwa zuchu
Hakuna haja ya tangazo, ila this time nikisikia mtu anamuitwa hivyo, nitamkemea kwa maneno makali mpaka akiniona tena abadilishe njia
 
Mwanao kalikubali ndio maana umelijua,anza kuzungumza na mwanao.
Au mwanao anamkubali sana zuchu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…