Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa niaba ya uncle wako tunasema asante🙏🏼Nimependa sana hii hadithi ya maisha yako, saa natamani ningekuwa na mtindo kama wako.
Binafsi nakupongeza na kukutakia kufika kilele cha mafanikio wewe na mwanao.
Nakubaliana nawe mkuu!Kwa uzi huu nimeamin hata mapadre wetu ni atheist,maana kwa kitabu wanachokipiga sizan kama wakihitimu wanakuwa bado wanaamin uwepo wa mungu
Huwa wanatuchora tu tukiwa kwenye ibada/misa
Mods wasivyopenda kuona ukwel wataifuta hii comment
MKUU NA MIMI “NADIDIMIZIA”😁nakazia
Cc dronedrake
Liverpool VPN
huyu inabidi tumuombee, nyakati zilizopo ni nyakati za uovu..watu wanakana imani zao wazi wazi..shetan yupo kaziniDah!unanichanganya sana ubongo,kwenye ule uzi wako mwingine ulisisitiza MUNGU YUPO NA UMEMUONA mara kadhaa kwa macho yako ya nyama...Sasa sielewi...ila yote mema
🥰🥰🥰Dah!unanichanganya sana ubongo,kwenye ule uzi wako mwingine ulisisitiza MUNGU YUPO NA UMEMUONA mara kadhaa kwa macho yako ya nyama...Sasa sielewi...ila yote mema
Kanisa linanihitaji mkuu!Kati ya vitu Mungu hapendi ni unafiki, kujifanya mtu wa Mungu wakati unajichoresha tu, ipo siku utaumbuka vibaya sana, kama umeamua kuwa mshenzi kuwa mshenzi kama umeamua kuwa mtu wa imani kuwa mtu wa imani,