Nadhani mke wangu mshipa wa aibu ulishakatika

Everybody is gangta till his wife walks inπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mambo zenu wakuu?

Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.




ANgalia siku atakosa aibu akuletee huu msosi mezani
 
Eti jomoniii bebe..inavyonoga kumjambia hubby tena ule wa sauti afu akigeuka kukuangalia unajifanya kama humuoni vilee... ndio kwanzaaaaa unajinyooshaπŸ˜‚πŸ˜‚
Hawa watoto bana, hizi ndoa sijui wanaziingiliaje. Mke akijamba mbele yako au ukisikia tu unatakiwa kujibu Asante mama X...maana anakuonyesha kuwa umetimiza wajibu wako wa kutunza na kulisha familia. Baada ya hapo unashukuru Mungu.
Akijisaidia ndio kabisa unasema Mashallah.
 
Tuliza ball mzee kama kitu hupendi mwambie Ila tambua akikutana na wahuni watamwachia uhuru anoupenda na kwako hutomsikia tena.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Samaki mkunje angali mbichi bwashee na mtoto umleavyo ndivo akuavyo wewe ndo chanzo. Nayasema haya kwakua nimeshapitiwa na masahibu hayo hayo. Mke wangu alikua na mtindo huo huo wa kujamba hata kama nipo. Nilimpiga bit la nguvu na vitisho vya kutaka kumpeleka kwao ili akaseme kwa mamake sababu ya kurudiahwa kwao ila hadi leo hanifanyii ujinga ule. Akihisi haja tu anaondoka mbio labda limtoke. Ila mimi kujamba kama kawaida na ndicho alicho akitaka kushindana nami.
 
Mkuu wife wako mshikilie huyo anakuamini sana na anakupenda pia...in short yupo wazi na honest haigizi maisha
Mkuu upo sahihi kabisa. Mtoa mada screenshot hii comment, print na upige lamination kisha hifadhi vizuri kabisa.

Umepata mke.
 
Sasa mbona huo ni udikteta. Kwanini wewe utoe upepo mwenzako umkataze
 
😊😊😊😊 Mbona sioni kama ni tatizo Mkuu?
 

Kah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babe vaa tinted nyeusiii tiii afu njoo huku @financial services
 
Wamama wa zamani tanga Mme akiingia chooni kutoa haja kubwa wanakuwa na kisosi kabisa cha kuwekea pumbu ili Mme ajisaidie vizuri na baada ya hapo anatawazwa, sasa waume na wake wa sikuhizi huwezi kuta wakifanya hayo, huwa kasema tanga jinsia zote zinajua mapenzi, wasichana tafuteni wanaume wa tanga na iringa au njombe huwa wana mapenzi ya kweli haswa
 
πŸ˜€πŸ˜€Alaah..
 
Huyu Wangu Kuna Siku Nilijamba Kwa Bahati Mbaya, Kalikosa Amani Kabisa, Haniangalii Hata Usoni, Anaona Aibu, Kweli Watu Tunatofautiana.
 
Jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…