Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Huwa sikosekani kwenye nyuzi za aina gani?Nilitaka nishangae inakuwaje umekosa humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa sikosekani kwenye nyuzi za aina gani?Nilitaka nishangae inakuwaje umekosa humu
Mkuu ushuhuda recent ni asubuh ya leo.Hapa ndio nimetoka kuoga na kunywa chai natulia home maana morning glory ya weekend hii tulianza saa 12 na nusu tumemaliza saa 3 kamili.Mmh yani ndani ya masaa matatu yote unakata viuno tu? Hii ni chai kabisa labda kama umepaka mkongo
Huo ni ugonjwa unaitwa delayed ejaculation, huwezi kupiga mbupu masaa matatu hilo ni tatizo, haitakiwi kufika one hour na haitakiwi kupungua dakika 10. Huyo mkeo unamtesa, ni kwamba tu hasemi, akiona mateso yanazidi atakukimbia.Mkuu ushuhuda recent ni asubuh ya leo.Hapa ndio nimetoka kuoga na kunywa chai natulia home maana morning glory ya weekend hii tulianza saa 12 na nusu tumemaliza saa 3 kamili.
Sasa nikikitanaga na mali mpya ni 5++ hours per round. Kubali au kataa siwez kukulazimisha
Za watu wanaoshindwa kunyandua vizuri, hata Dejane nae hakosekanagi.Huwa sikosekani kwenye nyuzi za aina gani?
Mkuu, angekusikia hiki ulichosema angekupiga na mwiko.Huo ni ugonjwa unaitwa delayed ejaculation, huwezi kupiga mbupu masaa matatu hilo ni tatizo, haitakiwi kufika one hour na haitakiwi kupungua dakika 10. Huyo mkeo unamtesa, ni kwamba tu hasemi, akiona mateso yanazidi atakukimbia.
Haswa zenye utandu utanduHuwa sikosekani kwenye nyuzi za aina gani?
Na wewe ni hivyo hivyo ndo maana huwa unaniona, au sio?Haswa zenye utandu utandu
Kumbe bado mnaoa!!!???Ndoa yetu imeunganishwa na wazazi, mwenza wangu hakuwahi kujihusisha na mapenzi, nimempita miaka 10, na tumefunga ndoa baada ya kumaliza kidato cha sita.
Shida ni kuwa yuko so hype na sex, mimi kwa sasa hata interest imepotea natamani nipate kimoja nilale, zile vurugu mimi kwasasa siziwezi naona kuchoka tu.
Nisipojikaza nahisi nitasaidiwa ila kwakweli energy ya haya mambo sina kabisa kwa sasa, bora ningepata mtu mzima mwenzangu tukaenda aste aste tu.
Mwaka wa 10 huu kwenye ndoa bado hajaona kama mateso yanazid au sipeleki moto vizuri?Huo ni ugonjwa unaitwa delayed ejaculation, huwezi kupiga mbupu masaa matatu hilo ni tatizo, haitakiwi kufika one hour na haitakiwi kupungua dakika 10. Huyo mkeo unamtesa, ni kwamba tu hasemi, akiona mateso yanazidi atakukimbia.
Hahaha umezidiNa wewe ni hivyo hivyo ndo maana huwa unaniona, au sio?
Mshauri namna ya kukuza biashara zake au kubiresha utendaji wake kazini. Huu ujinga wa kuhangaika kuwaridhisha wanawake ni UTUMWA BARIDI.haszu nakupa tiba hi, tumia Tangawizi 1 na Kitunguu swaumu punje 8.
[emoji117]Twanga pamoja, utakuwa una chemsha una kunywa asubui na jioni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] y
Unajuaje nimezidi wakati huwa unanikuta huko?Hahaha umezidi
Ila kweli tumezidiUnajuaje nimezidi wakati huwa unanikuta huko?
Wewe sema tumezidi😀
Nakazia. NDOA NI KWAAJILI YA WANAWAKE NA WANAUME WAJINGA. NDOA NI UTAPELIKataa ndoa
Ona jinsi ndoa inavyokutesa huku yeye wala hawazi.
Basi tupunguze, twende kwenye lile jukwaa la historiaIla kweli tumezidi
🤣🤣🤣 kazi kweliMshauri namna ya kukuza biashara zake au kubiresha utendaji wake kazini. Huu ujinga wa kuhangaika kuwaridhisha wanawake ni UTUMWA BARIDI.
Pole sana mkuu. Lakini bado hujachelewa; unaweza kumuoa mke wa pili mnayelingana umri halafu huyo mdogo ukawaachia vijana wajivinjari. Maisha ni kusaidiana ndugu yangu.Ndoa yetu imeunganishwa na wazazi, mwenza wangu hakuwahi kujihusisha na mapenzi, nimempita miaka 10, na tumefunga ndoa baada ya kumaliza kidato cha sita.
Shida ni kuwa yuko so hype na sex, mimi kwa sasa hata interest imepotea natamani nipate kimoja nilale, zile vurugu mimi kwasasa siziwezi naona kuchoka tu.
Nisipojikaza nahisi nitasaidiwa ila kwakweli energy ya haya mambo sina kabisa kwa sasa, bora ningepata mtu mzima mwenzangu tukaenda aste aste tu.
Dar - Dodoma kwa basi ni 5hrsMkuu ushuhuda recent ni asubuh ya leo.Hapa ndio nimetoka kuoga na kunywa chai natulia home maana morning glory ya weekend hii tulianza saa 12 na nusu tumemaliza saa 3 kamili.
Sasa nikikitanaga na mali mpya ni 5++ hours per round. Kubali au kataa siwez kukulazimisha