Trokaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli
π€£π€£π€£ twende selfika nikakupe mchapoTrokaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Twendeeee uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] twende selfika nikakupe mchapo
ππππ unakataa? Shauri yako nyie wajukuu zangu mjue
hahah kaka hiwezekani mi ntapata jiko tu mda si mrefuKama ni hivyo wanataka Usizikwe ili wasome SweetPain
View: https://youtube.com/shorts/hCQfzyDWRi4?si=SGnB61xOt6RBkgFR
Kwa hiyo movie yetu ya Based on True story itaacha kazi!? - Pendaneni unaweza usizikwehahah kaka hiwezekani mi ntapata jiko tu mda si mrefu
Mimi nipo nitatimiza Kila lonalopaswa mwanaume atomize kwa mwanamke naomba tuonane PM kwa maongezi zaidiHakika sentence inavutia hii,ni aina ya maisha ya ndoto zangu iasante ila acha tu mwaya akafurahie mwanamke mwingineππππ
Asante kwa ujumbe wa upendo luvππ.DADA POLE SANA KWA MASAHIBU, GOD ALWAYS WORKS IN A MYSTERIOUS WAY, MUNGU HAKUKUTOA KWENYE MATESO ULIVYOKUA MDOGO LAKINI SASA HIVI AMEKUPA MAISHA MAZURI SI KILA WAKATI MAOMBI YETU YANAJIBIWA VILE TUNAVYOTAKA . MUNGU YUPO NA ANASIKILIZA MAOMBI YETU INGAWAJE HATUJIBU VILE.TUNAVYOTAKA BUT VILE ANAVYOONA NI BORA.
Naweza kabisaHuwa nawapelekesha sana wadogo zangu mpaka wale hizo hela wanakua wamepiga mzigo wa uhakika
Karibu dear kama unaweza mapambano
NAOMBA UFUTE KAULI YA KUSEMA MUNGU HAYUKO, MUNGU YUPO NA NI MUWEZA WA KILA KITU. ILA KUJUA KUA MUNGU YUPO KUNAHITAJI AKILI ZA ZIADA. MIFANO IPO MINGI YA KUTHIBITISHA MUNGU YUPO, ANGALIA MWILI WAKO JINSI UANVYOFANYA KAZI, UNAKULA CHAKULA KINASAGWA , SUMU ZINCHUJWA, UCHAFU UNATOKA SEHEMU YAKE ,.MOYO NI KAMA WATER PUMP, KUNA MAPAFU, KUNA INI, ACHILIA MBALI UBONGO, VITU VYOTE HIVI VIMETOKANA NA TONE LA MANIII TU, ACHENI MUNGU AITWE MUNGUAsante kwa ujumbe wa upenfo luvππ.
Uwe na jmos njemaπ
Kumbe mko wazeee na hamsemiπ€π€Ujue ni hiyo basi tu ila wengine tunazinguliwa na vitukuu vyetu huku na hamna kitu tunaweza fanya?π