Kamyamya
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 560
- 572
Naiona 2025 inavyo wanyima watu usingizi. Mama kuwa makini
Huu mradi ni mtego kwako kumbuka fedha nyingi zumeenda hapo .Leo hii mradi ufe! wananchi hawatakuelewa . Kumbuka bado unatembelea nyota ya JPM ambaye wapiga kura wanamlilia hata leo wameshindwa tu kumfufua. Ila wanafarijika na miradi alioiacha na pia inavyo endelea kukamilika.
Huu mradi ni mtego kwako kumbuka fedha nyingi zumeenda hapo .Leo hii mradi ufe! wananchi hawatakuelewa . Kumbuka bado unatembelea nyota ya JPM ambaye wapiga kura wanamlilia hata leo wameshindwa tu kumfufua. Ila wanafarijika na miradi alioiacha na pia inavyo endelea kukamilika.