Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Halafu Joannah huyu La Roche ni nani mbona tokea afike kama mnanitenga hiviπŸ˜€πŸ˜€
Mwambien aingie kwenye familia za watu taratibuπŸ˜€πŸ˜€
Mmmh niliona huyo mgeni kachangamka utasema kanywa Sungura hapingwi,labda tumuulize hivi we mgeni La Roche we ni mgeni kweli au ndio umevua ganda umevaa gwanda?πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ss hivi umeacha? πŸ˜‚πŸ˜‚
Unashtua ukishuka
Nyumbani .
sema kuishi maisha ya kuigiza ni kazi sana.
Hiyo wine yenyewe mpaka ifike home mtihani.Ukituma mtu anaenda kukutangaza nabii wa uongo chapombe.Kuna siku nimetuma boda ile naenda kuipokea naona ananipa huku sura yake inanihukumu nikajifanya umeniokoa kweli nina mjomba wangu kaja hapa asipokunywa anapata vichomi anaweza hata kufa akasema anhaa nilitaka nishangae
 
Nimeshakupenda na uajabu wako
 
Da Pri usinichekeshe 🀣🀣🀣
Sasa hiyo wine Boda alitakaje kwa mfano??
Nauli yake si kalipwa??
Uwe unaniagiza mimi nakufungia stock ya mwezi mzima.!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Haya shemeji huyo Pridah Joannah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ariririiiiiiiiiiiiiiiiii safari hii muhazina jamani
Na ahidi nitamtunza atasahau machungu aliyopitia kuhusu ukwasi na mimi nipo vizuri sema tuna bond nae kwenye vitu viwili i mean ATHEIST na Hiyo kutokuwa na ndugu japokuwa mimi upande wa baba simjui hata mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…