Nadhani sasa mtaamini kwamba ule uliyoitwa mradi wa kimkakati, TUMEPIGWA

Nadhani sasa mtaamini kwamba ule uliyoitwa mradi wa kimkakati, TUMEPIGWA

Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Kuna mawakili wengi wa shetani wanajitahidi kuirudisha Tanzania kwenye zama za giza.
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Binadamu huwa hakosei kwani? Una kumbukumbu ya issues za Kivuko alichinunua akiwa ujenzi? Una kumbukumbu ya Meli ya samaki ya wachina? Kinachotakiwa kuaminiwa ni mfumo na team work haya mengine ni ngonjera tuu na ukweli ni kwamba mwaka huu na mwaka ujao tumeambiwa kutakuwa na ukame mkubwa sana hivyo tusishangae mabwawa ya umeme kupungua sana maji.
 
Kuna kitu kinaandaliwa as kuvuruga nchi na watoto wa viongozi wastaafu waliopewa nafasi kuongoza taasisi za umma.
 
Wanahujumu mradi kwa faida ya nani, au ili iwe nini?

Unajua nyie watu mmejazwa propaganda za ovyo sana kiasi kwamba mnaona mradi mwingine wowote ukianzishwa basi unalenga kuhujumu miradi ya Magufuli!!

Tokeni kwenye lindi la fikra mbovu...

Huwezi kuacha kutekeleza miradi mingine eti kisa kuna Mradi wa Bwawa la Nyerere...

Si mlikuwa mnadanganya kwamba zamani kulikuwa na mgao kwa sababu watu walikuwa wanaziba maji?

How come basi hata wakati wa Magufuli bado umeme wa maji ulikuwa ONLY 36%?

Kama watu wasingeanzisha mradi wa Umeme wa Gesi unao-supply 57% ya umeme wetu, je nchi ingekuwa katika hali gani?!

Au hivi ni lini Makamba or anyone ametangaza kwamba Mradi wa Nyerere "sasa basi"?

Yaani nyie kusikia watu wanaendelea na mradi wa gesi, oh wanataka kuhumu Mradi wa Bwawa la Nyerere... akili za ovyo kabisa hizi
Umepata pa kutolea povu wala hujataka kutumia akili yako kutaka kujua nilichoandika.
 
Eti wazungu wenye dunia yao!

Kwa nini chadema huwa mnajidharau sana?
 
Uvivu wa kufikiri uliozidi kiwango cha SGR....

Yaani kwavile Magufuli alianzisha Mradi wa Bwawa la Nyerere ndo basi tena miradi mingine YOOOOOOTE isifanyike?

Ili kiwe nini?

Hivi nyie watu mbona mna mawazo chakavu namna hii?!

Hivi seriously unaamini ni busara nchi kuwa na chanzo kimoja tu cha umeme?

Acheni mawazo ya ovyo nyie watu... hata kama kupenda, huko sio kupenda bali ni ujinga!!!
Sasa nani kakwambia miradi mingine isifanyike?

Yani wewe hadi leo bado Magu anakuchapa tu?
 
Yaani Kichuguu unatia aibu sana linapokuja suala la JPM....

Yaani PM kuagiza wataalamu kufuatilia vyanzo vya maji kwako unaona ni kumhujumu Magufuli?!

Yaani seriously, na usomi wako wote huo unaamini kuendeleza Mradi wa Gesi kunalenga kumhujumu Magufuli?

Bila shaka upo USA... unataka kusema USA wanategemea umeme wa Niagara Falls peke yake?!

Unaweza kutaja hapa ni wapi Makamba or anyone amesema Mradi wa Bwawa la Nyerere, sasa basi?

Ina maana hata wewe watu wapoteze muda kukuelimisha what's energy mix wakati am certain unafahamu?

Ingekuwa umeme wa maji ni wa kutegemewa kwa 100% kwa kiasi hicho, kwanini basi hata wakati wa Magufuli tuliyeambiwa amewatia adabu waliokuwa wanaziba maji lakini bado umeme wa maji ulikuwa ONLY 36% huku umeme wa gesi kwenye gridi ya taifa ukiwa 57%?
Nani kasema mradi wa gesi usiendelezwe?

Nioneshe nani kasema hivyo?
 
Usisikilize porojo za Misukule ya Magufuli ambao wao wapo tayari kuona taifa linaangamia ili mradi tu "Legacy ya Magu" inalindwa...

Mradi wa Bwawa la Nyerere upo pale pale..

Mradi wa Bwawa la Nyerere haufanyi miradi mingine isifanyike kwa sababu ni mjinga tu ndie anaweza kuamini chanzo kimoja cha umeme kinatosha!!

Walivyo na akili mbovu, wanataka miradi yoooooote isifanyike EXCEPT ile ya Magufuli....

Kwao ukifanyika mradi mwingine wenye malengo yale yale, basi mradi huo unalenga kuzima Legacy ya JPM

Ni ujinga ulioje!!!
Wewe ndio msukule!

Nani kasema mradi wa gesi usiendelee?

Hebu nioneshe!

Mleta mada na nae ni msukule vile vile kama ulivyo wewe, maana kichwa cha habari na kilichopo kwenye mada yake ni vitu viwili tofauti
 
Ogopa rohonya kutofurahia uwezo wa wengine huwa ni sumu mkubwa kwa mtu.
Usianzishe mradi wowote kama kutambia wengine maana kila binadamu ana maono yake.
Jambo lolote akitamka Mwanasiasa ujuwe kuna vitu ameviongeza ili kujipatia sifa.
 
Simple, kuwa miaka hii kuna mabadiliko ya hali ya hewa yanayoathiri upatikanaji wa maji through out the year hivyo kutegemea umeme wa maji ni risk, ndio katoa mfano wa Kasim kwenda kukagua Ruvu
Tutegemee umeme upi wa uhakika
 
Mto rufiji umepungua sana kina , hata ukipita pale darajani utaona, halafu sasa hivi shughuli za ufugaji zinaendeleq upande ule , tutegemee the worst.
Nimepita Ijumaa, kwa kweli kina kimepungua sana. Hata ukiingia kule ndani Mloka au Utete,vile vimifereji havipo tena. Nenda Ruwe kule uone vimito vya kuifeed Rufiji vilivyokauka.
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Kwa hiyo Mradi wa "Chattle International Airport" ulikuwa wa faida sana!? Katika kusisitiza Jambo tujitahidi na kuweka akiba ya Maneno
 
Wataalamu wanasema hilo Bwana likijazwa maji full ukaja ukame wenye maji machache kabisa au Hakuna bado litazalisha umeme Makaa 24 kwa miaka 3!
 
Back
Top Bottom