Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh sorry aisee nikajua ww ni MENaoa vipi mwanamke mwenzangu mkuu?
Maybe km mna kaka yenu mkubwa mnipe 😉
Kaka mkubwa Kiranga njoo kuna mtu anakuchokoza 🤣🤣🤣
Asante kwa kunielewesha ila sina uhakika kama nimekuelewa.Kasoro ni mahitaji ya maumbile na muumbaji.
Ukiwa hauna kasoro unaweza ukadumu daima dumu milele usife.
Kasoro ndizo huleta magonjwa na vifo, mifarakano, vita na mabalaa mengine ambayo humpelekea binadamu afikie tamati.
Na kifo ni mfumo rasmi wa kisayansi wewe unaujua.
Ndonikasema mfumo wa uumbaji umefuata kanuni zisizo sigana.
Tatizo letu binadamu tunamuwaza Mungu kwa mfano wa object flani, ama mtu ama nini sijui!
Sasa tukisha mvisha sura namna hiyo lazima tubishi.
Tukimuwaza Mungu bila kumvisha sura yoyote, tunaweza kupata utulivu.
Kula carrots kwa wingi mkuuDuuh sorry aisee nikajua ww ni ME
Kasoro haiwezi kuwepo katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote. Full stop.Asante kwa kunielewesha ila sina uhakika kama nimekuelewa.
Sasa kama tunapewa kasoro ili kwanini isiwe kwa wote mkuu?
Kwanini wengine ni wazima wengine wanazaliwa na kasoro?
Na pia kama Mungu yupo na ana huruma si atuumbe tu bila matatizo tuishi kwa raha ikifika kufa tufe bila kuteseka?
Na kwanini tufe?
HAYUPO
Punguza ulabu sis 😂😂😀😀😀 hatari mdogo wangu.
Vile unayumba yumba watu huku mapepo yanapanda😀
Kabisa.Kasoro haiwezi kuwepo katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote. Full stop.
Ukiona kasoro yoyote, ujue huo ni uthibitisho kwamba huo ulimwengu haujaumbwa na Mungu huyo.
Ss hivi umeacha? 😂😂😀😀😀 hiyo ya kunywa kabla ya kupanda madhabahuni ilikua zamani
😂😂😂 hizo ajenda mbona zinaanza kunitishaAjenda mtazikuta hukohuko🤣🤣🤣
We tulia tutajua hukohuko🤣😂😂😂 hizo ajenda mbona zinaanza kunitisha
Uandae na wine ntakuja na sis Pridah kikaoni 😂😂😂We tulia tutajua hukohuko🤣
Mmmh nguvu ya kukutenga naitoa wapi mzaramo nwenzanguNa mi nashangaa hapa tumetengwa ghafla 🤣🤣🤣
Tumekubaliana mi ndo last born wenu 😂😂😂Mmmh nguvu ya kukutenga naitoa wapi mzaramo nwenzangu
Dah, jamaa hatajagwi mara mbili!Kaka mkubwa Kiranga njoo kuna mtu anakuchokoza 🤣🤣🤣
Chuma hiko chenye fact zake 😂😂😂Dah, jamaa hatajagwi mara mbili!
Tayari kanishukia kama mwewe!