Punguza ukorofi...Sawa S
Wewe hapo ndo Umenifanya niwe hivyo🤣🤣🥴Punguza ukorofi...
Pole sana, Mungu anisamehe kama ni mimi ndiyo kisababishi...Wewe hapo ndo Umenifanya niwe hivyo🤣🤣🥴
AminaPole sana, Mungu anisamehe kama ni mimi ndiyo kisababishi...
Uaanze mwaka kwa kuweka mdomo na ngumi pembeni...Amina
Nitajitahidi kubadilika... Kwangu hasara ni roho pekee...Sijawahi piga mtu,vikelele tu ndo ninavyo...hivyo la mdomo nakubali....
Unachopaswa kustop mwaka unavyoanza,naomba badilika kabla hujapoteza vitu muhimu usije regret mbele, remember ningejua ni jibu la kuchelewa
Sawa, barikiwaNitajitahidi kubadilika... Kwangu hasara ni roho pekee...
Bora ujiue wewe ila sio kuua wengine wasio na hatia.Maisha yametufanya tumekuwa na hali hii tulio wengi.Hali niliyonayo Mimi ni zaidi ya haha yako.Nawaza mabaya na kuumiza/kuua tu
Hayasantee mama.