Nimefurahi kuona sasa JWTZ inajenga mtandao wake wa mawasiliano, kufikia 2015 JWTZ litakuwa na saver yake maalumu ambapo litaacha kutumia civilian network' kazi ya ujenzi wa minara imeanza kwakasi.
Hongera sana JWTZ.
Sasa na TISS waige mfano huo.
You take me by surprise!! kumbe bado wanajenga minara hadi sasa.
Yericko nashauri kuwa si sahihi hata kama ni uhuru wa kujieleza, kuelezea strategic plans za majeshi na taasisi za usalama. Unatoa taarifa za bure kwa taasisi za kijasusi. kumbuka wanaohamasisha uhuru wa habari na wa kujieleza wana malengo yao mengine pia. kuchuja masuala ya kujadili is part of human nature. Just an advise. I am sure even guys from tiss hawawezi kukueleza wana mifumo gani ya mawasiliano kwa kuwa tgey are not for Show.