Nadhani sasa mtaamini kwamba ule uliyoitwa mradi wa kimkakati, TUMEPIGWA

Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Kama unaamini kuna mchezo sasahivi, kwanini usiamini pengine mchezo ulichezwa wajati ule?
Yule bwana alikuwepo bungeni na serikalini kwa miaka 20 kabla, lkn sikumbuki kama nimeshawahi iona kura yake ya HAPANA kwenye miradi yote aliyokuwa anasema "nchi hii imechezewa sana".. To me he's no different from the rest!
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Kama alijua alishindwa kuwa tambua kuwa uwanja was ndege Chato na mbuga za wanyama Burigi,no mradi was kijinga ....hili nalo linawezekana!
Ktk nchi maskini Kama Tanzania unaleta treni ya umeme.
Ndivyo itakavyo kuwa Bwawa la Umeme!
 
usilinganishe ruvu na rufiji.Rufijini na issue nyingine..kama unabisha nenda pale rufiji daraja la mkapa harafu jizamishe uone kina cha maji yanayopita
Soma taatifa za Wana mazingira uone jinsi Hali ya Tania nchi ilivobadilika ktk bonde la mto Rufiji kwa kipindi Cha miaka 20 iliyopita!
Kuna mito iliyokuwa inatiririsha maji msaa 24 k2a mwaka Leo haipo ...usiangslie Bwawa la mradi huo kwa kwenda kuangalia mwisho wa mto...nenda Kirombero huko uone!
 
Mbona kwenye ndegr alipiga na bado tumelula hasara hadi leo shirika bado hata mishaharatu ya wafanyakazi haliwezi kugenerate mpaka unajiuliza kwani abiria wanapanda bure?

Magufuli alianzisha miradi ajipigie 10% tu.
Halafu eti lilikuwa linapata faida na kutoa Gawiokwa Serikali...jamaa alitufanya wajinga kweli!
 
Kuna watu huanzisha mada ili mradi kuonesha Magufuli hakufanya lolote, haya hongereni sana.
 
Buraza maji yapo na yapo mengi sana

Sasa usitake kutumia huo uchochoro ili mpige pesa na wenzako
 
An alarmist,...and an imperialist stooge
 
Najaribu kupata muunganiko wa heading na mtiririko wa habari yenyewe nakosa.Labda sijaelewa kwa sababu ya ugumu wa bichwa mlio elewa msaada tutani!
Simple, kuwa miaka hii kuna mabadiliko ya hali ya hewa yanayoathiri upatikanaji wa maji through out the year hivyo kutegemea umeme wa maji ni risk, ndio katoa mfano wa Kasim kwenda kukagua Ruvu
 
Mtoa mada jifunze kutafakari kwa kina kabla ya kuongea au kuandika jambo hadharani. Pia punguza chuki binafsi kwa JPM, yeye kashapumzika wewe unayehangaika kuchafua taswira yake utapata pressure bure.
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Mchezo upi?
 
Sexless wewe umetumwa na Makamba upime kina cha maji ? Upuuzi wowote atakaofanya Makamba kuhujumu mradi wa JNHPP utammaliza kisiasa, Tanesco imeshamshinda asijaribu sasa kuhujumu na mradi muhimu wa kitaifa wa JNHPP.
Tafuteni taarifa sahihi msisubiri kutoka kwa shaka hamdu Mradi hauna Hela
 
Tutaweka mabomba toka ziwa Victoria kujaza hiyo dam
 
Hatujapigwa, tumenunua mafuta ya kula kwenye chupa ya mafuta ya taa, tusimlaumu mwenye duka. Uzembe ni wetu wenyewe kwani wajenzi wanatimiza vigezo vyote kwa usahihi.
 
Hatujapigwa, tumenunua mafuta ya kula kwenye chupa ya mafuta ya taa, usimlaumu mwenye duka. Uzembe ni wetu wenyewe kwani wajenzi wanatimiza vigezo vyote kwa usahihi.
Mnampa Jina Baya Mzilankende
Tuchape Kazi Ndugu Zangu
Bwana Bure Hayupo
 
nyie ndio zile shahawa ambazo mama enu alizikimbilia wakati zilitakiwa kwenda chooni
 
@Dr Akili , Mafia ni kisiwani.
Rekebisha tafadhali !
 
Mto rufiji umepungua sana kina , hata ukipita pale darajani utaona, halafu sasa hivi shughuli za ufugaji zinaendeleq upande ule , tutegemee the worst.
Tupe takwimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…