Nadhani sasa mtaamini kwamba ule uliyoitwa mradi wa kimkakati, TUMEPIGWA

Nadhani sasa mtaamini kwamba ule uliyoitwa mradi wa kimkakati, TUMEPIGWA

Kwa haya anayo yaongea PM kuna uzalishaji wa umeme utafanyika JNHPP ?
Usisikilize porojo za Misukule ya Magufuli ambao wao wapo tayari kuona taifa linaangamia ili mradi tu "Legacy ya Magu" inalindwa...

Mradi wa Bwawa la Nyerere upo pale pale..

Mradi wa Bwawa la Nyerere haufanyi miradi mingine isifanyike kwa sababu ni mjinga tu ndie anaweza kuamini chanzo kimoja cha umeme kinatosha!!

Walivyo na akili mbovu, wanataka miradi yoooooote isifanyike EXCEPT ile ya Magufuli....

Kwao ukifanyika mradi mwingine wenye malengo yale yale, basi mradi huo unalenga kuzima Legacy ya JPM

Ni ujinga ulioje!!!
 
Matrilioni ya fedha tunayamwaga kujenga JNHPP lkn uhakika wa kuzalisha umeme hakuna.

Wenye dunia (wazungu) walionya kwamba ktk dunia ya leo inayokabiliwa na tatizo la "mabadiliko ya tabia nchi" umeme wa maji si wa kutegemewa tena. Tukawabishia. Kiko wapi Sasa?!

Kwa haya anayo yaongea PM kuna uzalishaji wa umeme utafanyika JNHPP ?

View attachment 2012229
Hii nchi mkuu imejaa wananchi wajinga sn, wewe ukipata nafasi piga pesa kaa pembeni jali familia ako. over
 
Yaani Kichuguu unatia aibu sana linapokuja suala la JPM....

Yaani PM kuagiza wataalamu kufuatilia vyanzo vya maji kwako unaona ni kumhujumu Magufuli?!

Yaani seriously, na usomi wako wote huo unaamini kuendeleza Mradi wa Gesi kunalenga kumhujumu Magufuli?

Bila shaka upo USA... unataka kusema USA wanategemea umeme wa Niagara Falls peke yake?!

Unaweza kutaja hapa ni wapi Makamba or anyone amesema Mradi wa Bwawa la Nyerere, sasa basi?

Ina maana hata wewe watu wapoteze muda kukuelimisha what's energy mix wakati am certain unafahamu?

Ingekuwa umeme wa maji ni wa kutegemewa kwa 100% kwa kiasi hicho, kwanini basi hata wakati wa Magufuli tuliyeambiwa amewatia adabu waliokuwa wanaziba maji lakini bado umeme wa maji ulikuwa ONLY 36% huku umeme wa gesi kwenye gridi ya taifa ukiwa 57%?
Ukweli una tabia moja; hautaki kudharauliwa. Ukijaribu kupingana ukweli utakwama wewe mwenyewe. Kama na wewe unaamini kuwa hatuhitaji hydro power basi hujui maana ya hydro power.

Kuhusu Marekani, elewa kuwa ni eneo zaidi ya mara hamsini ya eneo la tanzania, na matumizi yao ya umemi ni makubwa zaidi ya mara mia ya yale ya Tanzania. Kwa hiyo hawana chanzo kimoja cha umeme, lakini kumbuka walianza na Hoover Dam kulisha umeme state zote za Magharibi ya marekani, na bado inafanya kazi mpaka leo.
 
Matrilioni ya fedha tunayamwaga kujenga JNHPP lkn uhakika wa kuzalisha umeme hakuna.

Wenye dunia (wazungu) walionya kwamba ktk dunia ya leo inayokabiliwa na tatizo la "mabadiliko ya tabia nchi" umeme wa maji si wa kutegemewa tena. Tukawabishia. Kiko wapi Sasa?!

Kwa haya anayo yaongea PM kuna uzalishaji wa umeme utafanyika JNHPP ?

View attachment 2012229
Matrilioni ya fedha tunayamwaga kujenga JNHPP lkn uhakika wa kuzalisha umeme hakuna.

Wenye dunia (wazungu) walionya kwamba ktk dunia ya leo inayokabiliwa na tatizo la "mabadiliko ya tabia nchi" umeme wa maji si wa kutegemewa tena. Tukawabishia. Kiko wapi Sasa?!

Kwa haya anayo yaongea PM kuna uzalishaji wa umeme utafanyika JNHPP ?

View attachment 2012229
Mtoa Mada unafahamu kuwa Mto RUVU na RUFIJI ni tofauti ?
 
Mto Ruvu hauna uhusiano wo wote na mto Rufiji. Mto Rufiji ndiyo mto mkubwa na mrefu kuliko mito yote nchini Tanzania na hata siku moja haujawahi kupungukiwa maji. Pale kwenye Stigler's gaudge ya mto huu ndipo tunajenga JNHPP. Great Ruaha ni moja ya tributaries zake kubwa. Mto huu haupitii DSM bali Mafia mkoani pwani maili tatribani 200 kusini ya DSM.
Mwangalieni huyu...

Hivi kuna mto usiopungua maji?!

Ni mara ngapi hiyo Great Ruaha imekuwa ikikumbwa na changamoto ya kukauka?!

Na kama Great Ruaha pia huwa inakubwa na hiyo changamoto, sasa nini kitafanya Rufiji isipungue maji no matter what?!

Btw, hivi unaifahamu Mafia unayosema eti ndiko unakopita Mto Rufiji?
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Kwani Magufuli alikuwa na akili kuchoma pesa kwa kutia hasara kwa kile achotaka yeye maadamu aone wajinga wengi wanamkubali kwake halikuwa tatizo
 
Hilo listiggler lijengwe tu no way waache blahblah, tayari hela imeshazikwa pale hatuwezi kuliacha linaning'inia...

Lijengeni liishe halafu tuone hayo maji yakikosekana sio kutuletea story zisizoeleweka...
 
Ukweli una tabia moja; hautaki kudharauliwa. Ukijaribu kupingana ukweli utakwama wewe mwenyewe. Kama na wewe unaamini kuwa hatuhitaji hydro power basi hujui maana ya hydro power.
Wapi nimesema HATUHITAJI hydro-power?!

Kama ningekuwa sihitaji hydro-power how come nizungumzie suala la energy mix?

Nakushangaa wewe na uelewa wako wote lakini bado unaamini kwavile panajengwa Bwawa la Nyerere, basi miradi mingine isifanyike, na ikifanyika inakuwa na lengo la kumhujumu JPM....
Kuhusu Marekani, elewa kuwa ni eneo zaidi ya mara hamsini ya eneo la tanzania, na matumizi yao ya umemi ni makubwa zaidi ya mara mia ya yale ya Tanzania. Kwa hiyo hawana chanzo kimoja cha umeme, lakini kumbuka walianza na Hoover Dam kulisha umeme state zote za Magharibi ya marekani, na bado inafanya kazi mpaka leo.
Hivi issue ni ukubwa wa eneo au demand and supply for energy?!

Fanya assignment mwenyewe kufahamu what's modern energy modern access of an ordinary American halafu linganisha na modern energy access to Middle Class Tanzanians ndipo utafahamu issue hapa sio ukubwa wa nchi in terms of land mass!!

Ni kutokana na ukweli huo, ndo maana, Ethiopia yenye eneo kubwa na watu wengi kuliko Kenya lakini bado modern access energy ni takribani siku 700 wakati Kenya ni roughly 250 days!!

Na ndo maana, ingawaje South Africa hawajatuacha sana kwa ukubwa wa nchi in terms of area huku population zikikaribiana, lakini bado modern energy access kwa SA ni less than 30 Days huku Tanzania tukikaribia 400 days!!

Of course, from economic point of view, LNG Project is more economically viable ukilinganisha na Bwawa la Nyerere lakini kwa hapa tulipofikia, ni mjinga tu ndie anaweza kufikiria kuuacha Mradi wa Bwawa la Nyerere!!

LNG Project is more economically viable kwa sababu inaweza kutupatia KILA KITU tutakachopata kwenye Bwawa la Nyerere lakini Bwawa la Nyerere haliwezi kutupatia kila kitu kinachoweza kupatikana through LNG Project, kwa sababu, mbali na umeme... what else?!
 
Matrilioni ya fedha tunayamwaga kujenga JNHPP lkn uhakika wa kuzalisha umeme hakuna.

Wenye dunia (wazungu) walionya kwamba ktk dunia ya leo inayokabiliwa na tatizo la "mabadiliko ya tabia nchi" umeme wa maji si wa kutegemewa tena. Tukawabishia. Kiko wapi Sasa?!

Kwa haya anayo yaongea PM kuna uzalishaji wa umeme utafanyika JNHPP ?

View attachment 2012229
Mimi kwa kweli nachanganyikiwa, sasa huko inakopita mito, watu walikuwa wanatumia hayo maji ya mto, kwa kilimo, na kukidhi maisha yao ya kila siku kwa miaka karibia yote hata kabla ya Uhuru. Sasa leo wazuiwe kutumia maji, wataishije? Maelekezo mengine kwa kweli mhhhh......
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Yale mabilioni aliyotia chato Airport tuambie faida yake
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
No bro magu alilazimisha tu huu mradi na alielezwa vizuri sana sasa a ha tu serikali iendelee nao
 
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
Ninacho kiona mimi ni as if kuna mkakati fulani unasukwa wenye lengo la kutaka ku-demonise Magufuli - come rain or shine - mara utasikia wanalalama eti mbona mradi wa umeme umechelewesha kwa zaidi ya mwaka plus,yaani tunajifanya hatujui kwamba COVID-19 ilichangia katika kuchekewesha miradi mingi Duniani sio Tanzania peke yake.

Mara ooh - mkadarasi wa kiarabu hana uwezo na weledi wa kujenga mradi mkubwa wa umeme ndio maana wame-sub contract Wachina - wanasema hayo as if ku-subcontract mradi kwa kumpuni nyingine ni kosa la jinai, wanapuuza kabisa kauli ya Magufuli aliyo sema kwamba Arab Contractors wamejenga miradi mingi ya kimkakati nchini mwao kwa mafanikio makubwa - sina shaka Madam President alipo tembelea Misri hivi karibuni alionyeshwa miradi mikubwa inayo tekelezwa na kampuni ya Arab Contractor nchini Misri, mnafikiri mama wa watu alijisikiaje alipo tembelea miradi ambayo kampuni ya Arab Contactors imetekeleze nchini Misri kwa ufanisi mkubwa - tofauti kabisa na propaganda za baadhi ya washauri wake waliokuwa wanaponda kampuni ya Arab contractors bila sababu zenye mshiko, sasa hili liwe kama fundisho kwa Madam President kwamba wakati mwingine awe makini sana na maoni/ushauri wa baadhi ya viongozi wenzake a seek second opinion kutoka kwenye independent and professional source zisizo kuwa na maslahi binafsi kwenye miradi mikubwa nchini - linapo kuja suala la mradi wa umeme wa Nyerere ni muhimu hapa kwa Rais Samia kuhakikisha anashauriana kwa karibu na Rais wa Misri, sina shaka Rais Al Sisi na Rais Samia watafanya juu chini kuhakikisha mradi wa umeme wa MTO wa Rufiji unakamilika bila mizengwe/kufanyiwa hujuma za chini chini.

Hapo hatujazungumzia tuhuma za nyingine za kutunga tu kuhusu Dr Magufuli eti "alikuwa anakopa kimya kimya fedha chungu mzima za kuendeleza Taifa letu huku akidai kwamba fedha hizo zimetokana na walipa kodi - uzushi mtupu wenye lengo la kumwaribia sifa Magufuli 4 political reasons - wengine wanakuwa driven just to get even na the late Magufuli kwa kuwa aliwachisha kazi unceremoniously.
 
Usifikiri hilo bwawa litakosa matumizi mbali na kuzalisha umeme, linaweza kuwezesha miradi mikubwa sana ya kilimo cha umwagiliaji, kuhifadhi maji ya kutosha kusambaza kwenye jiji la Dar, kwa hiyo mantiki ya kimkakati ipo palepale...
 
Wapi nimesema HATUHITAJI hydro-power?!

Kama ningekuwa sihitaji hydro-power how come nizungumzie suala la energy mix?

Nakushangaa wewe na uelewa wako wote lakini bado unaamini kwavile panajengwa Bwawa la Nyerere, basi miradi mingine isifanyike, na ikifanyika inakuwa na lengo la kumhujumu JPM....

LNG Project is more economically viable kwa sababu inaweza kutupatia KILA KITU tutakachopata kwenye Bwawa la Nyerere lakini Bwawa la Nyerere haliwezi kutupatia kila kitu kinachoweza kupatikana through LNG Project, kwa sababu, mbali na umeme... what else?!
Vipi kuhusu miradi ya umwagiliaji na kuhifadhi maji kwa ajili ya kusambaza Dar in case of water shortages....
 
Yaani basi tu. Miswahili ikipigwa ngeli kidogo tu inanywea kisa mdhungu. Mto rufiji upo duniani kwa mamilioni ya miaka ila mswahili anaamini utakaushwa na jua la Dar kisa mzungu kasema. Wazungu wanataka tutumie umeme wa gesi au majenereta kwakuwa wanajua namna watakavyofaidika. Kipindi kile tulikuwa tunaambiwa mgao wa umeme kwasababu bwawa la mtera limepungua maji, kumbe wazee wa hujuma walikuwa wanafungulia majaruba ili tu baadae wauze majereta. Mbona sahiz pamoja na huu ukame hatusikii mtera imekauka?
Wabongo mnapigwa kirahisi sana. Hivi Magufuli ajue kabisa kuwa mradi utakuwa wa hasara halafu atie mabilioni ya pesa kuufanya?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Something must be wrong somewhere else.... Kuna mchezo tunachezewa.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Misinformed by who? Wazungu? Hawa wanaosema ndio waliovumbua mlima Kilimanjaro na Ziwa Victoria au?
Na yeye alikuwa mis informed, umeme wa maji dunia ya leo sio wa kuutegemea .
 
Kuna taarifa au habari iliwahi andikwa na kusemwa kuwa, waziri wa kwanza kupewa ulinzi mkali na raisi alikuwa JPM, pia awamu fulani, aliandika barua ya kujiuzulu, ikakataliwa na pia hakufukuzwa kazi.

Sijui ukweli wa hizo taarifa, we unadhani inaweza kuwa kweli?
Sidhani chochote kwa sasa
 
Misinformed by who? Wazungu? Hawa wanaosema ndio waliovumbua mlima Kilimanjaro na Ziwa Victoria au?
Aliyemsahuri akajenge Chato aiport kwamba itakuwa ni feasible project alikuwa mzungu?

Yaani tumekuwa walalamishi kwa matatizo tunayojitafutia wenyewe , ni kama boda boda tu , hata akigonga mti , atasema chanzo cha ajali ni mti huo ulimchomekea !
 
Back
Top Bottom