Nadhani wakati wa mpito huu ni mbaya sana kwangu kiakili

Nadhani wakati wa mpito huu ni mbaya sana kwangu kiakili

Joined
Oct 27, 2024
Posts
33
Reaction score
277
Salamu Wakuu, msinione msumbufu Mimi mdogo wenu.

Nasumbuliwa na upweke na msongo, sijui najihisi vipi ndugu zangu.

Napo waona watu nahisi hisia za kuwachukia, natamani kukaaa peke yangu zaidi. Pia wakati huu nasumbuliwa na hasira sana, kitu kidogo nakasirika sana.

Naona Sina marafiki wakubadilishana nao mawazo, kanisani hivi sasa siendi, najihisi tofauti moyoni wangu, naona Hali nisiyo ielewa. Pia maumivu ya kichwa yananisumbua sana.

Watoto wadogo mtaani wakinisalimia nawatazama tu sijibu kitu. Pia napokutana na watu nataman kusalimiana nao Lakini Kuna kitu kina nambia Kaa kimya Haina haja.
 
Mara ya mwisho kula mzigo ni lini??
Isije ikawwa ni nyege tu zimekujaa ndio zinaleta shida
Kwa hiyo tiba apunguze nyege? Kweli we kijana unasumbuliwa na UBUKI (ukosefu wa busara kichwani).

Mtoa mada muone daktari wa psychiatry mana kama umeng'amua dalili hizi mwemyew ni nzur kwako. Muhimu utapata dawa za kuongeza uzalishwaji wa kemikali za furaha na usingizi. Mood disorder ni serious sana hasa kwa suicide na homicide na hata matumizi yaliyokithiri kwa vileo.

Hapo utapata Azuma, amitriptiline ili upate muda mzuri wa kulala na kupunzisha akili kwa mawazo. Utapewa Folic acid na haloperidol.. hii inaweza kuwa psychosis mana ninahakika ina zaidi ya miaka miwili sasa
 
Kwa hiyo tiba apunguze nyege? Kweli we kijana unasumbuliwa na UBUKI (ukosefu wa busara kichwani).

Mtoa mada muone daktari wa psychiatry mana kama umeng'amua dalili hizi mwemyew ni nzur kwako. Muhimu utapata dawa za kuongeza uzalishwaji wa kemikali za furaha na usingizi. Mood disorder ni serious sana hasa kwa suicide na homicide na hata matumizi yaliyokithiri kwa vileo.

Hapo utapata Azuma, amitriptiline ili upate muda mzuri wa kulala na kupunzisha akili kwa mawazo. Utapewa Folic acid na haloperidol.. hii inaweza kuwa psychosis mana ninahakika ina zaidi ya miaka miwili sasa
Hii kitaalamu zaidi,safi.
 
Mm napitia iyo hali lakini mm huwa kila nikiona demu natamani nimbake yaan sijui nimepatwa na nn kila demu atayepita mbele yangu huwa nataman nimbake sasa nataka niende kwa wana saikolojia wanipe mawazo ikishindikana nikakae porini kabisa hii hali inanitesa sn
 
Kwa hiyo tiba apunguze nyege? Kweli we kijana unasumbuliwa na UBUKI (ukosefu wa busara kichwani).

Mtoa mada muone daktari wa psychiatry mana kama umeng'amua dalili hizi mwemyew ni nzur kwako. Muhimu utapata dawa za kuongeza uzalishwaji wa kemikali za furaha na usingizi. Mood disorder ni serious sana hasa kwa suicide na homicide na hata matumizi yaliyokithiri kwa vileo.

Hapo utapata Azuma, amitriptiline ili upate muda mzuri wa kulala na kupunzisha akili kwa mawazo. Utapewa Folic acid na haloperidol.. hii inaweza kuwa psychosis mana ninahakika ina zaidi ya miaka miwili sasa
Asante mkuu hata mimi nimepata kitu hapa sikuwa najua kama Kuna matibabu💪💪💪🙏🙏🙏
 
Jitahidi pia kuwa na mtazamo positive,jiwekee utaratibu wa kusoma vitabu vya ana mbali mbali huwa vinasaidia sana kubadili mtizamo wa mtu,pia be grateful for what you have ata kama ni kdg sana,punguza sana mda wa social media huwa zinadhohofisha sana akili.
 
Mm napitia iyo hali lakini mm huwa kila nikiona demu natamani nimbake yaan sijui nimepatwa na nn kila demu atayepita mbele yangu huwa nataman nimbake sasa nataka niende kwa wana saikolojia wanipe mawazo ikishindikana nikakae porini kabisa hii hali inanitesa sn
Unaishi wapi nije nijipitishe unibake hadi majogoo...

Cc: Mbaga Jr
 
Salamu Wakuu, msinione msumbufu Mimi mdogo wenu.

Nasumbuliwa na upweke na msongo, sijui najihisi vipi ndugu zangu.

Napo waona watu nahisi hisia za kuwachukia, natamani kukaaa peke yangu zaidi. Pia wakati huu nasumbuliwa na hasira sana, kitu kidogo nakasirika sana.

Naona Sina marafiki wakubadilishana nao mawazo, kanisani hivi sasa siendi, najihisi tofauti moyoni wangu, naona Hali nisiyo ielewa. Pia maumivu ya kichwa yananisumbua sana.

Watoto wadogo mtaani wakinisalimia nawatazama tu sijibu kitu. Pia napokutana na watu nataman kusalimiana nao Lakini Kuna kitu kina nambia Kaa kimya Haina haja.
Tafuta mwanamke walau mfanye kwa wiki mfululizo ukitoka hapo njoo uniambie kama bado nikubadilishie tiba
Pole mdogo wangu ni maisha tu haya
 
Huyu dogo amewahi kuleta uzi wa kudhulumiwa kwa kubebeshwa mifuko 70 ya cement na kulipwa Tsh 1500, yaani buku jero tu siku nzima kama sijakosea..so tatizo kubwa hapa naliona kwenye stress za kiuchumi...uhalisia wa mtaa umepingana na matarajio baada ya elimu. Hivyo basi wenye uwezo wa kumsaidia inabidi waanzie kwenye uchumi kwanza
 
umewahi kusema wewe ni graduate teacher wa 2024 huna ramani yeyote life limekua gumu.

kwa Tanzania avarage ya kukaa mtaani bila ajira serikalini kwa mwalimu ni miaka 4. unless upate ajira.private


ushauri paza sauti shinikiza serikali dhalimu ya CCM ikupe ajira
 
Back
Top Bottom