Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Ndio destiny yako ....ila ? Mie sio mdini Yesu Hana dini ukijua Hilo badilika katika mtazamo wako kuhusu Mungu . Wewe hujawah ona malaika au mashetan ila mie nawaona
 
🀣🀣🀣dada padri anakunywa chupa moja siku nne,atatuzingua huyu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ da Pri amenichekesha sana kila nikimu- imagine sipati picha halisi
 
Tuanzie hapa Nungayembe! Alafu umezingua sema chama cha kataa ndoa ni kujaza ujinga vijana wadogo utandawazi ni hovyo kabisa nauchukia
 
Shusho
 
Kabisa mkuuπŸ™
Asante
 
Asante kwa kujali mkuu ila Mungu hayupo mkuu ndo mana mambo anayohusishwa nayo yanafikirisha.

Umesema ananipenda ndo mana badala ya machozi kanipa ahueni.Sasa hebu niambie wale wanaotesmezaliwa mpaka wanakufa hao anakuwq hawapendi?
 
Hongera kwa kuwa na akili kiadi cha kung'amua ukweli mkuu na kuacha kuamini ujinga tuliolezewa na wakoloni hlf wao washautupilia mbali.Wana makanisa mazuri ila hayana waumini.Wako busy na vitu halisi ndo mana wako mbali kimaendeleo tofauti na sisi choka mbaya wategemea miujiza ya Mungu ambae hayupo.

Kwa upande wangu mimi kama nina Mungu basi mtoto wangu ndie Mungu wangu sbb yeye ndie ameweza tenda "muujiza" wa mimi kufanya vitu ambavyo kabla sijamzaa sikudhani ningeweza kuvifanya.
 
Natamani nikutane na ww niongee mimi pia kuna vitu vinanichanganya kwenye maisha yangu sana
 
🀣🀣🀣dada padri anakunywa chupa moja siku nne,atatuzingua huyu
Afu nilitaka niwaletee wine kutoka titanic wreck 😜😜😜 ila acha iendelee kupendezesha wine cellar coz Joannah bila kidumu cha gongo sidhani kama utapata stimuπŸƒπŸ˜€πŸƒπŸƒ
 
Natamani nikutane na ww niongee mimi pia kuna vitu vinanichanganya kwenye maisha yangu sana
Thanks dear.πŸ™
Pole kwa kuchanganyikiwa ndo utu uzima huo mwaya.
 
Ndio destiny yako ....ila ? Mie sio mdini Yesu Hana dini ukijua Hilo badilika katika mtazamo wako kuhusu Mungu . Wewe hujawah ona malaika au mashetan ila mie nawaona
Ukinisaidia na mimi niwaone mashetani au malaika nitaamini Mungu yupo na kama unaweza kunichukulia japo video inayomuonesha jini au malaikaπŸ˜€πŸ˜€ nitakupa 5M ukale bata this week end mkuu.
NB: Usiniletee tu Nsuka wa bongo movieπŸ˜€.
 
Mama samia unapenda kunikalia kooni.!!
Uzi ulishafika tamati toka page ya 10.
Kilichobaki ni kumsaidia mama mchungaji kumuwezesha apate wine kwa wakati..
Halafu week end ndio hiyooo unifanyie wepesi ile stock ya divai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…