inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa hiyo tusiweke walinzi Wala kuchanja chanjo,na Wala kumuomba mtu msaada!?..au kumtegemea binaadam hapa imekaaje?Yer 17:5 SUV
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
SI Mimi ni biblia ndio inasema hivyo.
Biblia ni kinywa Cha Mungu.
Mwenye neno na aseme neno Tena kwa ujasiri.
NENO LA MUNGU NI MOTO ULAO
Naomba namba za huyo sheikhSiyo kwa ubaya ndugu zangu misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa nailinda biashara yangu kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Mwenye sikio na asikie,Kwa hiyo tusiweke walinzi Wala kuchanja chanjo,na Wala kumuomba mtu msaada!?..au kumtegemea binaadam hapa imekaaje?
Si ujibu ulivyoelewa huo msitari, au unafuata tu Kama ling'ombe!?Mwenye sikio na asikie,
Mwenye kulelewa na aelewe,
Mimi nimemaliza.
Wakristo wengi hapa ndipo wanapokosea na kupotea. Kama katika maisha ya kawaida huwezi kuchanganya Chumvi na Sukari na kupata ladha inayoelewekaSiyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukisoma wewe peke yako inatosha acha mimi niweke mambo yangu sawa, binadamu wabaya sana.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Matokeo yakoje mkuu nipe namba na mimi boss
Wewe jamaa umefanywa Nini mbona hauko specific?[emoji23][emoji23]Sawa, ni kweli kabisa lakini bado nasisitiza naweka mambo yangu sawa binadamu siyo watu.
Sijui kwanini hawakuelewi hawa jamaa [emoji23][emoji23]Sijui nimeleweka simlogi mtu naweka mambo yangu sawa.
Huwa wanaanza hivyohivyo.Mwisho masharti ya mganga yanawashinda hadi wanakufa.Chunga sana.Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Unasema huendi kumroga mtu ila hapo hapo unasema binadamu wabaya, sasa unaenda kumroga nani au shetani?Kama wewe ungekuwa ni Mungu ndio umekomenti hii hakika ningeogopa kumbe ni binadamu tu kama mimi, Mungu afikirii kama unavyofikiria wewe, acha niendelee kuweka mambo yangu sawa simlogi mtu lakini, naweka mambo sawa binadamu wabaya sana.
Hayo mambo unayotaka kuyaweka sawa umeona Mwenyezi-Mungu hayawezi. So umemtafutia back up ambaye ni Sheikh.Sijui nimeleweka simlogi mtu naweka mambo yangu sawa.
Anaenda kuweka mambo sawa. Mbona hamumuelewi? Harogi mtu [emoji1][emoji1][emoji1]Unasema huendi kumroga mtu ila hapo hapo unasema binadamu wabaya, sasa unaenda kumroga nani au shetani?
Huyu hategemei mwanAdamu anategemea uchawii tuuuYer 17:5 SUV
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
SI Mimi ni biblia ndio inasema hivyo.
Biblia ni kinywa Cha Mungu.
Mwenye neno na aseme neno Tena kwa ujasiri.
NENO LA MUNGU NI MOTO ULAO