Nadhani nimekosa mke wa kuoa


Eti kaone haka kajinga! Dah
 

Kuna shida mahali, ila kujigundua ni changamoto
 
Focus na mishe zko, mke atakuja mwenyew
 
Usiwe mutu ya kujionesha kuwa una pesa..afu usiwe siriyasi sana kuwa normal tu Mzeebaba
 
Hapana Nina mwili mkubwa sana. Hata wanaume wenzangu huniita bigi
 
🙏🏿🧢
 
"kaone haka nako kajinga", watano ndo umetafuta sana na unaona umetulia loh " get five women at once select 4 choose three love two marry one"........hiyo ndo formula ya wanaumme walio kamilika sio aka...hahaha joking
Aisee 😅🧢
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…