Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

Status
Not open for further replies.
US kwenyewe licha ya kua na FBI, CIA bado wanatunguliwa refer boston bombing attack
sembuse sisi so far TISS iko vizuri
 
Kenya kuivunja intelijensia yao kwa sababu ya lile tukio ni kuionea tuu.
matukio kama yale huandaliwa na ma'experts. America yenyewe pamoja na kuwa na intelijensi ya kutisha lakini ilipokea kichapo septembeer 11.
kuhusu huku kwetu..mmh!!...hadi naona aibu.
 
Idara ya usalama ya Tanzania ipo imara sana kuliko watu wanavyofikiri,

Tatizo la hapa nchini ni sheria tu inayoinyima mamlaka kamili idara hii,

Hatua hiyo inapelekea watawala/wanasiasa kupuuza ushauri mwingi unaotolewa na idara hii kama sheria inavyotaka na kujiwekea matakwa yao wanasia hawa.
Brother, ndege ya kivita inatua ktk ardhi yetu inaiba wanyama bila kujulikana alafu unasema idara ipo vizuri?
matukio ya mabomu yanatokea katika mkoa mmoja yanapishana mwezi tuu?
fikiria tena.
 
Kenya kuivunja intelijensia yao kwa sababu ya lile tukio ni kuionea tuu.
matukio kama yale huandaliwa na ma'experts. America yenyewe pamoja na kuwa na intelijensi ya kutisha lakini ilipokea kichapo septembeer 11.
kuhusu huku kwetu..mmh!!...hadi naona aibu.
Itasaidia kuwafanya watu waamke usingizini na kuwa makini zaidi.
 
Brother, ndege ya kivita inatua ktk ardhi yetu inaiba wanyama bila kujulikana alafu unasema idara ipo vizuri?
matukio ya mabomu yanatokea katika mkoa mmoja yanapishana mwezi tuu?
fikiria tena.
Inawezekana wana usalama walishajua mchoro mzima...Issue ni 'wanasiasa' na sheria za nchi kuitumia vibaya idara hiyo.
 
Brother, ndege ya kivita inatua ktk ardhi yetu inaiba wanyama bila kujulikana alafu unasema idara ipo vizuri?
matukio ya mabomu yanatokea katika mkoa mmoja yanapishana mwezi tuu?
fikiria tena.

Idara ipo kamili na ina vitenda kazi imara kabisa,

Hakuna tukio ambalo limewahi kutokea Tanzania bila kuwa kwenye file la TISS kabla ya kutokea kwake, hii ni tangu 2006 ilipohuishwa sheria mpya ya TISS

Tatizo la idara TISS ni sheria tu na wanasiasa!
 
Idara ipo kamili na ina vitenda kazi imara kabisa,

Hakuna tukio ambalo limewahi kutokea Tanzania bila kuwa kwenye file la TISS kabla ya kutokea kwake, hii ni tangu 2006 ilipohuishwa sheria mpya ya TISS

Tatizo la idara TISS ni sheria tu na wanasiasa!
Vipi kuhusu madawa ya kulevya?
 
Vipi kuhusu madawa ya kulevya?

Mkuu Ndibalema naomba nirudie tena,

HAKUNA tukio lolote liwe la sifa ya kitaifa, Kimkoa,Kiwilaya ama kikata lililoweza kutokea lenye kuhatarisha amani ya mtanzania bila kugunduliwa na idara ya TISS,

Idara inaofisi(invisible) kuanzia ngazi ya mtaa mpaka Taifa,

Nini hawakijui? Narudia upya kuwa tatizo ni sheria na Watawala/Wanasiasa tu
 
Idara ya ujasusi inatakiwa kuwa Pro-active na sio reactive kama FFU.
 
Hv bongo n nan asiye mchambuz???? maana kila moja anakurupuka na kutoa uchambuz sholow kwenye mamb ya kitaalamu kabisa?
 
Idara ya ujasusi inatakiwa kuwa Pro-active na sio reactive kama FFU.
Exactly!

Na suala la Pro-active hili lipo ndani ya utawala wa idara hii yani bwana Othuman Rashid, sio suala la kisheria au kikatiba!

Binafsi uongozi wa Mr Rashid siukubali kwakutokuwa na ubunifu na kuruhusu siasa katika idara hii,
 
naomba kuuliza swali dogo sana...

kuna yeyote kati yenu anayeweza kuniambia nini kilipelekea kifo cha yule mmiliki wa mahoteli na vitega uchumi kibao (JB belmonte)...mnaijua sababu yake?...


kama huwezi kujua idadi ya nyanya na vitunguu vilivyoko kwenye chakula unachokula na wala hujui vimekatwa katwa ka kutumia nini (kisu,panga, wembe au mundu) maana yake wewe jikoni huwa hufiki na mwisho wako ni sebuleni tu....msiongee sana mambo msiyoyajua...anyway naombeni jibu la swali langu hapo juu
 
Hv bongo n nan asiye mchambuz???? maana kila moja anakurupuka na kutoa uchambuz sholow kwenye mamb ya kitaalamu kabisa?

take ur position mkuu na utupe uchambuzi wako ambao wewe unadhani haupo shallow kuliko kudhihaki wengine.ni ushauri tu hutaki unaacha.
 
naomba kuuliza swali dogo sana...

kuna yeyote kati yenu anayeweza kuniambia nini kilipelekea kifo cha yule mmiliki wa mahoteli na vitega uchumi kibao (JB belmonte)...mnaijua sababu yake?...


kama huwezi kujua idadi ya nyanya na vitunguu vilivyoko kwenye chakula unachokula na wala hujui vimekatwa katwa ka kutumia nini (kisu,panga, wembe au mundu) maana yake wewe jikoni huwa hufiki na mwisho wako ni sebuleni tu....msiongee sana mambo msiyoyajua...anyway naombeni jibu la swali langu hapo juu

mkuu de'levis karibu jukwaani....mwambie na comrade mwezio Moshe Dayan kuwa wanajf wenye mapenzi ya dhati na tz wanamuhitaji aje achangie japo post mbili tatu ktk uzi huu.halafu hiyo statement yako ni mara kadhaa nimeishuhudia ktk post zako.unaweza ukaifafanua leo?
 
Last edited by a moderator:
Bado naamini taasisi hii inahitaji mageuzi makubwa na ya haraka, hali ya nchi ipo kwenye kipimo cha hatari.
 
Naunga hoja Mkono.......Taasisi ipewe meno..........wanasiasa na watawala ndio watoe ushauri kwa Taasisi...........
 
Naunga hoja Mkono.......Taasisi ipewe meno..........wanasiasa na watawala ndio watoe ushauri kwa Taasisi...........

Katika kuipa "meno" ni lazima kuwe na uweled na mipango yakinifu, unaweza kuipa meno ikawa na uwezo wakumuondoa rais (kupindua nchi) kirahisi sana.
 
TISS ina mapungufu makubwa sana......inabidi warekebishe utendaji wao
 
Katika kuipa "meno" ni lazima kuwe na uweled na mipango yakinifu, unaweza kuipa meno ikawa na uwezo wakumuondoa rais (kupindua nchi) kirahisi sana.
Mkuu hiyo ndiyo moja ya kazi yao hasa Rais kama hatakuwa mzalendo kwa maana ya kulinda maslahi ya Taifa lake...... Taasisi itakuwa inamonitoring utendaji wa Viongozi kwa upande fulani........Nakubaliana nawe pia watakao kuwa kwenye Taasisi ni lazima wawe tayari kupoteza familia zao kwa ajili ya taifa na siyo kama ifanyavyo sasa kurithishana........hata kama mtu ana mambo na malengo yake kichwani........Taasisi ni lazima ipendekeze nani? awe Mkuu wa Nchi........
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom