Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Katika sifa zake tukufu ni mwenye kufanya mambo kwa hekma, kumpa huyu na kumnyima yule si dalili ya kutokuwepo kwake bali dalili kubwa ya uwepo wake, hekma ni kuweka mambo mahali pake stahiki.

Basi amempa huyu kwa hekma akijua anastahiki kupewa na ndio salama yake, amemnyima huyu kwasababu akipewa ataangamia ijapokuwa sura ya ubaya, ila ndio salama yake, amemfanya huyu mweupe huyu mweusi huyu mrefu huyu mwembamba basi anafanya apendavyo yeye, hivyo anafanya yote kwa hekma anaweka mambo mahali pake, ni wangapi account zikipungua milioni 10 wanaanza kutetemeka kwa hofu, na wangapi akipata laki mbili tu halali nyumbani? wote hawa kila mmoja anapewa kwa hekma.

"Na kwamba kwa mola wako ndio ukomo wa mambo yote, na yeye ndiye anayeleta kicheko na kilio, na yeye ndiye anayefisha na kuhuisha, na yeye ndiye aliyeumba pea, dume na jike, kutokana na mbegu ya uzazi inapomiminwa, na ni juu yake yeye ufufuo wa akherah, na yeye ndiye anayetosheleza na kukinaisha, na hakika yeye ndiye mola
mlezi wa nyota ya shii'ra{Sirius star}, na yeye ndiye aliyewaangamiza aadi wa mwanzo....."
Qur'an 53:42-50


Hivyo kunyimwa hawa na kupewa hawa ni kwa hekma kubwa, kuna watu wangepewa umri mrefu wangetutesa sana, na kuna watu wangenyimwa afya wangeangamia, wengine wangekuwa matajiri tungekoma, kila kitu kwa hekma.
 
Endelea kuamini mkuu🙏🏼
Mimi bana siwezi kuamini tena labda nikae board room na Sir God mwenyewe nimuulize maswali yangu ila hayo unayonihubiria huwa nawahubiria watu kila siku kwa hiyo hayana maajabu yoyote kwangu🙏🏼
 
Asante kwa ushauri mkuu🙏🏼 Ila sio ubinafsi ila tu inauma siku uachwe hlf aolewe mwingine kwa nguvu ya jasho lako.Hata wewe ungekubali?
Si bora wakafurahie yatima?

Mimi nina kazi zangu siishi kwa kutegemea madhabahu ndo mana nikasema “sehemu ya kipato” .

Siwezi kushuka madhabahuni sbb nina mafundisho mazuri yanayowasaidia watu.
 
Asante mkuu kwa kunihubiria kwa upendo mkuu🙏🏼 .Tatizo ukifikia level ya kujua Mungu hayupo ni ngumu sana kishawishika tena kuwa yupo.
 
Asante mkuu🙏🏼 Ila fahamu kuwa wachungaji kinachowabeba ni kucheza na saikolojia na hiyo ndio inayoletq “miujiza”
 
Rubbish
 
Kabisa mkuu🙏🏼
Kufa sikufa ila cha moto niliendelea kukiona.Kuna siku nakumbuka niliropoka kwa mchungaji kuwa kama Mungu wetu sio kiziwi au kipofu basi hana huruma.🥺🤔😭🙇🏿‍♂
u
 
Pole Sana

Ilimradi humdhuru Mtu, huibu cha Mtu, huchukui Mali ya Wengine kama Mume, n.k furahia Maisha
Nashukuru Mtibel.
Tena maisha yangu ni kama ya mtu anayeishi akizifuata amri 10 za Mungu huku nikiwashuhudia wanaoamini uwepo wa Mungu wakizivunja vunja bila hofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…