Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
KatumwaNimefungua huu uzi nikadhani nitakutana na hoja za maana kumbe hovyo kabisa. Elezea madhaifu yake kwa hoja
Mleta uzi ni hopeless kabisa!
Andiko langu lina scientific inference.....Level ya Lisu si ya kufanya / kusema haya anayoyasema. Akili zake haziko sàwa. He is suffering from schizophrenia...take it seiousMwenye tatizo la akili ni wewe! Amepata hicho kichaa baada ya kuutaka uwenyekiti? Mwambieni Mbowe aache utemi ili alinde heshima yake.
Kwanini haya yote unayasema na kuyaandika sasa baada ya Lissu tu kutangaza kugombea uenyekiti wa CHADEMA?Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Muulize huuo mama yako kama niko hopelessMleta uzi ni hopeless kabisa!
Argument kitoto, kwaheriKwanini haya yote unayasema na kuyaandika sasa baada ya Lissu tu kutangaza kugombea uenyekiti wa CHADEMA?
Kuna namna Lissu anakwenda kukulaza njaa, sio bure.
Na nani?Katumwa
Chambua wewe basiUwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo sana
That was 4 yrs back. He was very smart by then! Siyo leo! Hàfai!Msamehe bure tuu. Siyo kwa risiti hii. Hakika, umemuumbua mpaka siyo poa.
Chambua wewe .....Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo sana
Waulize wakufafanulieMbona maccm huwa wanadai mbowe huwa ni mlevi wa pombe Kali?
Haahaa kusema ukweli kwa bongo unaambiwa unaropoka,?😂😂lissu kanyagia hapohapoKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Haahaa pole mkuu, hatudanganyiki.tunaenda na lissu, mbowe mpokeeni lumumbaIpo siku mtanielewa na kububujikwa sana Machozi pale mtakapokuja kujua ukweli wa yale nayowaambia juu ya Uropokaji ,ukurupukaji na Mihemuko ya Lissu
Pro-Mbowe mnaisaidia Ccm kuivunja Chadema.Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Ukichaa kaupata baada ya kumpa ushindani mwenyekiti wa maisha...Kati ya wanasiasa nilikuwa na wa envy, Lisu was the topmost especially katika harakati (not diplomacy), harakati za kuitoa CCM madarakani.
Kumbe ana ka ukichaa, amevuruga kila kitu cha kujivunia
Na wewe Kuna nati zimelegea matakoni zinahitaji kukazwa lasivyo utachafua suruali kila mudaKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER