Na vile atheist ndio weee huna hofu na yeyote ni mwendo wa kugida tuWapendwa ni ngumu kuelewa hayo๐
Ila nishazoea mateso yangu na labda huwezi jua labda ningekua free kinywa ningekua alcoholist
Anakupenda huyo jamaa SanaโaWeee sema kweli,?nimeamini upendo wangu kwa rafiki Tresor Mandala hauendi bure
๐๐๐ Achukue tips kwa manyanza awe anajitengenezea mwenyewe๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMateso yote hayo ya nini da padri ana visa nyie!mbona Yesu alibadili maji kuwa divai kule kana y galilaya ye anakwama wapi?
Akhu.! ๐๐๐Ila mnaendana ujue๐
Aingie kwenye ukoo kupitia wewe mdogo wangu๐
Usiseme ananipenda,sema TUNAPENDANA๐๐๐๐Anakupenda huyo jamaa Sanaโa
Sorry๐ข sana Nilipoteza Contacts zote aisee maana nilikuwa Natumia domain ya jamiiforums.com kwenye email yangu na ndiyo nilikuwa nimesajili as a Google contact, (Gmail account) Kuna siku Boss Melo ananitumia ujumbe whatsapp kwamba wanailipia kila mwezi gharama zimekuwa kubwa. Nikamwambia anipe muda nihamishe data zangu na emails zangu. Kumbe Wafanyakazi wake walikuwa wameshafuta. Nimepoteza zaidi ya contacts 3000, documents za projects zangu. Ni PM tu. My Birthday is loadingMbona hukunipigia simu dada yako kama ulinimiss?
Duh,what a loss,pole sana.Sorry๐ข sana Nilipoteza Contacts zote aisee maana nilikuwa Natumia domain ya jamiiforums.com kwenye email yangu na ndiyo nilikuwa nimesajili as a Google contact, (Gmail account) Kuna siku Boss Melo ananitumia ujumbe whatsapp kwamba wanailipia kila mwezi gharama zimekuwa kubwa. Nikamwambia anipe muda nihamishe data zangu na emails zangu. Kumbe Wafanyakazi wake walikuwa wameshafuta. Nimepoteza zaidi ya contacts 3000, documents za projects zangu. Ni PM tu. My Birthday is load
Hahahahaha, Salam ulizipata lkn ?Weee sema kweli,?nimeamini upendo wangu kwa rafiki Tresor Mandala hauendi bure
HahahahahaAnakupenda huyo jamaa Sanaโa
Hahahahaha, HahahahahaUsiseme ananipenda,sema TUNAPENDANA๐๐๐๐
Anataka kukuonea wakati twapendana ๐Hahahahaha, Hahahahaha
Ana mtima nyongo huyo hajataka kuniambiaHahahahaha, Salam ulizipata lkn ?