Nadhani mke wangu mshipa wa aibu ulishakatika

Sioni cha ajabu hapo, Hayo ni mambo ya kawaida kwenye ndoa, tena hayo mambo yanaonyesha ni jinsi gani mpo huru kwenye ndoa yenu, Sitosahau siku nilikua nagombania kunya mimi na mke wangu ikabid tuwekeane migongo tunye kwenye sink moja, that was amazing, kila nikimkumbusha mke wangu tunacheka anasema alikua amebanwa na mimi pia nilikua nimebanwa, halafu haya mambo hayafutiki akilini
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nini mke, nimekata gogo mara kadhaa mbele ya 'mubeibe' tu.... kumbe nilizingua!!
 
Ndo maana kuna nchi huko Asia hupewi mke Hadi ulete cheti Cha akili! [emoji41]
 
[emoji3][emoji3] nyie ni shida
 
[emoji3][emoji3]Aisee nyie ni noma, sijui hiyo level ya ngapi ya mahusiano
 
Unatokea mkoa gan mkuu??
 
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] mkuu serious au
 
Hii kidg inahitaji kuchekiwa
 
Naomba mwenye tafsiri ya uhusiano wa neno tigo na ***ndu anisaidie!
 

Unatoa mpya kunya anye mpenzi wako wewe uchukie? Yaani umnyime hadi uhuru wa kunya? Huo ni unyanyasaji kijinsia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…