BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Kama una ajira mpe basi.... hapo kwako haufugi hata Kuku umpe kazi ya kuwalisha?ushauri paza sauti shinikiza serikali dhalimu ya CCM ikupe ajira
😂😂 Atii niniii? UBUKI? Hii ni homa au upungufu tuKwa hiyo tiba apunguze nyege? Kweli we kijana unasumbuliwa na UBUKI (ukosefu wa busara kichwani).
Mtoa mada muone daktari wa psychiatry mana kama umeng'amua dalili hizi mwemyew ni nzur kwako. Muhimu utapata dawa za kuongeza uzalishwaji wa kemikali za furaha na usingizi. Mood disorder ni serious sana hasa kwa suicide na homicide na hata matumizi yaliyokithiri kwa vileo.
Hapo utapata Azuma, amitriptiline ili upate muda mzuri wa kulala na kupunzisha akili kwa mawazo. Utapewa Folic acid na haloperidol.. hii inaweza kuwa psychosis mana ninahakika ina zaidi ya miaka miwili sasa
Oya mi mwenyewe napitia hiyo hali njoo huku Bagamoyo bhas
Braza chogo kweli upo serious Leo hutamani hogo wa nyama upo serious.,,.Kama una ajira mpe basi.... hapo kwako haufugi hata Kuku umpe kazi ya kuwalisha?
Hauna hata nguruwe au mbuzi? Kazi yako ni nini sasa? Au unauza madawa ya kulevya?
Hauna hata bustani au shamba? Muajiri mwenzako acha mambo ya kusubiri serikali
Salamu Wakuu, msinione msumbufu Mimi mdogo wenu.
Nasumbuliwa na upweke na msongo, sijui najihisi vipi ndugu zangu.
Napo waona watu nahisi hisia za kuwachukia, natamani kukaaa peke yangu zaidi. Pia wakati huu nasumbuliwa na hasira sana, kitu kidogo nakasirika sana.
Naona Sina marafiki wakubadilishana nao mawazo, kanisani hivi sasa siendi, najihisi tofauti moyoni wangu, naona Hali nisiyo ielewa. Pia maumivu ya kichwa yananisumbua sana.
Watoto wadogo mtaani wakinisalimia nawatazama tu sijibu kitu. Pia napokutana na watu nataman kusalimiana nao Lakini Kuna kitu kina nambia Kaa kimya Haina haja.
Unataka unipe hogo 🤣🤣BRAZA CHOGO nijibu ndo niamke au unatak nami nijinyonge 😢
Watu wenye matatizo ya mood wanakuaga na higher libido.Mm napitia iyo hali lakini mm huwa kila nikiona demu natamani nimbake yaan sijui nimepatwa na nn kila demu atayepita mbele yangu huwa nataman nimbake sasa nataka niende kwa wana saikolojia wanipe mawazo ikishindikana nikakae porini kabisa hii hali inanitesa sn
Salamu Wakuu, msinione msumbufu Mimi mdogo wenu.
Nasumbuliwa na upweke na msongo, sijui najihisi vipi ndugu zangu.
Napo waona watu nahisi hisia za kuwachukia, natamani kukaaa peke yangu zaidi. Pia wakati huu nasumbuliwa na hasira sana, kitu kidogo nakasirika sana.
Naona Sina marafiki wakubadilishana nao mawazo, kanisani hivi sasa siendi, najihisi tofauti moyoni wangu, naona Hali nisiyo ielewa. Pia maumivu ya kichwa yananisumbua sana.
Watoto wadogo mtaani wakinisalimia nawatazama tu sijibu kitu. Pia napokutana na watu nataman kusalimiana nao Lakini Kuna kitu kina nambia Kaa kimya Haina haja.
kwanza pole sana .
Ila ngoja nikupe ushauri ambao utakusaidia katika situation (hali) unayopitia.
Kuna mambo mawili unabidi kuwa unayafanya kila unapohisi hisia za huzuni.
-Gratitude
-Detachment
Unapojihisi kuchoka na kukata tamaa jaribu kufanya Sana Gratitude -hii ndo tiba au (therapy) kubwa Sana .
Detachment - jifunze kuachilia mambo mfano umesoma Ila hauna Kazi jaribu kuwa na mentality ya kufanikiwa Ila usiitegemee Sana Vyeti.
Fanya detachment kuwa nimesoma ualimu Ila my world is limitless , usiamini kuwa kwakuwa umesoma ualimu basi ili utoboe inakubidi kuajiriwa serikalini hiyo futa kichwani
Unaweza kutoboa Kwa njia yoyote na sio lazima uwe employed by the government.
Detachment itakupa fursa ya kuachana na kutegemea Elimu uliyoipata darasani na kurusu akili yako kuwa focused na mambo tofauti.
Income versus salary .
Maisha yako yataamuliwa na kipato na sio mshahara hivyo usiache fursa yoyote unayopatikana na inayopita mbele yako .
Hayo mambo juu hapo yalikuwa Kisaikolojia zaidi.
KIROHO.
Jiwekee utamaduni wa kufanya meditation /sala za usiku at least Mara 3 Kwa week.
Kuwa na madhabau yako maalumu ambayo ni safi uwe unakaa unawasiliana na nguvu yako ya juu .
Haya maisha usipokuwa na maarifa ya KIROHO unaweza kuwa una hustle in vain .
jamii zetu na sehemu tunayokaa kuna negative energy kubwa hivyo unabidi kujua njia mbali mbali za kuondoa negative energy in your life.
Kulalamika -kulaumu - Blaming jizuie na kulalamika , kulalamika huwa ni inferiority complex inayotakana na Ego and ego is self -identity ambayo ukutambulisha Kwa watu kuwa wewe ni negative person.
Kuhusu unachopitia Kwa sasa kinaitwa ( Negative wave) Hii usipokuwa makini itakutesa Sana na ndo inaeasumbua watu wengi Sana
Wimbi la hisia hasi - wengine huwa wanaliita mikosi n.k , (negative wave)
Negative wave husababishwa na kushindwa kufanya Gratitude ukifanya Gratitude utasahau habari za mikosi kukuandama .
You will face challenges Ila hazitokuwa zinakuja Kwa mfumo wa Mara kwa Mara .
Gratitude ( kushukuru) hii huwa inatumika unapokuwa unataka kuziruhusu hisia hasi kuondoka na kukaribisha hisia chanya.Asante kwa andiko lako. Nimelisoma na lina mengi ya kujifunza.
Please naomba ufafanue kidogo kwa maneno rahisi gratitude.
Gratitude ( kushukuru) hii huwa inatumika unapokuwa unataka kuziruhusu hisia hasi kuondoka na kukaribisha hisia chanya.
Ni swala la Kuwa unajizoesha mwanzo ukianza utaona kawaida Ila ukifanya mara Kwa Mara your life will Change completely
Ooh asante naanza kuelewa sasa. Unamaanisha kushukuru kwa yale ambayo Mwenyezi Mungu ametufanikisha?
Kushukuru hii huwa IPO kisaikolojia unapokuwa na negative emotions na unahitaji kuziondoa ni therapeutic imeoredheshwa Kama tiba mojawapo ya kuishinda hali ya huzuni au hisia hasi zozote.
Na kiroho - kushukuru pia ni sehemu ya ukuaji kiroho .
So gratitude inabadilisha mambo Kwa haraka.
Tamuu hujambo?Maisha yametufanya tumekuwa na hali hii tulio wengi.Hali niliyonayo Mimi ni zaidi ya haha yako.Nawaza mabaya na kuumiza/kuua tu
Nimeipenda hiikwanza pole sana .
Ila ngoja nikupe ushauri ambao utakusaidia katika situation (hali) unayopitia.
Kuna mambo mawili unabidi kuwa unayafanya kila unapohisi hisia za huzuni.
-Gratitude
-Detachment
Unapojihisi kuchoka na kukata tamaa jaribu kufanya Sana Gratitude -hii ndo tiba au (therapy) kubwa Sana .
Detachment - jifunze kuachilia mambo mfano umesoma Ila hauna Kazi jaribu kuwa na mentality ya kufanikiwa Ila usiitegemee Sana Vyeti.
Fanya detachment kuwa nimesoma ualimu Ila my world is limitless , usiamini kuwa kwakuwa umesoma ualimu basi ili utoboe inakubidi kuajiriwa serikalini hiyo futa kichwani
Unaweza kutoboa Kwa njia yoyote na sio lazima uwe employed by the government.
Detachment itakupa fursa ya kuachana na kutegemea Elimu uliyoipata darasani na kurusu akili yako kuwa focused na mambo tofauti.
Income versus salary .
Maisha yako yataamuliwa na kipato na sio mshahara hivyo usiache fursa yoyote unayopatikana na inayopita mbele yako .
Hayo mambo juu hapo yalikuwa Kisaikolojia zaidi.
KIROHO.
Jiwekee utamaduni wa kufanya meditation /sala za usiku at least Mara 3 Kwa week.
Kuwa na madhabau yako maalumu ambayo ni safi uwe unakaa unawasiliana na nguvu yako ya juu .
Haya maisha usipokuwa na maarifa ya KIROHO unaweza kuwa una hustle in vain .
jamii zetu na sehemu tunayokaa kuna negative energy kubwa hivyo unabidi kujua njia mbali mbali za kuondoa negative energy in your life.
Kulalamika -kulaumu - Blaming jizuie na kulalamika , kulalamika huwa ni inferiority complex inayotakana na Ego and ego is self -identity ambayo ukutambulisha Kwa watu kuwa wewe ni negative person.
Kuhusu unachopitia Kwa sasa kinaitwa ( Negative wave) Hii usipokuwa makini itakutesa Sana na ndo inaeasumbua watu wengi Sana
Wimbi la hisia hasi - wengine huwa wanaliita mikosi n.k , (negative wave)
Negative wave husababishwa na kushindwa kufanya Gratitude ukifanya Gratitude utasahau habari za mikosi kukuandama .
You will face challenges Ila hazitokuwa zinakuja Kwa mfumo wa Mara kwa Mara .