Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Kama mada inavyojieleza, nilikua nafanya kazi na kampuni flani sasa kuna hela kidogo nliitumia kwa kutegemea nitailipa kadri ninavyoendelea kufanya kazi
Sasa ghafla jamaa wakaniachisha kazi wakati bado sijamaliza lile deni na sikuwa nalipwa mshahara ni commision tu ambayo ndo nlikua naitumia kulipa deni.
Sasa jamaa wamekomaa nilipe hela yao na mimi kwa sasa sina mchongo wowote wa kuingiza hata buku 10 kwa siku
Je wakinipeleka mahakamani utaratibu ukoje kisheria namna ya kulipa hili deni??
Sasa ghafla jamaa wakaniachisha kazi wakati bado sijamaliza lile deni na sikuwa nalipwa mshahara ni commision tu ambayo ndo nlikua naitumia kulipa deni.
Sasa jamaa wamekomaa nilipe hela yao na mimi kwa sasa sina mchongo wowote wa kuingiza hata buku 10 kwa siku
Je wakinipeleka mahakamani utaratibu ukoje kisheria namna ya kulipa hili deni??