Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Hongera kwa yote Dada na pole kwa yoye. Yapo ya kukuonea huruma sana, yapo ya kukupongeza sana, yapo ya kukutia moyo, yapo mengi sana nimejifunza kwako. La kukuonea huruma sana lakini linatibika kiurahisi sana ni la identity.
Suala la magumu uliyopitia linagusa sana moyo na kutufunza mengi hasa juu ya makosa ambayo binadamu tunayafanya hapa duniani na kuacha alama mbaya kwa wasiohusika.

Kuhusu majaribu na mateso makubwa uliyopitia ambayo ndiyo chanzo cha kufikia maamuzi ya kutafakari juu ya uwepo wa Mungu, kwa hilo nakupa pole sana sana. Kila mtu ana namna yake ya kutafakari masahibu yanayomkuta, yupo anayeona yeye labda ndiyo chanzo, au wazazi, au ndugu, au jamii, au kanisa lake au dini yake, au mazingira, au rangi, au jinsia, umbile, elimu na hata muumba kwa wale waamini.

Namna ya kutoka kwenye hicho kifungo cha changamoto na mateso ndio huwa fumbo kwake. Hivyo hujikuta anatumia njia ambazo katika uhalisia ni wrong au zinazomuongezea shida zaidi. Miongoni mwa wale unaohisi ndio chanzo cha matatizo mara nyingi hata majawabu hutoka huko huko endapo ukijua njia sahihi na process ya kuyapata.
Lakini tunapokosa kutambua njia sahihi au tunapokosa watu sahihi wa kutuongoza katika njia sahihi wakati wa magumu hayo basi chochote cha afadhari hata kama ni risk kiasi gani tutakichagua ili kitupunguzie maumivu tunayopitia bila kujali ni kwa muda gani.

Kila binadamu anayepitia magumu sana sana akatumia njia zote anazozijua na zisimfae huingiwa na hasira sana na anaweza kufanya lolote iwe kudhuru au kujidhuru. Hatua ya kukata tamaa ni hatua ngumu sana sana kwa yeyote ambaye anapitia au amepitia situation ngumu zisizojibika kwenye maisha yake.

Watu wa nje huhukumu matokeo badala ya kutafuta chanzo cha mtu kufikia hatua ambayo jamii nzima inamshangaa na kumnyooshea kidole(kumhukumu). Wapo wengi wamepitia magumu kama yako au wanayapitia magumu muda huu na baadhi wameamua kufanya lolote na jamii inawahukumu badala ya kuwasaidia kwa upendo nasema tena upendo, upendo wa kweli unaweza kuokoa maelfu ya wanaoteseka muda huu bila kuhitaji muujiza kutoka popote, faraja ni tiba, wengi wanaihitaji haipati popote bali hukumu na kunyoshewa vidole na kuwaongezea maumivu makali.

Ushauri wangu kwa kuhusu huduma unayofanya.
-Tafuta namna uiache taratibu bila kuacha ishara yeyote kwa yeyote kuwa unaacha au kupunguza hizo huduma kwa sababu ya kutoamini. Sababu ni kuwa dhamiri ipo kwa kila mwanadamu anayeamini na asiyeamini hivyo kuendelea kufanya jambo ambalo moyoni mwako unajua unarubuni au kulaghai halitakupa furaha wala amani ya kweli moyoni(peace of mind).
Kisha taratibu jikite kwenye yale unayoyapenda na yanayokupa furaha na amani bila kuwa na deni la nafsi na mtu yeyote.

2..La pili kubwa kuliko yote.
Haijalishi kupitia hili jukwaa umetoa ya moyoni na umepata wa kukuunga mkono, faraja na kukutia moyo but never never ever try this in real world.

NARUDIA MY BELOVED SISTER. USIJARIBU USIJARIBU USIJARIBU KWENDA KWENYE ULIMWENGU HALISI YAANI UKATOKA HADHARANI KWA UWAZI UKASEMA WEWE NI ATHEIST MY FRIEND MY FRIEND ISHIA HUKU HUKU MAFICHONI.

NAKUHAKIKISHIA UKITOKA HADHARANI UKATHUBUTU KUTAMKA HAYO NAKWAMBIA AT THE END UTA COMMIT SUICIDE(UTAKUTA KUJIUA).
Nasema haya kwa kuzingatia background yako, na kazi unayoifanya sasa. Utajuta kwa nini ulitamka hayo trust me my sister.
Dunia haina huruma, itakutafuna hadi nywele.

Wote walio upande wako nyakati hizi watageuka kuwa chui na fisi hatari mno. Nchi yetu bado haitafikia hatua ya ukomavu wa kuheshimu maamuzi na personl feelings za mtu.
Tanzania bado sana na sheria zetu ni dhaifu mno.

Watu wapo tayari kuzitetea dini na imani zao hata ikibidi kufa au kuua hata kama kwenye maisha ya kawaida hawazifuati hata kidogo wala kutii mafundisho ya imani hizo.

Kama kweli uliyosema kuwa wewe ni Gospel Singer na Unahubiri na unafahamika na upo mitandaoni aisee my friend never try this at home..
UTAANDAMWA UTAANDAMWA UTAANDAMWA, UTATUKANWA, UTALAANIWA, UTAITWA TAPELI, MWIZI, FREEMASON, PICHA NA VIDEO ZAKO ZITASAMBAA NCHI NZIMA NDANI YA MASAA MACHACHE.
RADIO ZITAKUFANYA WEWE NDIYO TOPIC, TELEVISHENI ZA KAWAIDA NA YOUTUBE, INSTAGRAM, TIKTOK MITANDAONI HASA HUMU JAMII FORU. UTAGEUKWA NA KUTUKANWA..
ZITAANZISHWA THREAD ZA KILA NAMNA KWA KUTUMIA JINA LAKO.

MWISHO MAAMUZI NI YAKO.

ILA ngoja nikukere kidogo.
Yaani baada kukusoma weee hoja zako na majibu ya nimegundua
WEWE SIO ATHEIST HATA KIDOGO YAANI HATA ASILIMIA 0.5 HUJAFIKA INGAWA UNAJITUTUMUA KWA VIMANENO NA VIHOJA YAANI WEWE BADO SANA SANA SANA.

Changamoto yako ni ndogo kuliko ukubwa unaoipatia. INAONEKANA UMEKOSA TUU MAJIBU YA MASWALI AMBAYO KWAKO UNAYAITA MAGUMU AISEE NGOJA NICHEKE TUU.
PILI UMEPITIA STAGE YA HASIRA BAADA YA KUTOJIBIWA ULIYOTARAJIA.

NIKISEMA NIANDIKE NIYOPITIA MIMI HUMU AISEE WE YA KWAKO MMH NI NURSERY TUU. JUA KUNA MAELFU WAPO KAMA WEWE NA MPAKA LEO HAWANA PA KUSHIKA, HANA MIA, HANA NYUMBA WALA MAKAZI, ANAUMWA, ANANYANYASWA, WENGINE MPAKA JELA HALAFU WEWE SIJUI UMEPAMBANA AU UMEFANYAJE MPAKA UKAFANIKIWA KUFIKA HAPO.... LAKINI UNAHASIRA TO UNKNOWN POWER.
RELAX MY FRIEND FANYA LINALOKUPA AMANI MAANA YA KESHO HUYAJUI. LEO UNAWEZA UKASHUHUDIA KWA VIAPO HADHARANI KUWA HIKI KIPO AU HAKIPO THEN BAADA YA MIAKA KADHAA UKAKUTANA NA YATAKAYOKUFANYA UANZE KUTAFAKARI UPYA TENA,

MAISHA NI SAFARI HAKUNA AUJUAYE MWISHO WAKE NI LINI NA NAMNA GANI NA KWANINI. MAMBO YASIYOJULIKANA TUYAACHE HIVYO HIVYO MPAKA SAA YETU YA MWISHO.

POLE KWA MAELEZO MENGI YASIYO NA MSINGI. NAKUHESHIMU NA KUKUBALI SANA. UME NI ADMIRE MENGI YA KUJIFUNZA. ASANTE SANA.

WITO WANGU KWAKO SOMA SANA SOMA SANA DUNIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO. USIJIFUNGIE KWENYE BIBLE TU, SOMA SOMA SOMA.

ALWAYS JIULIZE HILI SWALI (NANI ANATAWALA DUNIA?? NA KWA NINI AITAWALE?? NGUVU KAZITOA WAPI??)
soma na kujua watu wanaoitawala dunia ni kina nani na kwanini? Ili wapate nini, mwisho wao ni nini? Na kwa nini wanafanya kila aina ya uovu kufanikisha nia yao?? Kuna nini nyuma yake.
Astronaut👨‍🚀 wanatumwa kutafuta nini huko juu, na kila wachokitafiti au majibu wanayoyapa who is the consumer na kwa nini??
👽 wapo au hawapo, kwa nini wapo au kwa nini hawapo scientifically.
Why all rulers are believers of either dark or light, black or white.
And why most of them are black believers and even those from white origin became black kwa hiari au kwa lazima.
Mkuu huu uzi kabisa ujue, ungefungua ili waungwana watoe maoni yao.!!

Una kitu
 
Udhihirisho wa Mungu unajionesha kwenye kanuni za kisayansi, mpangilio wa ulimwengu, utiifu wa majira nk nk, vipo vingi sana ukivitafakari lazima vikusadikishe.

Kwa hiyo huwa unakomea kuwaza kuwa vitu vyote hivi kwa mpangilio wake uliopo vilijitokeza tu, basi!

Labda ninachoweza nami kukuunga mkono ni ukengeufu wa dini na madhehebu kama ni magenge ya Cartels fulani.

Mungu hana dini lakini yupo.
Kaka mkubwa Kiranga njoo kuna mtu anakuchokoza 🤣🤣🤣
 
😁😁😁😁😁
Mwenzio chupa moja nagida siku mbili au tatu
.Siku nikimaliza chupa nzima nahisi nitazima😁
😂😂😂 unapanda madhabauni unanena kwa lugha waumini wanajua umepatwa na roho mtakatifu, kumbe uko njwiii una roho mtaka bifu hatareeee sana.!!
 
Nimependa umeongea bila kunukuu biblia mkuu..

Naomba bila kunukuu biblia unieleweshe ni kwa nini kama Mungu ameweza kuumba hivyo vyote ulivyovitaja ameshindwa kuumba binadamu asiye na kasoro.?
Kasoro ni mahitaji ya maumbile na muumbaji.

Ukiwa hauna kasoro unaweza ukadumu daima dumu milele usife.

Kasoro ndizo huleta magonjwa na vifo, mifarakano, vita na mabalaa mengine ambayo humpelekea binadamu afikie tamati.

Na kifo ni mfumo rasmi wa kisayansi wewe unaujua.
Ndonikasema mfumo wa uumbaji umefuata kanuni zisizo sigana.

Tatizo letu binadamu tunamuwaza Mungu kwa mfano wa object flani, ama mtu ama nini sijui!

Sasa tukisha mvisha sura namna hiyo lazima tubishi.

Tukimuwaza Mungu bila kumvisha sura yoyote, tunaweza kupata utulivu.
 
Hongera kwa yote Dada na pole kwa yoye. Yapo ya kukuonea huruma sana, yapo ya kukupongeza sana, yapo ya kukutia moyo, yapo mengi sana nimejifunza kwako. La kukuonea huruma sana lakini linatibika kiurahisi sana ni la identity.
Suala la magumu uliyopitia linagusa sana moyo na kutufunza mengi hasa juu ya makosa ambayo binadamu tunayafanya hapa duniani na kuacha alama mbaya kwa wasiohusika.

Kuhusu majaribu na mateso makubwa uliyopitia ambayo ndiyo chanzo cha kufikia maamuzi ya kutafakari juu ya uwepo wa Mungu, kwa hilo nakupa pole sana sana. Kila mtu ana namna yake ya kutafakari masahibu yanayomkuta, yupo anayeona yeye labda ndiyo chanzo, au wazazi, au ndugu, au jamii, au kanisa lake au dini yake, au mazingira, au rangi, au jinsia, umbile, elimu na hata muumba kwa wale waamini.

Namna ya kutoka kwenye hicho kifungo cha changamoto na mateso ndio huwa fumbo kwake. Hivyo hujikuta anatumia njia ambazo katika uhalisia ni wrong au zinazomuongezea shida zaidi. Miongoni mwa wale unaohisi ndio chanzo cha matatizo mara nyingi hata majawabu hutoka huko huko endapo ukijua njia sahihi na process ya kuyapata.
Lakini tunapokosa kutambua njia sahihi au tunapokosa watu sahihi wa kutuongoza katika njia sahihi wakati wa magumu hayo basi chochote cha afadhari hata kama ni risk kiasi gani tutakichagua ili kitupunguzie maumivu tunayopitia bila kujali ni kwa muda gani.

Kila binadamu anayepitia magumu sana sana akatumia njia zote anazozijua na zisimfae huingiwa na hasira sana na anaweza kufanya lolote iwe kudhuru au kujidhuru. Hatua ya kukata tamaa ni hatua ngumu sana sana kwa yeyote ambaye anapitia au amepitia situation ngumu zisizojibika kwenye maisha yake.

Watu wa nje huhukumu matokeo badala ya kutafuta chanzo cha mtu kufikia hatua ambayo jamii nzima inamshangaa na kumnyooshea kidole(kumhukumu). Wapo wengi wamepitia magumu kama yako au wanayapitia magumu muda huu na baadhi wameamua kufanya lolote na jamii inawahukumu badala ya kuwasaidia kwa upendo nasema tena upendo, upendo wa kweli unaweza kuokoa maelfu ya wanaoteseka muda huu bila kuhitaji muujiza kutoka popote, faraja ni tiba, wengi wanaihitaji haipati popote bali hukumu na kunyoshewa vidole na kuwaongezea maumivu makali.

Ushauri wangu kwa kuhusu huduma unayofanya.
-Tafuta namna uiache taratibu bila kuacha ishara yeyote kwa yeyote kuwa unaacha au kupunguza hizo huduma kwa sababu ya kutoamini. Sababu ni kuwa dhamiri ipo kwa kila mwanadamu anayeamini na asiyeamini hivyo kuendelea kufanya jambo ambalo moyoni mwako unajua unarubuni au kulaghai halitakupa furaha wala amani ya kweli moyoni(peace of mind).
Kisha taratibu jikite kwenye yale unayoyapenda na yanayokupa furaha na amani bila kuwa na deni la nafsi na mtu yeyote.

2..La pili kubwa kuliko yote.
Haijalishi kupitia hili jukwaa umetoa ya moyoni na umepata wa kukuunga mkono, faraja na kukutia moyo but never never ever try this in real world.

NARUDIA MY BELOVED SISTER. USIJARIBU USIJARIBU USIJARIBU KWENDA KWENYE ULIMWENGU HALISI YAANI UKATOKA HADHARANI KWA UWAZI UKASEMA WEWE NI ATHEIST MY FRIEND MY FRIEND ISHIA HUKU HUKU MAFICHONI.

NAKUHAKIKISHIA UKITOKA HADHARANI UKATHUBUTU KUTAMKA HAYO NAKWAMBIA AT THE END UTA COMMIT SUICIDE(UTAKUTA KUJIUA).
Nasema haya kwa kuzingatia background yako, na kazi unayoifanya sasa. Utajuta kwa nini ulitamka hayo trust me my sister.
Dunia haina huruma, itakutafuna hadi nywele.

Wote walio upande wako nyakati hizi watageuka kuwa chui na fisi hatari mno. Nchi yetu bado haitafikia hatua ya ukomavu wa kuheshimu maamuzi na personl feelings za mtu.
Tanzania bado sana na sheria zetu ni dhaifu mno.

Watu wapo tayari kuzitetea dini na imani zao hata ikibidi kufa au kuua hata kama kwenye maisha ya kawaida hawazifuati hata kidogo wala kutii mafundisho ya imani hizo.

Kama kweli uliyosema kuwa wewe ni Gospel Singer na Unahubiri na unafahamika na upo mitandaoni aisee my friend never try this at home..
UTAANDAMWA UTAANDAMWA UTAANDAMWA, UTATUKANWA, UTALAANIWA, UTAITWA TAPELI, MWIZI, FREEMASON, PICHA NA VIDEO ZAKO ZITASAMBAA NCHI NZIMA NDANI YA MASAA MACHACHE.
RADIO ZITAKUFANYA WEWE NDIYO TOPIC, TELEVISHENI ZA KAWAIDA NA YOUTUBE, INSTAGRAM, TIKTOK MITANDAONI HASA HUMU JAMII FORU. UTAGEUKWA NA KUTUKANWA..
ZITAANZISHWA THREAD ZA KILA NAMNA KWA KUTUMIA JINA LAKO.

MWISHO MAAMUZI NI YAKO.

ILA ngoja nikukere kidogo.
Yaani baada kukusoma weee hoja zako na majibu ya nimegundua
WEWE SIO ATHEIST HATA KIDOGO YAANI HATA ASILIMIA 0.5 HUJAFIKA INGAWA UNAJITUTUMUA KWA VIMANENO NA VIHOJA YAANI WEWE BADO SANA SANA SANA.

Changamoto yako ni ndogo kuliko ukubwa unaoipatia. INAONEKANA UMEKOSA TUU MAJIBU YA MASWALI AMBAYO KWAKO UNAYAITA MAGUMU AISEE NGOJA NICHEKE TUU.
PILI UMEPITIA STAGE YA HASIRA BAADA YA KUTOJIBIWA ULIYOTARAJIA.

NIKISEMA NIANDIKE NIYOPITIA MIMI HUMU AISEE WE YA KWAKO MMH NI NURSERY TUU. JUA KUNA MAELFU WAPO KAMA WEWE NA MPAKA LEO HAWANA PA KUSHIKA, HANA MIA, HANA NYUMBA WALA MAKAZI, ANAUMWA, ANANYANYASWA, WENGINE MPAKA JELA HALAFU WEWE SIJUI UMEPAMBANA AU UMEFANYAJE MPAKA UKAFANIKIWA KUFIKA HAPO.... LAKINI UNAHASIRA TO UNKNOWN POWER.
RELAX MY FRIEND FANYA LINALOKUPA AMANI MAANA YA KESHO HUYAJUI. LEO UNAWEZA UKASHUHUDIA KWA VIAPO HADHARANI KUWA HIKI KIPO AU HAKIPO THEN BAADA YA MIAKA KADHAA UKAKUTANA NA YATAKAYOKUFANYA UANZE KUTAFAKARI UPYA TENA,

MAISHA NI SAFARI HAKUNA AUJUAYE MWISHO WAKE NI LINI NA NAMNA GANI NA KWANINI. MAMBO YASIYOJULIKANA TUYAACHE HIVYO HIVYO MPAKA SAA YETU YA MWISHO.

POLE KWA MAELEZO MENGI YASIYO NA MSINGI. NAKUHESHIMU NA KUKUBALI SANA. UME NI ADMIRE MENGI YA KUJIFUNZA. ASANTE SANA.

WITO WANGU KWAKO SOMA SANA SOMA SANA DUNIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO. USIJIFUNGIE KWENYE BIBLE TU, SOMA SOMA SOMA.

ALWAYS JIULIZE HILI SWALI (NANI ANATAWALA DUNIA?? NA KWA NINI AITAWALE?? NGUVU KAZITOA WAPI??)
soma na kujua watu wanaoitawala dunia ni kina nani na kwanini? Ili wapate nini, mwisho wao ni nini? Na kwa nini wanafanya kila aina ya uovu kufanikisha nia yao?? Kuna nini nyuma yake.
Astronaut👨‍🚀 wanatumwa kutafuta nini huko juu, na kila wachokitafiti au majibu wanayoyapa who is the consumer na kwa nini??
👽 wapo au hawapo, kwa nini wapo au kwa nini hawapo scientifically.
Why all rulers are believers of either dark or light, black or white.
And why most of them are black believers and even those from white origin became black kwa hiari au kwa lazima.
Aisee wewe Fereke mbona una roho nzuri hivi??💕💕💕
Asante kwa huu upendo rafiki yangu kipenzi🙏🏼🙏🏼
Muda na hekimq uliyotumia Sichukulii kawaida na hata neno asante naona halitoshi.

Kuhubiri naweza kuacha polepole then nikatafuta namna nyingine ya kufundisha kawaida ila kuimba ndio starehe yangu kuu na nikigeukia secular ndo yaleyale na pia huko sitapaweza.



Ushauri no 2 nakupata sana wala usihofu.Siwezi kamwe kufanya hicho kitu,nitatengwa kila sehemu na kikubwa nitahatarisha usalama wangu na mtoto.
ASANTE🙏🏼🙏🏼🙏🏼
 
Udhihirisho wa Mungu unajionesha kwenye kanuni za kisayansi, mpangilio wa ulimwengu, utiifu wa majira nk nk, vipo vingi sana ukivitafakari lazima vikusadikishe.

Kwa hiyo huwa unakomea kuwaza kuwa vitu vyote hivi kwa mpangilio wake uliopo vilijitokeza tu, basi!

Labda ninachoweza nami kukuunga mkono ni ukengeufu wa dini na madhehebu kama ni magenge ya Cartels fulani.

Mungu hana dini lakini yupo.
Thibitisha Mungu (mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) yupo.

Ukisema tu uthibitisho unajionesha kwenye kanuni za kisayansi, hapo hujathibitisha chochote.

Unaunganishaje kanuni za kisayansi na Mungu huyo?

Hujathibitisha lolote, hapo ni sawa na kusema "uthibitisho wa Mungu upo katika rangi ya bluu".

Uthibitisho wa Mungu unaonekanaje kwenye rangi ya bluu?

Onesha kimantiki hiki kimekuja kwa kile, hiki kikawa hivi, hivyo lazima huyo Mungu yupo.

Usiseme kizembe tu kanuni za kisayansi zinathibitisha Mungu yupo.

Mimi naweza kukuambia kwamba kanuni za kisayansi ziko dispoassionate, zinaua watu wengi katika natural disasters kwa mfano, na hilo linatuonesha kuwa kanuni za kisayansi hazithibitishi uwapo wa Mungu huyo, zinathibitisha Mungu huyo hayupo.
 
Back
Top Bottom