Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Status
Not open for further replies.
Katika kuipa "meno" ni lazima kuwe na uweled na mipango yakinifu, unaweza kuipa meno ikawa na uwezo wakumuondoa rais (kupindua nchi) kirahisi sana.
Mkuu hiyo ndiyo moja ya kazi yao hasa Rais kama hatakuwa mzalendo kwa maana ya kulinda maslahi ya Taifa lake...... Taasisi itakuwa inamonitoring utendaji wa Viongozi kwa upande fulani........Nakubaliana nawe pia watakao kuwa kwenye Taasisi ni lazima wawe tayari kupoteza familia zao kwa ajili ya taifa na siyo kama ifanyavyo sasa kurithishana........hata kama mtu ana mambo na malengo yake kichwani........Taasisi ni lazima ipendekeze nani? awe Mkuu wa Nchi........
 

Ninakupata vema kabisa, fursa yakumuondoa kiongozi (rais) asiyewajibika hili ndilo nasisitiza liwekwe kwa umakini, kwakuwa ikiwa mkuu wa tiss tunaweza kumpata asiyemweledi na mwenye hulka binafsi za husda aweza kuitumia fursa hiyo vibaya.
 

Kaka, Yerricko ametoa maoni na sio kulalama. Unayelalama ni wewe. Nathani maoni yake ni ya kujenga na sio kubomoa.


The king.
 

Hapo umenena mkuu. Wako watanzania wanafanya kazi usiku na mchana. Siasa ndio zinaharibu hii nchi.


The king.
 
Ninakupata vema kabisa, fursa yakumuondoa kiongozi (rais) asiyewajibika hili ndilo nasisitiza liwekwe kwa umakini, kwakuwa ikiwa mkuu wa tiss tunaweza kumpata asiyemweledi na mwenye hulka binafsi za husda aweza kuitumia fursa hiyo vibaya.
Mkuu kuna wakati huwa unaongea Point sana........Kweli Baniani mbaya Kiatu chake Dawa..........get ma thanks a million.....Mura
 

Congratulations for being so patriotic, Yericko keep it up!
 
Hapo umenena mkuu. Wako watanzania wanafanya kazi usiku na mchana. Siasa ndio zinaharibu hii nchi.
The king.

Wanasiasa ni Players wa muhimu sana katika jambo hili hapo lazima nikubali. Lakini wanapaswa kujua siyo kazi yao! Maana naona wamechukua role ya kutoa maagizo kwa TISS. Nadhani maslahi yakikaa sawa sawa watendaji katika idara hii nyeti wataondokana na vishawishi vya wanasiasa na kubaki katika core integrity.
 
Kwasisi watu wa kawaida tunaweza ona Yericho anahoja lakini kwa Fikra za upande Wa pili kile ni kitengo cha siri, utajuaje kama haya anayosema ukiondoa sheria yamefanyiwa kazi au yanafanyiwa kazi? Secondly, tulifundishwa shule ya msingi kuwa jukumu la kulinda nchi ni la wananchi wote. Je, Yericho amelinda nchi kwa Uzi huu. JF inasomwa karibia pande zote za dunia. Kwa mtazamo wangu wasiotutakia memo kwa kusoma Uzi huu wanatoka na kitu. Nadhani hii sio forum mwafaka kujadili maswala ya Usalama wa taifa.
 

Nikupe mtazamo wa taasisi za kijasusi zilivyo na miundo yake ya kiutendaji.

Today's CIA



The CIA is an independent agency responsible for providing national security intelligence to senior U.S. policymakers.

The Director of the Central Intelligence Agency (D/CIA) is nominated by the president with the advice and consent of the Senate. The D/CIA manages the operations, personnel, and budget of the CIA.

The CIA is separated into four basic components:
•the National Clandestine Service
•the Directorate of Intelligence
•the Directorate of Science & Technology
•and the Directorate of Support.

They carry out “the intelligence cycle,” the process of collecting, analyzing, and disseminating intelligence information to top U.S. government officials.

In addition, the D/CIA has several staffs that deal with public affairs, human resources, protocol, congressional affairs, legal issues, information management, and internal oversight.
 
Mndugu Mpitagwa

Nimekuongezea na hii,


An intelligence agency is a government agency responsible for the collection, analysis, and exploitation of information and intelligence in support of law enforcement, national security, defence and foreign policy objectives. Means of information gathering are both overt and covert and may include espionage, communication interception, cryptanalysis, cooperation with other institutions, and evaluation of public sources. The assembly and propagation of this information is known as intelligence analysis or intelligence assessment.

Intelligence agencies can provide the following services for their national governments.
◾Provision of analysis in areas relevant to national security;
◾give early warning of impending crises;
◾serve national and international crisis management by helping to discern the intentions of current or potential opponents;
◾inform national defence planning and military operations;
◾protect sensitive information secrets, both of their own sources and activities, and those of other state agencies;
◾may act covertly to influence the outcome of events in favour of national interests, or influence international security; and
◾Defence against the efforts of other national intelligence agencies (counter-intelligence).

There is a distinction between "security intelligence" and "foreign intelligence". Security intelligence pertains to domestic threats (e.g. terrorism, espionage). Foreign intelligence involves information collection relating to the political, or economic activities of foreign states.

Some agencies have been involved in assassination, arms trafficking, coups d'état, and the placement of misinformation (propaganda) as well as other covert operations, in order to support their own or their governments' interests.
 
Last edited by a moderator:
Mhe. Yericko, ushauri wako ni mzuri kwa ustawi wa Taifa letu. Ninapenda kukufahamisha kuwa TISS ipo imara kuliko tunavyodhani baadhi yetu. Mambo mengi unayoyaona yanatendeka au yanaendelea kutendeka, wakubwa "wenye nchi yao" ushauriwa kabla au wameishashauriwa, juu ya athari au faida zake. Ushauri kama ulivyo unaweza kupokelewa au kukataliwa na Waheshimiwa hao.....TISS ipo kazini muda wote, na wanafanya kazi nzuri sana! Kimuundo na kiutendaji, TISS inauwezo wa kunusa na kujua jambo na athari zake katika hatua za awali kabisa! Amini usiamini, ukweli ndo huo. Naomba tuwape moyo na tuwaunge mkono TISS mara zote, maana ulizi wa Taifa ni wetu sote kama raia wa nchi hii. Mungu ibariki TISS na Mungu ibariki Tanzania!
 

Hujawa mbali na mawazo yangu, lakini kusudio langu ni kudhibiti hawa "wenye nchi" wanaopewa ushauri na kutokufanyia kazi, sheria ikiwekwa sawa, hawa hawatadharau ushauri wa tiss
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…