Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

The closing remark for me...
Very interesting (hi)story..
 
Huwezi zijua tabia sahihi za mtoto ni hadi kufika hatua ya balehe au kuvunja ungo tu
 
Unaweza ukaoana na baba mtoto, kwa kuandikishiana juu ya mali mlizochuma au mtakazo chuma. Pole kwa mitihani uliyopitia!
 
Ushawai sikia mtu anaitwa mwanaharamu?

Basi wewe ni pure mwanaharamu na mtoto wako unaenda kumpitisha uko uko.
 
Traumatized but intelligent.
Kila mtu mwenye akili timamu lazima ashtukie dini na stori za Mungu this, Mungu that. Uzushi ulio dhahiri kabisa.
Ss km Mungu hayupo, ww uliumbwa na nani?
Ukinijib hilo swali ckuuliz tena
 
Tafuteni kwanza ufalme wa mbingu vingine mtapewa kwa ziada. Kuna wakati huwa tunafarijika kuwa tumejenga jengo hili au tumenunua gari ile. Ila ukiangalia magofu ya mijumba ambayo haina wenyewe, gari zilizotelekezwa mbele humo, utagundua kuwa, Mhubiri alikuwa sahihi aliposema maisha ya mtu ni ubatili mtupu. Aidha, Mt August in anasema kuwa, " roho ya mtu haitulii hadi iwe imepata Mungu". Huhitaji kwenda nyumba za ibada (huenda hata Mungu hayuko huko). Ila tambua tu Mungu yupo inatosha.
 
Mwanamke mwenye sifa mbaya zaidi hapa JF ni kuwadi wa shetani pekee yake FaizaFixy si wewe. Ila ada hiyo ya milioni 10 kwa elimu ya mwanao si garanti ya kutoboa maishani kwani elimu ya Tanzania ni kama imekufa tu, haina ushindani maishani. Kingine, jaribu kumkataza mwanao asijihusishe na uchungaji au kubeza sana maisha yake kwenye dini kwani atalostika. Wengi wanaoishi maisha yao kwa misingi ya dini ni washirikina, wanafiki, na malaya kupindukia, dini uharibu sana watu kimaisha.
 
Maisha hayana formular. We endelea tu vile unavyoona ilimradi haumdhuru mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…